Kwako bwana utafiti,salam.,.. Lengo langu ni kukueleza yaliyo moyoni mwangu,nakupenda sana hadi najishangaa,nipo serious kabisa,nakupenda si utani ndo maana nimeamua kufunguka hadharani!I am Tanzanian lady,kama umeoa nipo tayari kua nyumba ndogo au spea tairi.
Kwako bwana utafiti,salam.,.. Lengo langu ni kukueleza yaliyo moyoni mwangu,nakupenda sana hadi najishangaa,nipo serious kabisa,nakupenda si utani ndo maana nimeamua kufunguka hadharani!I am Tanzanian lady,kama umeoa nipo tayari kua nyumba ndogo au spea tairi.
Hua najaribu kujiuliza kizembe
Hivi mtu unampenda mtu inakuwaje unakuja hapa hadharani?
PM hazipo?
Au ni uongo tu?
Mwishowe naona kama wote waliokuja hapa na kujidai eti wanawazimikia watu ni waongo tu
CC: Shenazi na wengineo .......!!!!!!!!!!!!!!!!!
utafiti utafiti utafiti utafiti utafiti utafiti utafiti utafiti....................... baba ''miss chagga ''kuja pande hiiiiiiiiii
miss chagga mamayako anapata mke mwenza...
Shetani akemewe, ashindwe kabisa! Alegee kabisa. Shetani nakukemea kwa jina la YESU, ushindwe, umuache mtoto wa Mungu alitukuze jina la bwana.
Hua najaribu kujiuliza kizembe
Hivi mtu unampenda mtu inakuwaje unakuja hapa hadharani?
PM hazipo?
Au ni uongo tu?
Mwishowe naona kama wote waliokuja hapa na kujidai eti wanawazimikia watu ni waongo tu
CC: Shenazi na wengineo .......!!!!!!!!!!!!!!!!!
mi mwenyewe nakuzimiaga basi tu natafuta muda mzuri nikuanzishie thread
hayo ndo mapenzi kunoga
tena hiyo suti yako ndo inanimaliza kabisaaUlogwe ........
Na ile makitu sitakupa tena!
^^
Mmm Baba paroko, wali unawekea mchanga
^^
tena hiyo suti yako ndo inanimaliza kabisaa
Muone .........
Nimekuambia yaani ukilogwa tu ukaleta hiyo siredi
Nakunyima ile makitu
Na najua unavyoitamani .......
bora uninyime ila thread nimeanzisha
Huu ni uji.nga mkuu
Kama unampenda mtu hilo ni suala binafsi
Ndio maana wakaweka kitufe cha ujumbe binafsi [Private Massage]
Na imewekwa sheria mambo ya huko ni marufuku kuletwa hapa
Sasa inakuwaje mtu alete masuala binafsi hapa?
Si kutuzuga tu huko?