Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Timu bado zinaendelea kujiimarisha kuelekea msimu ujao kwa kusajili na kuwaongezea mikataba wachezaji muhimu kwenye vikosi vyao.
Timu ipi ina safu hatari ya ushambuliaji kuelekea msimu ujao wa 2025/26?
Yanga SC
Simba SC
Timu ipi ina safu hatari ya ushambuliaji kuelekea msimu ujao wa 2025/26?
Yanga SC
- Clement Mzize
- Pacôme Zouzoua
- Lassine Kouma
- Maxi Mpia Nzengeli
- Elie Mpanzu Kibisawala
- Mohammed Bajaber
- Jonathan Sowah
- Jean Charles Ahoua
- Feisal Salum Abdallah (Fei Toto)
- Jephte Kitambala
- Iddy Seleman Nado
- James Akaminko