Dinnah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 791
- 1,058
OneMkuu usijali sana, leo Wa-msimbazi wanapata habari yao, lazima wakione cha mpilipili na maua yake, trust me...
Sent using Jamii Forums mobile app
OneMkuu usijali sana, leo Wa-msimbazi wanapata habari yao, lazima wakione cha mpilipili na maua yake, trust me...
Unapumiliwa we we..timu mbovu inawezaje kuongoza ligiDroo, ijumamosi ni siku ya yanga kihstoria ,japo wanatimu mbovu.
Kila ninavyokuona, unazidi kuishiwa busara!Pamoja na mwinyi zahera kwenda kongo kuonana na waganga mbalimbali hajaweza zuia kipigo ambacho yanga watakipata leo.
Na hili jambo limesababisha apaniki sana na kutafuta mtu wa kumwangushia jumba bovu. Kongo wamemwambia ni ngumu sana kumwepusha na kipigo hiki.
Yanga ina ubovu gani?Droo, ijumamosi ni siku ya yanga kihstoria ,japo wanatimu mbovu.
Mkuu watakipata cha mbwa koko?Labda wasije uwanjani Leo, lakini kipigo chake anakijua mroto
Draw