Yatosha ..

mis lemich

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2017
Posts
207
Reaction score
176
Nimegundua kumbe naweza bila huyu aliyechanachana moyo na maisha yakaenda yaliyopita kubaki hadthi baada ya kuona kumbe duniani watu wameumbwa kwa usawa wa aina yake .. Tofauti zetu ni chache Sana asilimia kubwa tunafanana . Maneno haya ni faraja tosha kuufariji moyo ili uache yaliyomo yawe Kama hadithi... Na kuacha moyo Kama ulivyo
 
haya maneno nawaomba wayaone na kuyasoma wote waliopatwa na tatizo la vyeti feki, wajue wana weza bila ya ajira ya masimango
 
Haya mapenzi yanafanya watu waonekane machizi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…