Yanga sc Vs Ruvu shootings

Yanga sc Vs Ruvu shootings

umeanzisha na uimalizie sio unapotelea kusiko julikana mambo yakianza kubadilika.
 
1.Ally Mustafa 'Barthez'
2.Juma Abdul
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Mbuyu Twite
6.Athumani Idd 'Chuji'
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo
9.Nizar Khalfani
10.Hamis Kiiza
11.Haruna Niyonzima

Subs:
1.Said Mohamed
2.Shadrack Nsajigwa
3.David Luhende
4.Nurdin Bakari
5.Said Bahanuzi
6.Jerson Tegete
7.Didier Kavumbagu
 
Kikosi cha Yanga:

1.Ally Mustafa 'Barthez'
2.Juma Abdul
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Mbuyu Twite
6.Athumani Idd 'Chuji'
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo
9.Nizar Khalfani
10.Hamis Kiiza
11.Haruna Niyonzima

Benchi:
1.Said Mohamed
2.Shadrack Nsajigwa
3.David Luhende
4.Nurdin Bakari
5.Said Bahanuzi
6.Jerson Tegete
7.Didier Kavumbagu
 
Kikosi cha Ruvu Shooting:

Benjamin Haule
Michael Aidan
Mau Bofu
Ibrahim Shaban
Mangasini Mangasini
Gideon Tepo
Ayoub Kitala
Ernest Ernest
Hassan Dilunga
Said Dilunga
Abrahman Mussa
 
Dak. 23 bao ni 0-0. Ruvu Shooting wako ngangari, wanashambulia sana! Swali ni wataweza kulisimamisha treni lililokata breki?
 
Dk 25
Ruvu wanapata kona....baada ya shambulizi langoni mwa Yanga.
Mpira unatoka...goalkick!
 
Dk 28
Ruvu wanakosa goli la wazi...mshambuliaji wa Ruvu anapiga nje!!
 
Makoye
kitu chochote kilichokata breki si rahisi kukisimamisha ko hata RUVU hawawezi kumsimamisha YANGA.
 
Dk 30
Yanga wanapata freekick nje kidogo ya 18.
Niyonzima anapiga....kona

Kona inapigwa...mpira unatoka.

Yanga 0 - 0 Ruvu Shooting
 
Dk 30
Yanga wanapata freekick nje kidogo ya 18.
Niyonzima anapiga....kona

Kona inapigwa...mpira unatoka.

Yanga 0 - 0 Ruvu Shooting
hapa si bure huenda simba na azamu wako ruvu!!
 
Back
Top Bottom