Katika kipindi cha Pbcloudsfm nimefurahishwa na mada iliyokuwa inajadiliwa iliyohusu vijana wengi wa kiume kupenda kubebwa na mijimama yenye mkwanja,
Ambapo ktk mahojiano nimemsikia Yericko Nyerere akisema ugumu wa maisha na aina ya kizazi chetu cha dotcom vimechangia hayo!
Namfahamu huyu Yericko kupitia twitter @YerickoNyerere ni mmoja ya watu wa tata sana!
Jf great thinkers kunauhakika wa maoni hayo?
Ambapo ktk mahojiano nimemsikia Yericko Nyerere akisema ugumu wa maisha na aina ya kizazi chetu cha dotcom vimechangia hayo!
Namfahamu huyu Yericko kupitia twitter @YerickoNyerere ni mmoja ya watu wa tata sana!
Jf great thinkers kunauhakika wa maoni hayo?