ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,827
- 27,259
bahari imevukwai bila kuloa mbupu una kingine?Usain bolt hii ndio mida yako hii
bahari imevukwai bila kuloa mbupu una kingine?Usain bolt hii ndio mida yako hii
Pole sanaMAADA IMEFUNGWA
Japokuwa bahati kwenye mpira ipoKwahiyo kusema kwako kuwa Yanga hawezi kufanya kitu fulani unajigeuza wewe ni mganga? Mungu? Mshika funguo za mafanikio au mpiga ramli? Ushabiki upo ila sio kuwa kama ni mgeni wa mpira wa miguu. Kilichotokea leo ni funzo kwako na kwa wengine kuwa muwe na akiba ya maneno mpira wa miguu ni mchezo usiotabirika.
Umetoa sare na Al Ahly?bahari imevukwai bila kuloa mbupu una kingine?
Sare ya Nini?Umetoa sare na Al Ahly?
Endeleeni kuwekeza nguvu kwa Yanga next week mtarudi kwenye wimbo wenu maarufu "hatumtaki Mangungu"Umetoa sare na Al Ahly?
Bila shaka wewe ni toto ya Rage!Boss, anazipata wapi hizo 4? Kuna wakati mkubali ukweli usemwe. Nitakurudia trh 24 baada ya match
Hivi kwa sasa hapo ulipo unajisikiaje? Hebu tuuheshimu mpira jamani tuache haya mazongezonge na kusema mamcbo kwa hisia ...... wahedBoss, anazipata wapi hizo 4? Kuna wakati mkubali ukweli usemwe. Nitakurudia trh 24 baada ya match
Mwisho mnajikuta nyie ndio mazuzuJiandae kupingwa na Mazuzu ya Jangwani..
Hao sio sisiEndeleeni kuwekeza nguvu kwa Yanga next week mtarudi kwenye wimbo wenu maarufu "hatumtaki Mangungu"
Indeed 😅😅🔥🔥🔥Road To Final
Kikowapi?MAADA IMEFUNGWA
Cheka tu Mkuu sababu Mikia huwa akili zao wanazijua wenyewe. 😀
We kwel embe bichiBoss, anazipata wapi hizo 4? Kuna wakati mkubali ukweli usemwe. Nitakurudia trh 24 baada ya match