Ni mkulima tu wa Huko Mbutu Kigamboni aliyeachana na uchawa akarejea akili zake.Ndugu zangu naombeni mnisaidie kitu, hivi huyu Yeriko Nyerere ni nani hapa Tanzania make watu wengi huwa wanamtaja mara kwa mara.
Na pia itakuwa vizuri kama yeye yupo hapa jamiiforums ajielezee kidogo, kwani natamani kumjua tu, kwani nimekutana na jina lake mara nyingi katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
😅😅😅😅Ni mwandishi wa vitabu na ni Mrusi
Ni ukoo mmoja na Steve Nyerere!Ni Mtanzania wa kawaida sana anatoka mkoa wa Iringa sijui ukoo wa Nyerere aliupataje.
Du! ni kolo mmoja anaependa kujinasibisha na ujasusi lakini hana hata beji ya mgambo wa kijiji,Ndugu zangu naombeni mnisaidie kitu, hivi huyu Yeriko Nyerere ni nani hapa Tanzania make watu wengi huwa wanamtaja mara kwa mara.
Na pia itakuwa vizuri kama yeye yupo hapa jamiiforums ajielezee kidogo, kwani natamani kumjua tu, kwani nimekutana na jina lake mara nyingi katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
DuhDu! ni kolo mmoja anaependa kujinasibisha na ujasusi lakini hana hata beji ya mgambo wa kijiji,
Well said, kwa sabab majasus wote wanaripot kwako na kukuonesha bejiDu! ni kolo mmoja anaependa kujinasibisha na ujasusi lakini hana hata beji ya mgambo wa kijiji,
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wacha weeeee !!Du! ni kolo mmoja anaependa kujinasibisha na ujasusi lakini hana hata beji ya mgambo wa kijiji,
Tupia CV Yako YERIKO NYERERE!!!!
Maana pamoja na utata wa Magu, kwako ni kama alilalama!!!