Dinnah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 791
- 1,058
Usilie lakini mkuu ngoja nikanunue vuvuzelaMkongo aanze kutafuta kazi nyingine mapema! au arudi kwao akaendelee imba boringo,
Leo hamtolala majirani zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usilie lakini mkuu ngoja nikanunue vuvuzelaMkongo aanze kutafuta kazi nyingine mapema! au arudi kwao akaendelee imba boringo,
Hahaha mtani baadae ntakuita hapa hapa usije ukajificha tuUsilie lakini mkuu ngoja nikanunue vuvuzela
Leo hamtolala majirani zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijifichi mtani labda mb zikiisha mapema mtaniHahaha mtani baadae ntakuita hapa hapa usije ukajificha tu
Ipi mkuu, kuna azam sports hd, azam sports 2 au azam two? asante...Azam TV sports mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo kazi hiyo inatakiwa uwe makini na luninga kuangalia hizo channel ulizo orodhesha ipi itaonyeshaIpi mkuu, kuna azam sports hd, azam sports 2 au azam two? asante...
Nala mboga leo, tena zote mbele na nyuma.Kuwa makini usije jikuta unaliwa mwenyewe
Ulichovuta dada usivute tena, sio kizuri kwa afya yako.Leo yanga mapemaaaa Niko siti ya mbele yanga 3. Simba 1,nani anabisha
Tukifungwa navaa nikabu nakuwa nawazoom tu,Ila hatufungwiiiiii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Time will tellUlichovuta dada usivute tena, sio kizuri kwa afya yako.
Ni kuifuta tu isitokee ...Hii ndoto ni ya kutisha kama jinamizi mwenyezi ifutilie mbali simba Sc ushindi lazima
Nguvu Moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante ndugu
hahahahahahaSasa hapo kazi hiyo inatakiwa uwe makini na luninga kuangalia hizo channel ulizo orodhesha ipi itaonyesha
Sio yote ya kutafuniwa mkuu jiongeze Mimi na pressure saizi ngoja nivute pumzi tu,nakutakia uangaliaji mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usijali sana, leo Wa-msimbazi wanapata habari yao, lazima wakione cha mpilipili na maua yake, trust me...Sasa hapo kazi hiyo inatakiwa uwe makini na luninga kuangalia hizo channel ulizo orodhesha ipi itaonyesha
Sio yote ya kutafuniwa mkuu jiongeze Mimi na pressure saizi ngoja nivute pumzi tu,nakutakia uangaliaji mwema
Sent using Jamii Forums mobile app