Mimi ndiyo siipendi hiyo CCM kuliko ninavyoweza kuelezea, lakini ninaipenda sana Yanga tangu nikiwa mdogo. kwa hiyo kero yangu mtu anapoihusisha Yanga na CCM kwa sababu ya rangi nitamchukia huyo kuliko ninavyoweza kueleza hapa. niishie hapo kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.