THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,730
- 3,290
Hakunaga Mjomba Mwenye Akili.
Maana Mjomba ni Mama so Akili zao wote hua za Kimama.
Maana Mjomba ni Mama so Akili zao wote hua za Kimama.
Hata msimu uliopita mlikuja na porojo za aina hii! Lakini mwisho wa siku kidume akacheza fainali kombe la Shirikisho.View attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Kabisa ndugu yangu tuhifadhi na hii.Hii risiti muhimu sana.
SalaamWee naeee.
Baada ya mechi nitafanya uchambuziAfadhali hujataka kusema chochote.
Ipo siku kuna watu hawatajibu quotes zetu kwenye huu uzi.
Mi mzima kama chuma.Salaam
😂😂 lolBaada ya mechi nitafanya uchambuzi
NashukuruMi mzima kama chuma.
Majabu ya mpira hayajawahi kuisha usishangae yanga akadraw nyumbani na hao warabu Koko alafu akaenda Cairo kumchinja mwarabu pure.
Au yanga akashinda home and away vyote vinawezekana kwenye mpira
Ndo yaliyotokeaYanga anaweza kupita, goli 3 zinawezekana kabisa. Anahitaji huo ushindi tu, kwani wakiwa point sawa head to head itatumika baina yao kuona katika yake na CR nani kachukua point nyingi kwa mwenzake, ikiwa sawa magoli yatachukua nafasi.
Na matumizi yake ni sasaMbio mbio nikakimbilia kuangalia aliyeanzisha uzi. Mawazo yangu yote najua ni Mwasibu.
Ndugu yangu adriz kama kawaida huu uzi tukauhifadhi kule masijala kwa matumizi ya baadae.
Njoo uchambue sasa kama ni rahisi. 😂Baada ya mechi nitafanya uchambuzi
Sheikh Yahaya unajisikiaje huko uliko?View attachment 2906369
Mechi za Yanga zilizobaki
Yanga vs CR Belouzidad - Nyumbani
Al Ahly vs Yanga - Ugenini
Mechi za CR Belouzidad
Yanga vs CR Belouzidad
CR Belouzidad vs Medeama SC
ili Yanga ifuzu hakuna namna inabidi ishinde SIO CHINI YA GOLI 4 dhidi ya CR Belouzidad, ukipunguza hisia za ushabiki utakubaliana nami kwamba Mechi ya Al Ahly sio ya kuipa matumaini, huwa wapo tofauti sana wakiwa kwao, kwa makadirio tukijitahidi wanaweza kutufunga goli mbili.
Belouzidad mechi ya mwisho atacheza nyumbani kwake dhidi ya vibonde wa kundi Medeama SC ambao wamefungwa 3 - 0 mechi zote za ugenini dhidi ya Yanga na Al Ahly, Kwa makadirio si ajabu nao Belouzidad wakijipigia tatu.
Kabisa Mkuu.Na matumizi yake ni sasa
Naam Mkuu, wengine tuliangalia uhalisia wa mpiraNdo yaliyotokea