Yapi ni maoni yako kwenye mjadala huu!

Yapi ni maoni yako kwenye mjadala huu!

Afisa_Nkai

Senior Member
Joined
Jul 5, 2025
Posts
183
Reaction score
273
wakuu Niko salama sijui ninyi huko!

Huu ni mjadala unaoendelea huko je ni yapi maoni yako
Screenshot_20250709-140342.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20250709-140334.jpg
    Screenshot_20250709-140334.jpg
    68.1 KB · Views: 16
😂😂Kuanzia 2014 kwenda juu je hawasomi kwa bidii na kujituma?
Mimi nlmemaliza 2015 form 4 hapo Elimu ilkuwa imeanza chakachuliwa

Kwa mithn ya kidto Cha pili 2013 ilkuwa thabit kabsa ila baada ya hapo Elimu walianza kuichezesha tu mara GPA wakaon haifai wakarud Divisions akini Divisions znywe za kuwapa uzembe wanafunzi
 
Juzi nimeingia internet kutafuta paper la hesabu nililofanya form 4....sijui nilifauluje lile paper....sasa hivi ukinipa huo mtihani hata D sipati. Sielewi chochote.
 
Saa hvi sasa ndo kwisha kabsa unaambiwa hata Chemistry unachgua Topic za kufanyia mtihan yaan uisomi Chemia yote, English pia imevnjwa yaan madogo wanogelea Elimu hawasomi elimu
 
Back
Top Bottom