gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,216
- 5,790
Angalia anachokioffer uwanjani.hayo ya nidhamu yana utaratibu wake.Dunian hakuna mkamilifu asilimia 100 ndo maana vyombo vyakutufanya tufwate sheria na taratibu viko kila mahali.Morison watu wanamhukum kwa hisia zaidi za ushabiki kwasababu ya yaliyotokea uko nyuma kati ya hivi vilabu viwili lakini huyo jamaa utukutu wake niwakawaida sana ukilinganisha na anachokifanya uwanjani.Hayo ya nidham watajua namna yakufanya ila tumuache acheze soka letu bado linahitaji sana wachezaji wakulichangamsha ili liwe na mvuto zaidi.Hata uwe mzuri vipi bila nidhamu ni kazi bure