Kwa wale wanaojua maandiko, naomba msaada wenu
Inakuwaje Yesu acholwe akiwa wa kizungu, lakini shetani anachorwa akiwa wa kizungu?
Je huu sio udhalilishaji kwetu waafrika?
swali halieleweki?
Kwa wale wanaojua maandiko na kufuatilia picha na sanamu za yesu na shetani, utakuta Yesu anacholwa akiwa wa kizungu, lakini shetani ucholwa akiwa ni mwafrika, je sisi waafrika ni sawa na mashetani na wazungu na Yesu ni sawa na wazungu?
Au ni udhalilishaji!!!
Wee,usituletee bangi humu ndani,uzungu na uafrika wote upo ndani ya uwezo wako,ukitaka kuwa mzungu unakuwa mzungu,ukitaka kuwa mwafrika unajiafrika tuu,kwanza wapi umeiona hiyo michoro,hujawahi ona sanamu za yesu wa mpingo?au unaandika tu ?Hii inaonyesha jinsi gani hujikubali!!Kwa wale wanaojua maandiko, naomba msaada wenu
Inakuwaje Yesu acholwe akiwa wa kizungu, lakini shetani anachorwa akiwa wa kizungu?
Je huu sio udhalilishaji kwetu waafrika?
Wee,usituletee bangi humu ndani,uzungu na uafrika wote upo ndani ya uwezo wako,ukitaka kuwa mzungu unakuwa mzungu,ukitaka kuwa mwafrika unajiafrika tuu,kwanza wapi umeiona hiyo michoro,hujawahi ona sanamu za yesu wa mpingo?au unaandika tu ?Hii inaonyesha jinsi gani hujikubali!!
Juu kabisa nimesema kuwa, picha za Yesu na shetani, sio vinyago,
Wewe ndo haujikubali maana unakubali sisi tufananishwe na shetani, bali wao wajifananishe na Yesu.
Kwa wale wanaojua maandiko, naomba msaada wenu
Inakuwaje Yesu acholwe akiwa wa kizungu, lakini shetani anachorwa akiwa wa kizungu?
Je huu sio udhalilishaji kwetu waafrika?
Kwa wale wanaojua maandiko, naomba msaada wenu
Inakuwaje Yesu acholwe akiwa wa kizungu, lakini shetani anachorwa akiwa wa kizungu?
Je huu sio udhalilishaji kwetu waafrika?
kaka/dada, hakuna anayejua kama yesu au shetani ni mzungu au mwafrika. hizo ni imaginations zao tu wala zisikuumize kichwa hata chembe. wala usiconclude kutokana na movie za yesu ambazo yesu ni mzungu zile ni movie tu kama zingine na wale ni actors kama wengine ambao ni wazungu.