Hongera mkuu uliyepata hata baada ya deadline. wengine mpaka dakika hii hakuna kitu mbali na kwenda ofisin kwao na kujaza form kwa kigezo kuwa watatuma mpaka dakika hii hakuna kitu. nahisi form zetu wamefungia maandazi
Hongera mkuu uliyepata hata baada ya deadline. wengine mpaka dakika hii hakuna kitu mbali na kwenda ofisin kwao na kujaza form kwa kigezo kuwa watatuma mpaka dakika hii hakuna kitu. nahisi form zetu wamefungia maandazi