Yevgeny Prigozhin mkuu wa Jeshi la Wagner asema jeshi lake limeanza kuondoka Bakhmut ,Ukraine.Wachambuzi wa Vita waeleza Sababu

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,907
Jeshi la Wagner ni jeshi la kampuni binafsi ya Ulinzi kama zilivyo kampuni binafsi xa ulinzi zilizopo hapa Tanzania kama Group4 Security,KK security, Kiwango Security,nk kampuni ambazo mtu waweza Ziomba ulinzi kwa malipo

Kampuni hiyo binafsi kwa Urusi ilianzishwa na Yevgeny Prigozhin ambaye ndie mkuu wa Jeshi la Wagner hadi leo

Kampuni hiyo ya ulinzi ya binafsi ya Wagner ilipewa tenda ya kupigana na Ukraine katika maeneo mbalimbali ya Ukraine ikiwemo mji w bathmut mji ulio mpakani na Russia.Wagner wamepigana katika mji huo kwa kipindi cha Mwaka mzima.Jana mkuu wao katangaza kuwa kampuni yao ya ulinzi ya Wagner imemaliza kazi ya kuteka mji wa Bakhmut na kupisha jeshi la serikali lichukue nafasi yao kwenye mji huo wanaosema wameuteka wote baada ya vita ya mwaka mmoja sasa wao wanapisha jeshi la serikali lichukue usuukani wa kulinda huo mji japi Ukraine inakanusha kuwa hawajateka wote

Wachambuzi mahiri wa mambo ya kivita wakiwemo wasomi na maprofesa wa vyuo Vikuu vya kijeshi waliohojiwa vyombo mbali mbali vya habari wameeleza sababu ya Kwa nini Wagner Group wameamua kuondoka Bakhmut Ukraine

Sababu zinazoelezwa ni kuwa
Kampuni ya Ulinzi ya Wagner ilianzishwa na viongozi mafisadi wastaafu wa Jeshi la Urusi ili kukwapua pesa za Serikali kwa kujipa tenda mbalimbali za ulinzi wa ofisi za taasisi za serikali na kampuni za serikali kupitia hiyo kampuni yao.Kila kona walikuwa wakipewa tenda wao za ulinzi Ukiwa mkono wao wa kukwapulia pesa za serikali na kuzikabidhi kwa hiyo mifisadi wakilipwa

Mchezo huo umeendelea muda miaka mingi hadi ilipofika vita ya Ukraine

Ilipofika vita ya Ukraine Mafisadi walinogewa kuwa Jeshi la serikali likiwa vitani basi kampuni ya Wagner ipewe kazi ya kulinda lindo kambi na vituo vya kivita na kulinda maeneo yaliyotekwa na Jeshi la serikali ya Urusi nchini Ukraine.

Kazi hiyo ya kulinda maeneo yaliyotekwa na kulinda kambi na vituo vya silaha za kijeshi pesa ilibidi iongezeke ya kuwalipa kwani sasa hilo ni eneo jipya na hatari.Wakakubaliana Serikali kuwa italipa invoice zao bila shida

Mgogoro ulianza kati ya Jeshi la serikali na Wagner group Pale Ukraine ilipoanza kufanya kweli kwa kulipua vituo na kambi za Jeshi la Urusi vilivyokuwa maeneo ya ndani ya Ukraine ambako.walinda.lindo walikuwa Wagner Group.Wagner Group askari wake kukimbia lindo kuogopa kuuwa na majeshi ya Ukraine.Hilo likaikasirisha wizara ya ulinzi ya Russia kuwa sasa wanalinda nini kama vituo na kambi zinashambuliwa na Ukraine na wao wabakimbia.Wizara ikasema hawawezi kulipa invoice zao kwa kaxi ambayo hawajafanya ya kulinda.Wagner wakadai kuwa hawana silaha nzito za kupigana wao Kama kampuni binafsi ya ulinzi silaha zao duni wakaomva wapewe silaha nzito na jeshi la urusi!!! Kitu ambacho sio cha kawaida kampuni binafsu huwa na Askari wake na silaha zake yenyewe!! Hawapewi na mwenye Lindo au serikali.

Wizara ya Ulinzi ya Russia ikasema kuwa kama ni hivyo mkataba unatakiwa utizamwe upya kuwa hizo silaha wanazopewa ihesabike kuwa Jeshi limewauzia hivyo gharama zake.watakatwa kwenye invoice yao ya madai ya malipo Wagner Gruop itakayoleta sababu sio wajibu wa Jeshi.la serikali kuwapa silaha wao Kama kampuni binafsi Wagner Group wakakataa hilo.Wizara ikasema OK chukueni silaha wakati majadiliano yanaendelea sababu vita inaendelea ndipo Wagner wakapewa silaha na jeshi la serikali na kuambiwa moja ya jukumu lake jipya sasa sababu wanepewa silaha itakuwa sio kulinda tu bali pia kupigana kwenye maeneo yao ya lindo pakivamiwa na Ukraine waendeleemajadiliano ya kubadili vipengele vya mkataba yakiendelea.

Bakhmut ni eneo mojawapo.walilopewa kama lindo Majeshi ya Russia yakiwa mstati wa mbele huko Sasa Ukraine kafanya kweli Bakhmut vita mwaka mzima,Wagner wakiwa hawaonyeshi dalili ya kushinda.Wizara ya Ulinzi ikaana Silaha wanazowapa Wagner tharamani kubwa na ushindi hamna na madai yao wakileta invoice ukitoa gharama za vifaa Wagner Group hawatapata kitu.Wizara ya Ulinzi ikasema hawaoni faida yeyote ya Wagner Group vitani ni.uoptexaji pesa tu na vifaa hivyo wakasema wanataka kuvunja mkataba na Wagner Group wa kuhusu wao kuwemo.vitani Ukraine na kuwa Invoice zao za malipo. Haxitalipwa hadi mjadala mzito ufanyike pande za
zote

Mifisadi yenye Kampuni ya Wagner nayo ikaona hiyo kazi kwao haina faida tena ni mivutano tu na hailipi kwao ndio kisa cha Wagner Group kuondoka mji wa Bakhmut Ukraine na kupisha majeshi ya serikali wachukue malindo yao wao warudi kufanya tu kazi za ulinzi mitaani na maofisini ndani ya Urusi na kusubiria outcome ya malipo.ya invoice zao

Ni kuwa kwa sasa Wagner.wanaondoka kabisa Vita Ukraine baada ya kuona biashara hailipi wanawaachia Jeshi lenyewe la serikali.
 
Jeshi la Wagner ni jeshi la kampuni binafsi ya Ulinzi kama zilivyo kampuni binafsi xa ulinzi zilizopo hapa Tanzania kama Group4 Security,KK security, Kiwango Security,nk kampuni ambazo mtu waweza Ziomba ulinzi kwa malipo

Kampuni hiyo binafsi kwa Urusi ilianzishwa na Yevgeny Prigozhin ambaye ndie mkuu wa Jeshi la Wagner hadi leo

Kampuni hiyo ya ulinzi ya binafsi ya Wagner ilipewa tenda ya kupigana na Ukraine katika maeneo mbalimbali ya Ukraine ikiwemo mji w bathmut mji ulio mpakani na Russia.Wagner wamepigana katika mji huo kwa kipindi cha Mwaka mzima.Jana mkuu wao katangaza kuwa kampuni yao ya ulinzi ya Wagner imemaliza kazi ya kuteka mji wa Bakhmut na kupisha jeshi la serikali lichukue nafasi yao kwenye mji huo wanaosema wameuteka wote baada ya vita ya mwaka mmoja sasa wao wanapisha jeshi la serikali lichukue usuukani wa kulinda huo mji japi Ukraine inakanusha kuwa hawajateka wote

Wachambuzi mahiri wa mambo ya kivita wakiwemo wasomi na maprofesa wa vyuo Vikuu vya kijeshi waliohojiwa vyombo mbali mbali vya habari wameeleza sababu ya Kwa nini Wagner Group wameamua kuondoka Bakhmut Ukraine

Sababu zinazoelezwa ni kuwa
Kampuni ya Ulinzi ya Wagner ilianzishwa na viongozi mafisadi wastaafu wa Jeshi la Urusi ili kukwapua pesa za Serikali kwa kujipa tenda mbalimbali za ulinzi wa ofisi za taasisi za serikali na kampuni za serikali kupitia hiyo kampuni yao.Kila kona walikuwa wakipewa tenda wao za ulinzi Ukiwa mkono wao wa kukwapulia pesa za serikali na kuzikabidhi kwa hiyo mifisadi wakilipwa

Mchezo huo umeendelea muda miaka mingi hadi ilipofika vita ya Ukraine

Ilipofika vita ya Ukraine Mafisadi walinogewa kuwa Jeshi la serikali likiwa vitani basi kampuni ya Wagner ipewe kazi ya kulinda lindo kambi na vituo vya kivita na kulinda maeneo yaliyotekwa na Jeshi la serikali ya Urusi nchini Ukraine.

Kazi hiyo ya kulinda maeneo yaliyotekwa na kulinda kambi na vituo vya silaha za kijeshi pesa ilibidi iongezeke ya kuwalipa kwani sasa hilo ni eneo jipya na hatari.Wakakubaliana Serikali kuwa italipa invoice zao bila shida

Mgogoro ulianza kati ya Jeshi la serikali na Wagner group Pale Ukraine ilipoanza kufanya kweli kwa kulipua vituo na kambi za Jeshi la Urusi vilivyokuwa maeneo ya ndani ya Ukraine ambako.walinda.lindo walikuwa Wagner Group.Wagner Group askari wake kukimbia lindo kuogopa kuuwa na majeshi ya Ukraine.Hilo likaikasirisha wizara ya ulinzi ya Russia kuwa sasa wanalinda nini kama vituo na kambi zinashambuliwa na Ukraine na wao wabakimbia.Wizara ikasema hawawezi kulipa invoice zao kwa kaxi ambayo hawajafanya ya kulinda.Wagner wakadai kuwa hawana silaha nzito za kupigana wao Kama kampuni binafsi ya ulinzi silaha zao duni wakaomva wapewe silaha nzito na jeshi la urusi!!! Kitu ambacho sio cha kawaida kampuni binafsu huwa na Askari wake na silaha zake yenyewe!! Hawapewi na mwenye Lindo au serikali.

Wizara ya Ulinzi ya Russia ikasema kuwa kama ni hivyo mkataba unatakiwa utizamwe upya kuwa hizo silaha wanazopewa ihesabike kuwa Jeshi limewauzia hivyo gharama zake.watakatwa kwenye invoice yao ya madai ya malipo Wagner Gruop itakayoleta sababu sio wajibu wa Jeshi.la serikali kuwapa silaha wao Kama kampuni binafsi Wagner Group wakakataa hilo.Wizara ikasema OK chukueni silaha wakati majadiliano yanaendelea sababu vita inaendelea ndipo Wagner wakapewa silaha na jeshi la serikali na kuambiwa moja ya jukumu lake jipya sasa sababu wanepewa silaha itakuwa sio kulinda tu bali pia kupigana kwenye maeneo yao ya lindo pakivamiwa na Ukraine waendeleemajadiliano ya kubadili vipengele vya mkataba yakiendelea.

Bakhmut ni eneo mojawapo.walilopewa kama lindo Majeshi ya Russia yakiwa mstati wa mbele huko Sasa Ukraine kafanya kweli Bakhmut vita mwaka mzima,Wagner wakiwa hawaonyeshi dalili ya kushinda.Wizara ya Ulinzi ikaana Silaha wanazowapa Wagner tharamani kubwa na ushindi hamna na madai yao wakileta invoice ukitoa gharama za vifaa Wagner Group hawatapata kitu.Wizara ya Ulinzi ikasema hawaoni faida yeyote ya Wagner Group vitani ni.uoptexaji pesa tu na vifaa hivyo wakasema wanataka kuvunja mkataba na Wagner Group wa kuhusu wao kuwemo.vitani Ukraine na kuwa Invoice zao za malipo. Haxitalipwa hadi mjadala mzito ufanyike pande za
zote

Mifisadi yenye Kampuni ya Wagner nayo ikaona hiyo kazi kwao haina faida tena ni mivutano tu na hailipi kwao ndio kisa cha Wagner Group kuondoka mji wa Bakhmut Ukraine na kupisha majeshi ya serikali wachukue malindo yao wao warudi kufanya tu kazi za ulinzi mitaani na maofisini ndani ya Urusi na kusubiria outcome ya malipo.ya invoice zao

Ni kuwa kwa sasa Wagner.wanaondoka kabisa Vita Ukraine baada ya kuona biashara hailipi wanawaachia Jeshi lenyewe la serikali.
Kwa hiyo Wagner hawajauteka huo mji.

Naona hii vita inaporomosha hadi uwezo wa wachambuzi wa masuala ya usalama na vita duniani
 
Watapewa siku kadhaa za mapumziko kisha watapelekwa sehemu nyingine sasa ukrain tumbo joto hawajui jamaa watapewa jimbo gani walishughulikie
Hii vita ina maajabu yaani jeshi binafsi lina nguvu kuliko la serikali kiasi kuwa wao watele halafu wakabidhi jeshi la serikali lliulinde!!

Ina maana jeshi la serikali uwexo wake kufanya tu kazi za ulinzi wa raia na mali zao.Hiyo ni kazi ya polisi wa kawaida.Ninavyoona Jeshi la urusi ndilo lilitakiwa kuteka na kukabidhi Wagner Group au hata polisi wao sio kinyume chake

Kuna kituko kwenye hii vita
 
Hii vita naipinga
Wananchi wa Ukraine wanaumia na kufa kwa mambo yanayoepukika
Ulitaka Ukraine waache kupigania ardhi yao iliyovamiwa na Urusi? Ukraine hakurusha hata jiwe kupiga Urusi .kuanzisha vita

Ni Putin tu na wazimu wake alilala akaota eti iko siku isiyojulikana mbeleni huko.Ukraine itakuja kuvamia Urusi akaanza.kuvumisha mikombora kupiga Ukraine
 
Hii vita ina maajabu yaani jeshi binafsi lina nguvu kuliko la serikali kiasi kuwa wao watele halafu wakabidhi jeshi la serikali lliulinde!!

Ina maana jeshi la serikali uwexo wake kufanya tu kazi za ulinzi wa raia na mali zao.Hiyo ni kazi ya polisi wa kawaida.Ninavyoona Jeshi la urusi ndilo lilitakiwa kuteka na kukabidhi Wagner Group au hata polisi wao sio kinyume chake

Kuna kituko kwenye hii vita
Kulingana na uwelewa wako, unawachukiliaje hao NATO wakiongozwa na kubwa lao USA kushindwa kuzichapa na kampuni ya ulinzi??
 
Kwa hiyo Wagner hawajauteka huo mji.

Naona hii vita inaporomosha hadi uwezo wa wachambuzi wa masuala ya usalama na vita duniani
Wewe kwa akili ya kawaida tu, Wagner wiki moja nyuma anatangaza ataondoka bakhmut kwa vile hawana silaha lakini wiki iliyofuata anasema ashauchukua mji wa bakhmut lakini sasa yeye anaondoka., Ni kauli tata sana wakati Majenerali wa Ukraine na Zelensky wao wanadai bakhmut imo mikononi mwao., ni wazi kuna kutofahamiana baina ya Jeshi la Urusi na Wagner, Urusi hana jeshi lamaana
 
Wewe kwa akili ya kawaida tu, Wagner wiki moja nyuma anatangaza ataondoka bakhmut kwa vile hawana silaha lakini wiki iliyofuata anasema ashauchukua mji wa bakhmut lakini sasa yeye anaondoka., Ni kauli tata sana wakati Majenerali wa Ukraine na Zelensky wao wanadai bakhmut imo mikononi mwao., ni wazi kuna kutofahamiana baina ya Jeshi la Urusi na Wagner, Urusi hana jeshi lamaana
Swali muhimu
Kuna utekaji wowote wa sehemu ya mji ambayo Wagner imefanya?

If yes, walitumia silaha hani ikiwa wataalam wa vita wanasema hao jamaa hawana silaha imara kama za wanaotetea nchi yao?
 
Swali muhimu
Kuna utekaji wowote wa sehemu ya mji ambayo Wagner imefanya?

If yes, walitumia silaha hani ikiwa wataalam wa vita wanasema hao jamaa hawana silaha imara kama za wanaotetea nchi yao?
Mkuu kwanza elewa bakhmut ipo mpakani mwa Ukraine na Urusi, urusi walivamia huo mji kutokea huko mpakani ambako ni upande wa magharibi kwa mji wa ukrean, maeneo ambayo Urusi ilimega ni hilo la ukanda wa magharib tu nasio kote ni partially, eneo lilobaki kujia Ukraine wenyewe wanadhibiti na huko magharibi ukraine waliwaibukia kwa counter battle inaendelea hivi ninavyoandika

Kuhusu silaha unajuwa huwezi kadiria mwanzo walitumia silaha gani na sasa watumie silaha gani, vita ni technick, Ukraine wanapokea silaha za hatari kila uchao unaweza kujikuta silaha uliyonayo jana leo haitaweza kufanya kazi kwa sababu adui yako ana silaha bora zaidi kukufikia wewe na kukutia adabu, ndio maana Wagner walihitaji silaha mbadala kutoka russia ili waendelee kupiga kazi

Kwa mfano saivi Ukraine karibu wataanza kutumia ndege vita F-16 kutoka US mazoezi ya kutumia ndege hizo yameanza Poland marobani wale, kwaiyo hizi zikianza unafkiri impact yake ni nini? hivyo ndivyo hali ilivyo. huko nyuma Urusi wakitumia vifaru na Ukraine wakitumia Stinger leo hakuna vifaru ingawa Stinger na Himars bado zinamalaki, kuna Patriot jana naangalia television ndege 36 urusi alikusudia kupiga Kyiv zote zikadakwa
 
Jeshi la Wagner ni jeshi la kampuni binafsi ya Ulinzi kama zilivyo kampuni binafsi xa ulinzi zilizopo hapa Tanzania kama Group4 Security,KK security, Kiwango Security,nk kampuni ambazo mtu waweza Ziomba ulinzi kwa malipo

Kampuni hiyo binafsi kwa Urusi ilianzishwa na Yevgeny Prigozhin ambaye ndie mkuu wa Jeshi la Wagner hadi leo

Kampuni hiyo ya ulinzi ya binafsi ya Wagner ilipewa tenda ya kupigana na Ukraine katika maeneo mbalimbali ya Ukraine ikiwemo mji w bathmut mji ulio mpakani na Russia.Wagner wamepigana katika mji huo kwa kipindi cha Mwaka mzima.Jana mkuu wao katangaza kuwa kampuni yao ya ulinzi ya Wagner imemaliza kazi ya kuteka mji wa Bakhmut na kupisha jeshi la serikali lichukue nafasi yao kwenye mji huo wanaosema wameuteka wote baada ya vita ya mwaka mmoja sasa wao wanapisha jeshi la serikali lichukue usuukani wa kulinda huo mji japi Ukraine inakanusha kuwa hawajateka wote

Wachambuzi mahiri wa mambo ya kivita wakiwemo wasomi na maprofesa wa vyuo Vikuu vya kijeshi waliohojiwa vyombo mbali mbali vya habari wameeleza sababu ya Kwa nini Wagner Group wameamua kuondoka Bakhmut Ukraine

Sababu zinazoelezwa ni kuwa
Kampuni ya Ulinzi ya Wagner ilianzishwa na viongozi mafisadi wastaafu wa Jeshi la Urusi ili kukwapua pesa za Serikali kwa kujipa tenda mbalimbali za ulinzi wa ofisi za taasisi za serikali na kampuni za serikali kupitia hiyo kampuni yao.Kila kona walikuwa wakipewa tenda wao za ulinzi Ukiwa mkono wao wa kukwapulia pesa za serikali na kuzikabidhi kwa hiyo mifisadi wakilipwa

Mchezo huo umeendelea muda miaka mingi hadi ilipofika vita ya Ukraine

Ilipofika vita ya Ukraine Mafisadi walinogewa kuwa Jeshi la serikali likiwa vitani basi kampuni ya Wagner ipewe kazi ya kulinda lindo kambi na vituo vya kivita na kulinda maeneo yaliyotekwa na Jeshi la serikali ya Urusi nchini Ukraine.

Kazi hiyo ya kulinda maeneo yaliyotekwa na kulinda kambi na vituo vya silaha za kijeshi pesa ilibidi iongezeke ya kuwalipa kwani sasa hilo ni eneo jipya na hatari.Wakakubaliana Serikali kuwa italipa invoice zao bila shida

Mgogoro ulianza kati ya Jeshi la serikali na Wagner group Pale Ukraine ilipoanza kufanya kweli kwa kulipua vituo na kambi za Jeshi la Urusi vilivyokuwa maeneo ya ndani ya Ukraine ambako.walinda.lindo walikuwa Wagner Group.Wagner Group askari wake kukimbia lindo kuogopa kuuwa na majeshi ya Ukraine.Hilo likaikasirisha wizara ya ulinzi ya Russia kuwa sasa wanalinda nini kama vituo na kambi zinashambuliwa na Ukraine na wao wabakimbia.Wizara ikasema hawawezi kulipa invoice zao kwa kaxi ambayo hawajafanya ya kulinda.Wagner wakadai kuwa hawana silaha nzito za kupigana wao Kama kampuni binafsi ya ulinzi silaha zao duni wakaomva wapewe silaha nzito na jeshi la urusi!!! Kitu ambacho sio cha kawaida kampuni binafsu huwa na Askari wake na silaha zake yenyewe!! Hawapewi na mwenye Lindo au serikali.

Wizara ya Ulinzi ya Russia ikasema kuwa kama ni hivyo mkataba unatakiwa utizamwe upya kuwa hizo silaha wanazopewa ihesabike kuwa Jeshi limewauzia hivyo gharama zake.watakatwa kwenye invoice yao ya madai ya malipo Wagner Gruop itakayoleta sababu sio wajibu wa Jeshi.la serikali kuwapa silaha wao Kama kampuni binafsi Wagner Group wakakataa hilo.Wizara ikasema OK chukueni silaha wakati majadiliano yanaendelea sababu vita inaendelea ndipo Wagner wakapewa silaha na jeshi la serikali na kuambiwa moja ya jukumu lake jipya sasa sababu wanepewa silaha itakuwa sio kulinda tu bali pia kupigana kwenye maeneo yao ya lindo pakivamiwa na Ukraine waendeleemajadiliano ya kubadili vipengele vya mkataba yakiendelea.

Bakhmut ni eneo mojawapo.walilopewa kama lindo Majeshi ya Russia yakiwa mstati wa mbele huko Sasa Ukraine kafanya kweli Bakhmut vita mwaka mzima,Wagner wakiwa hawaonyeshi dalili ya kushinda.Wizara ya Ulinzi ikaana Silaha wanazowapa Wagner tharamani kubwa na ushindi hamna na madai yao wakileta invoice ukitoa gharama za vifaa Wagner Group hawatapata kitu.Wizara ya Ulinzi ikasema hawaoni faida yeyote ya Wagner Group vitani ni.uoptexaji pesa tu na vifaa hivyo wakasema wanataka kuvunja mkataba na Wagner Group wa kuhusu wao kuwemo.vitani Ukraine na kuwa Invoice zao za malipo. Haxitalipwa hadi mjadala mzito ufanyike pande za
zote

Mifisadi yenye Kampuni ya Wagner nayo ikaona hiyo kazi kwao haina faida tena ni mivutano tu na hailipi kwao ndio kisa cha Wagner Group kuondoka mji wa Bakhmut Ukraine na kupisha majeshi ya serikali wachukue malindo yao wao warudi kufanya tu kazi za ulinzi mitaani na maofisini ndani ya Urusi na kusubiria outcome ya malipo.ya invoice zao

Ni kuwa kwa sasa Wagner.wanaondoka kabisa Vita Ukraine baada ya kuona biashara hailipi wanawaachia Jeshi lenyewe la serikali.
End of everything Putin for God sake he will die😭🤐
 
Kulingana na uwelewa wako, unawachukiliaje hao NATO wakiongozwa na kubwa lao USA kushindwa kuzichapa na kampuni ya ulinzi??
Propaganda za Russia kujifanya kuwa eti wao sio saizi ya NATO saizi ya NATO ni kampuni ya ulinzi ya vichochoroni ya Wagner

OK sio kesi sasa Wagner wamejitoa vitani mji wa Bakhmut wamewaachia jeshi la serikali la Russia, haya macho yote tukodolee Bakhmut tuone hilo.jeshi lenyewe.la Urusi linalojifanya baba lao kivita je litayaweza ya vita na Ukraine eneo hilo Bakhmut?

Mwenye macho haambiwi tazama

Tusubiri tuone mtanange kati ya jeshi.la Urusi na Ukraine

Stay tuned
 
Propaganda za Russia kujifanya kuwa eti wao sio saizi ya NATO saizi ya NATO ni kampuni ya ulinzi ya vichochoroni ya Wagner

OK sio kesi sasa Wagner wamejitoa vitani mji wa Bakhmut wamewaachia jeshi la serikali la Russia, haya macho yote tukodolee Bakhmut tuone hilo.jeshi lenyewe.la Urusi linalojifanya baba lao kivita je litayaweza ya vita na Ukraine eneo hilo Bakhmut?

Mwenye macho haambiwi tazama

Tusubiri tuone mtanange kati ya jeshi.la Urusi na Ukraine

Stay tuned
Kwahiyo umekubali kuwa wagner group sio kitu cja mchezomchezo??
 
Kwahiyo umekubali kuwa wagner group sio kitu cja mchezomchezo??
Kifupi Jeshi la nchi ya Urusi limeaibisha majeshi ulimwenguni
Kuwa kuna mataifa makubwa baadhi duniani uwezo wa kuvita hayana yanategemea kampuni binafsi za ulinzi kulinda mipaka ya nchi na kupigana kwa niaba ya jeshi la serikali

Hiki kitu ni kipya kwenye medani za kijeshi kuwa kampuni binafsi ya ulinzi inaweza kuwa tegemeo kuu la serikali kwenye vita na ulinzi!!

Jeshi la serikali ya Urusi sasa kazi yake nini? Hadi waachie kampuni binafsi?,Eti ohh kapigeni Bakhmut nyie kampuni binafsu ya Wagner mkishinda mtukabidhi sisi wanajeshi wa serikali ya Russia.Hopeless kabisa

Jeshi gani hilo la Serikali ya Russia si wahuni na vibaka tu hao, ndio.maana magenerali wao wanakufa kama kuku wa mdondo vitani
 
Back
Top Bottom