kama manji na Kleb wanaivuruga Yanga, RAGE anaifanya nini Simba. Mbona Okwi anawasumbua akili hivyo hadi mnapoteza busara kabisa?
Hivi wewe ni mfanyakazi au kibarua? Hupo dunia gani ndugu yangu? kweli ktk dunia hii unashangaa mkataba wa kazi kuvunjwa sababu muajiriwa hajalipwa miezi sita?
Namashaka wewe ni muajiriwa wa mhindi tena mfanyakazi wa nyumbani ndio maana mambo ya mikataba na wewe ni mbalimbali., hata usipolipwa miezi sita kwako sawa tu unaendelea na kazi kisa kupata ajira ni vigumu sana siku hizi.
Funguka macho kaka jielimishe kuhusu mikataba hususan mikataba ya ajira maana ktk upande huo kuna tatizo.