Yanga: Rangi zetu zinatuponza jamani

Yanga: Rangi zetu zinatuponza jamani

Bramo

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
13,230
Reaction score
10,201
Wakuu JF Wana Young Africans Amani iwe Nanyi.
Nipende kuonesha masikitiko Makubwa sana kwa kilichowapata Wachezaji wetu jana Mbeya Baada ya Gari lao kushambuliwa na Mawe na anaodhaniwa kuwa ni Mashabiki wa Mbeya City FC.
Gari limevunjwa vioo na Dereva kujerehiwa Vibaya sana.


Ombi.
Niwaombe wa Tanzania na Makamanda wote kujua kuwa ijapokuwa Rangi zetu binafsi zinanikera sana na kupelekea Matukio kama ya jana.
Nipende kuwajulisha kuwa zaid ya 80% ya Mashabiki wa Vijana wa Jangwani sio wafuasi wa Magamba.
Ni Hayo tu
 
Hata mimi siipendi Yanga kutokana na rangi za nguo zao!
 
Hivi wewe mleta mada kama huna la maana la ku-post si ufiche upumb.avu wako?
 
Rangi hazinitishi,mi mshabiki wa Yanga na mwanachama wa CDM
 
Ficha ujinga wako... Kwa mtazamo wako waliovamia basi ni cdm na sio mby city.. Kama ishu ni rangi why mashabiki wa mby cty?
 
Wanataka kudai kuwa waliorusha mawe ni wafuasi wa sugu, kumbe magamba walipandikiza watu ili kutengeneza propaganda. Wanazo mbinu nyingi. Ingawa nyingi zineshindwa, huenda kuna itakayofaulu.
 
Rangi ya Yanga inanipa shida sana, nashindwa kukiri kuwa mi shabiki mkubwa wa Yanga

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Funikeni upum*avu wenu. Mbona Brazil ilikuja hapa na haikupigwa mawe na rangi zao ni sawa na za Yanga. Michezo sio siasa!
 
watu wa mbeya mna mambo kupigwa kwa yanga ni sababu ya rangi ya jezi sisi wa ilamba kwa madelu amani inatawala ukizigatia mkuu yupo ngambo ametuachia amani na upendo.
 
Aisee huu sasa ni ujinga, kwa hiyo waliofanya fujo ni wana chadema???
 
We unaonekana Umetumwa Na magamba kuwaaminisha Watu kuwa yanga walipigwa na wanachama Wa CDM, Acha uchwara
 
>Msemaji wa yanga bwana kizuguto amekiri kwamba rangi ya kijani na njano waliyokuwa wamevalia iliwaponza!!
 
Hapa Mbeya ukizungumzia YANGA ni sawa na kutaja Magamba,...Mbeya na magamba wapi na wapi!
 
CCM ni zaidi ya rangi!!!

Mkuu chama,

Hawa pro CHADEMA wamepapasa huko na huku na kutafuta wapi pa kutokea ili waichafue CCM ila imeshindikana; eti sasa wameamua kutokea kwenye rangi.

Hawa jamaa kweli viroba vitawaua.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama,

Hawa pro CHADEMA wamepapasa huko na huku na kutafuta wapi pa kutokea ili waichafue CCM ila imeshindikana; eti sasa wameamua kutokea kwenye rangi.

Hawa jamaa kweli viroba vitawaua.

Hii avatar yako mkuu inatia kinyaa sana ningeomba uibadili tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom