Yesu ashawai kuishi Afrika

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,920
Reaction score
3,753
Bibilia na historia inatueleza, kuwa wakati Yesu alizaliwa mfalme Herode alikuwa na hofu na aligiza watoto wote wadogo wa kiume wa umri wake kuuawa. Na malaika alimwagiza Yusufu na Maria kwenda Misri, baada ya mfalme kufa ndio walirejea
 
Bibilia na historia inatueleza, kuwa wakati yesu alizaliwa mfalme herode alikuwa na hofu Naaligiza watoto wote wadogo wa kiume wa umri wake kuuwawa.Na malaika alimwagiza yusufu na maria kwenda misri,baada ya mfalme kufa ndio walijerejea
Tena aliishi njombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…