1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Baada ya Yanga kusikia Azam wametoa misaada kwa yatima huko Tanga, na wao wamejibu kwa kwenda Duga kutoa misaada.
Ngoma ngumu hii wajameni, azam kazeni hapo hapo, ikiwezekana ongezeni misaada kwa watoto na yatima, changieni damu pia, Leo mmewakamata hao jamaa zenu.
Ngoma ngumu hii wajameni, azam kazeni hapo hapo, ikiwezekana ongezeni misaada kwa watoto na yatima, changieni damu pia, Leo mmewakamata hao jamaa zenu.