The atlantic
JF-Expert Member
- Aug 1, 2023
- 289
- 528
Hongera. Utafika mbali.Hiyo game ya yanga na CRB pale kwa mkapa ni game ngumu mno tofauti na wadau wengi wanavyopiga hesabu za vidole tena inaweza ikatoa matokeo ya kushangaza....ila yanga akifanikiwa kushinda 4-0 anapita moja kwa moja kwenda robo kabla hajacheza hata game yake ya mwisho na al ahly, na akitokea amefungwa hata goli moja itakuwa end of the road kwake!....