Yanga yatoka rasmi mashindano ya CAF, hakuna muujiza utaweza kuwasaidia

View attachment 2906369

Mechi za Yanga zilizobaki

Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini

Mechi za CR Belouzidad

Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC

ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.

Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Hata msimu uliopita mlikuja na porojo za aina hii! Lakini mwisho wa siku kidume akacheza fainali kombe la Shirikisho.
 
Majabu ya mpira hayajawahi kuisha usishangae yanga akadraw nyumbani na hao warabu Koko alafu akaenda Cairo kumchinja mwarabu pure.
Au yanga akashinda home and away vyote vinawezekana kwenye mpira
 
Majabu ya mpira hayajawahi kuisha usishangae yanga akadraw nyumbani na hao warabu Koko alafu akaenda Cairo kumchinja mwarabu pure.
Au yanga akashinda home and away vyote vinawezekana kwenye mpira
 
Yanga anaweza kupita, goli 3 zinawezekana kabisa. Anahitaji huo ushindi tu, kwani wakiwa point sawa head to head itatumika baina yao kuona katika yake na CR nani kachukua point nyingi kwa mwenzake, ikiwa sawa magoli yatachukua nafasi.
Ndo yaliyotokea
 
View attachment 2906369

Mechi za Yanga zilizobaki

Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini

Mechi za CR Belouzidad

Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC

ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.

Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Sheikh Yahaya unajisikiaje huko uliko?
 
Back
Top Bottom