namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 608
Mkuu hayo maneno yako yanatoka kinywani mwako au kwenye kijambio ?, niambie mara ya mwisho Mikia fc ilishiriki lini mashindano ya vilabu vya Africa na matokeo yalikuwaje mbwea ninyiNdiyo maana nimesema mashabiki wa yanga ni sawa na Misukule....kwani toka wewe uzaliwe mpaka hapa ulipofika Yanga imefanya nini cha maana kimataifa Zaidi ya wao kuwa wasindikizaji? Nasubiri jibu lako.