Tunashukuru sana watu wote mliofika kutufariji sisi ndugu zenu watanzania wenzenu katika msiba huu mkubwa wa shujaa mwongoza njia,Mungu amuweke mahali anapostahili kuwa.amen.
Wengine inawezekana ni mara yenu ya kwanza kukanyaga bukoba,huku ndiko mji ule tunaousifia sana tukiwa mikoani kwenu japo mm si indgneous wa huku but beyond of my ability imenibid niwe wa huku.Sitaki kukupa details nyingi za maendeleo ya mji wetu maana umefika unajionea mwenyewe,pima maneno ya watu watokao huku wayasemayo juu ya mji huu na maendeleo uyaonayo kwa macho yako zikiwemo miundombinu,way of life etc,then uweze kuprove right or wrong juu ya maneno yao.
mh! huu uzi nilijua tu wahaya mtaingia kichwa kichwa,ngoja nisbiri mrejesho wa watu waliofika huku,ikiwa wataridhika juu ya maendeleo ya mji huu ukilinganisha misifa yenu
mh! huu uzi nilijua tu wahaya mtaingia kichwa kichwa,ngoja nisbiri mrejesho wa watu waliofika huku,ikiwa wataridhika juu ya maendeleo ya mji huu ukilinganisha misifa yenu