Yericko Nyerere ni nani?

Ni mkulima tu wa Huko Mbutu Kigamboni aliyeachana na uchawa akarejea akili zake.
 
Tupia CV Yako YERIKO NYERERE!!!!

Maana pamoja na utata wa Magu, kwako ni kama alilalama!!!
 
Du! ni kolo mmoja anaependa kujinasibisha na ujasusi lakini hana hata beji ya mgambo wa kijiji,
 
Yericko ni mtu anayejua mambo
Ni mtunpoa sana nilipata bahati ya kuonana naye anajua mambo mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…