Yeye kwanza

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
[h=3]Yeye Kwanza[/h]

Mitazamo ni suala muhimu sana inapokuja issue ya kumfanya mume wako ajisikie raha na wewe chumbani.
Kuna tofauti kubwa sana na pana sana kati ya mwanaume na mwanamke na tofauti kubwa hujiweka wazi katika suala la mapenzi.
Namna ya kuwasiliana kimapenzi (love/affection) kwa mwanaume na mwanamke
 
Namna ya kuwasiliana kimapenzi (love/affection) kwa mwanaume na mwanamke kuna tofauti kubwa.
Kawaida mwanamke huweza kujisikia kusisimka kwa maongezi (kile anasikia), wakati mwanaume ni mwili (kile anaona).
Pia ili mwanamke ajisikie vizuri kimapenzi katika mwili wako hupenda kujiona au jisikia yupo connected kwanza na mume wako wakati huohuo ili mwanaume ajisikie ajisikia connected ni pale tu atakapojisikia raha kimwili kwanza.
Hii ina maana kwamba mwanamke anayehitaji kumfurahisha mume wako kimapenzi atatakiwa kufahamu mapema kwamba ili kujisikia connected na mume wako anatahitaji kujiweka wazi kimwili ili mume awe rahisi kuwa connected kwake hata kama kanuni inagoma.
Lengo si kwako mwanamke kumkwepa mumeo bali wewe kujitoa kwake na hii itafanya mume wako ajisikie raha zaidi na kwenda extra mile kwa kile kila eneo la maisha yenu na kwamba anakuhitaji kila wakati wewe tu.
Mwanamke hujisikia kusisimka pale mume wake akimnong'oneza maneno matamu sikioni mwake na wakati huohuo mwanaume hujisikia msisimko wa ajabu pale mke wake anapompapasa mwilini mwake kwa ngozi yake laini na kujikuta Mr. Happy wake anaanza kutoa maamuzi ambayo hajatumwa afanye.
Je ni kweli mwanaume ana sehemu kiungo kimoja tu cha kumsisimua kimapenzi?
Si kweli kwani kama mwanamke na mwanaume ana sehemu na ana utajiri mwingi wa sehemu ambazo mwanamke akimgusa basi anaweza kujisikia raha kwa mguso anaoupata.
Hata hivyo kila mwanaume ni tofauti na ana namna ya kumsisimua kimapenzi na anayejua ni yeye kwa wewe mwanamke kuwa mvumbuzi kwa kumuuliza na ujanja wako.
Tutaendelea……………….
 
ok piddy, sasa hii picha ya mwenzetu asie ona akisoma inahusianaje na mada hii?
 
Mkuu hiyo nimeitoa kama ilivyo mpwa sio yangu
najaribu kuitfakari kama wewe pengin e tutapata majibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom