Yanga, Simba na Azam: Timu ipi ina safu kali ya ushambuliaji kuelekea msimu wa 2025/26?

Yanga, Simba na Azam: Timu ipi ina safu kali ya ushambuliaji kuelekea msimu wa 2025/26?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Timu bado zinaendelea kujiimarisha kuelekea msimu ujao kwa kusajili na kuwaongezea mikataba wachezaji muhimu kwenye vikosi vyao.

Timu ipi ina safu hatari ya ushambuliaji kuelekea msimu ujao wa 2025/26?

Yanga SC

1754893550977.png
  • Clement Mzize
  • Pacôme Zouzoua
  • Lassine Kouma
  • Maxi Mpia Nzengeli

1754894111928.png
Simba SC
  • Elie Mpanzu Kibisawala
  • Mohammed Bajaber
  • Jonathan Sowah
  • Jean Charles Ahoua
Azam FC

1754894415931.png
  • Feisal Salum Abdallah (Fei Toto)
  • Jephte Kitambala
  • Iddy Seleman Nado
  • James Akaminko
 
Kwa hapa Bongo Utopolo ndio ina uwezekano wa kuwa na washambuliaji wakali. kumbuka ule udhamini wa timu 8!

Kimataifa Mnyama SSC hana Mpinzani kwa hilo.

Takwimu za CAF ndo zinaongea. No research,no right to speak
 
Timu bado zinaendelea kujiimarisha kuelekea msimu ujao kwa kusajili na kuwaongezea mikataba wachezaji muhimu kwenye vikosi vyao.

Timu ipi ina safu hatari ya ushambuliaji kuelekea msimu ujao wa 2025/26?

Yanga SC

  • Clement Mzize
  • Pacôme Zouzoua
  • Lassine Kouma
  • Maxi Mpia Nzengeli

Simba SC
  • Elie Mpanzu Kibisawala
  • Mohammed Bajaber
  • Jonathan Sowah
  • Jean Charles Ahoua
Azam FC

  • Feisal Salum Abdallah (Fei Toto)
  • Jephte Kitambala
  • Iddy Seleman Nado
  • James Akaminko
Mbona kwa Yanga umewaacha Ecua, Doumbia na Dube?
 
mleta hata wewe hujui maana ya mshambuliaji..kwenye orodha yako hapo ume muweka FEI TOTO kwahiyo nae mshambuliaji.!
 
Kwa hapa Bongo Utopolo ndio ina uwezekano wa kuwa na washambuliaji wakali. kumbuka ule udhamini wa timu 8!

Kimataifa Mnyama SSC hana Mpinzani kwa hilo.

Takwimu za CAF ndo zinaongea. No research,no right to speak
Sema udhamini wa timu 9 mbona unajichanganya mwenyewe
 
Kwangu Mimi naiona safu ya ushambuliaji ya yanga bado ni tishio ukizingatia uwepo wa watu Kama pacome nzengeli mzize na wengine kwa Simba nadhani mshambuliaji ambae anaonekana ni tishio ni mpanzu nadhani na huyu sowah Kama ataendeleza Moto aliokuwa nao jamaa ni bonge la straika Hawa wengine sijajua
 
Kwa hapa Bongo Utopolo ndio ina uwezekano wa kuwa na washambuliaji wakali. kumbuka ule udhamini wa timu 8!

Kimataifa Mnyama SSC hana Mpinzani kwa hilo.

Takwimu za CAF ndo zinaongea. No research,no right to speak
Yanga inatisha sana hapa bongo, na ndo timu inayoongoza kwa kukimbiwa
 
Back
Top Bottom