sir Ganto G
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 573
- 113
Kiukwingawa kuna hoja inazuka, akisema yeye hana kanisa watafanya nini! maana kiuhalisia kanisa ni jumba la ibada na yeye hana! Vipi akisema mimi sijaanzisha kanisa na sina kanisa
Kiukwingawa kuna hoja inazuka, akisema yeye hana kanisa watafanya nini! maana kiuhalisia kanisa ni jumba la ibada na yeye hana! Vipi akisema mimi sijaanzisha kanisa na sina kanisa
Yani hapo ni kama unauliza kua inawezekana kufanya mapenzi halafu ukimaliza ndio unavaa condomMimi ɓado sijaelewa!Kwani anatakiwa aanzishe kanisa alafu ndo aombe kiɓali au aombe kiɓali ndo aanzishe kanisa? Msaada kwa hilo
Lile taarab lilipigiwa Bar gani? Maana naona Pako kama chumba kimoja Na sebuleHatangazi tu mitaani ana waumini na anafanya ibada kwenye baa hivyo ana kanisa sababu kanisa ni kuwa na waumini na kuwa na sehemu ya kuabudia na kufanya ibada ikiwa chini ya kiongozi mwenye title ambaye ni yeye Nabii Tito.Hivyo ana Kisa NA kuanzisha kanisa bila kibali