vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
Ningekuwa na uwezo Leo ningekamata kumbe yeyote mwenye viungo vya uzazi ningepeleka Uwanja wa Taifa ningechapa fimbo za makalioni ningechapa, nawanyoa nywele na nyusi zote na chupa, nawaweka juani then nachukua koleo nang'oa meno mawili ya mbele yale hapa, halafu namlaza kwenye cement juani mpaka jua likuche.
Then usiku namuingiza kwenye maji ya barafu akitoka nampa juisi ya pilipili kichaa hafu kesho asubuh nawaachie mrudi makwenu yani huyu kiumbe mme ameniuzi sana sana.
Shikamoo nyie wanaume hivi sijui manakuaga na akili gani halafu kujifanya kila kitu mnajua wakati hamna lolote.
Then usiku namuingiza kwenye maji ya barafu akitoka nampa juisi ya pilipili kichaa hafu kesho asubuh nawaachie mrudi makwenu yani huyu kiumbe mme ameniuzi sana sana.
Shikamoo nyie wanaume hivi sijui manakuaga na akili gani halafu kujifanya kila kitu mnajua wakati hamna lolote.