Nimekuelewa sana bibie lakini naona hutaki kuukubali ukweli ninaosema. I doubt very much about this..Hapa tunafekisha sana our real identities.Tukikutana nadhani tutachukua muda sana ku cope na tabia za kila mmoja.Nishajaribu hii kitu ya wanawake kwenye jumuia nyingine tena kwa kusukumwa kwa winchi ilimradi tuende lakn wapi? Inahitaji UPAKO hii kitu.Na kwa Dar hii ndo sina uhakika kabisa kwani excuses ni nyingi hasa za kuhusiana na muda.Ni wazo zuri lakn umetoa kwani UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.Lakini tufanyie kazi kwanza mapungufu yetu kama wanawake tusijifanye blind hatuoni tuna matatizo gani.May be ingeanzia kwanza jukwaani kwa mada mbalimbali watu wakishazoea ndio iende kwenye real life.Alichoandika mzabzab ni tatizo lingine tulilonalo sisi wanawake.
Nimekuelewa sana bibie lakini naona hutaki kuukubali ukweli ninaosema. I doubt very much about this..Hapa tunafekisha sana our real identities.Tukikutana nadhani tutachukua muda sana ku cope na tabia za kila mmoja.Nishajaribu hii kitu ya wanawake kwenye jumuia nyingine tena kwa kusukumwa kwa winchi ilimradi tuende lakn wapi? Inahitaji UPAKO hii kitu.Na kwa Dar hii ndo sina uhakika kabisa kwani excuses ni nyingi hasa za kuhusiana na muda.Ni wazo zuri lakn umetoa kwani UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.Lakini tufanyie kazi kwanza mapungufu yetu kama wanawake tusijifanye blind hatuoni tuna matatizo gani.May be ingeanzia kwanza jukwaani kwa mada mbalimbali watu wakishazoea ndio iende kwenye real life.Alichoandika mzabzab ni tatizo lingine tulilonalo sisi wanawake.
Eti tutembeleane??
Kesho tukigombana nakuleta jf
hujanielewa vyema acha nikupe somo hapo juu ndo utaelewa namaanisha nini hapa yalekea ulimi ulitelezak= kidogo best au mikono iiliingia kigugumizi cha kuandika upo hapo
Na mie sijafurahia, nadhani walengwa ni hao waliotajwa kwa majina. Sisi wengine aku!Mie sijalifurahia
Usipate tabu
Huwa sio upepo wangu kivile makongamano, napenda kuwa solo
wanawake tutabakia kuwa na tabia za kike tu, wataanza vizuri litazuka jambo tu,hatuishi maneno/majungu/wivu/kusemana, lakini niwatakie kila lililo na kheri, wa solo waendelee solo, guitar waendelee na sindimba pamoja.
Eti tutembeleane??
Kesho tukigombana nakuleta jf
Aisee anzisheni hilo jukwaa lenu haraka. Hata sisi wanaume tunataka kuanzisha la kwetu na tutazungumzia jinsi ya kuwagegeda kisawasawa hasa wale wanaojipitishapitisha, wanaovaa vimini, wasijiheshimu na wenye pepo wa ngono.
Msisahau kuelezena kuwa nyie wenyewe ndio mnao shusha heshima yenu wenyewe kwa kujiuza barabarani na kwenye mabaa.
Kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiii...
Kesho nikukuta unamsarandia myswitie wangu napeleka shitaka kwa mention Invisible.. Mbona itakuwa balaaaaa.
Unaweza letewa ngoma na tarumbeta za kusutwa ofisini ati ..kisa kundi la wanawake wa JF.. Chezeya wanawake wewe. I SALUTE!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wazo zuri ila in long hilo jukwaa linaweza kuwa sehemu ya kuchunguzana maisha na kusemana/kusengenyana maana kinachowaunganisha hapa JF ni kutofahamiana kwenu(FAKE JF ID's) ila siku mkikutana mkajuana mpaka maisha ya ndani timbwili huwa linaanzia hapo... Mambo kama vichiki vya chini chini , kusengenyana, kebehi, kufunikana maisha, kujitenga tenga, masengenyo ya chini chini ni common sana kwenye umoja wowote wa wanawake..sijui mtajipanga vipi kukabiliana na hii..Badala ya kuungana mtatengena mno....
Hahahahahaaaaa...........akikukamata!!