Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Wakuu JF Wana Young Africans Amani iwe Nanyi.
Nipende kuonesha masikitiko Makubwa sana kwa kilichowapata Wachezaji wetu jana Mbeya Baada ya Gari lao kushambuliwa na Mawe na anaodhaniwa kuwa ni Mashabiki wa Mbeya City FC.
Gari limevunjwa vioo na Dereva kujerehiwa Vibaya sana.
Ombi.
Niwaombe wa Tanzania na Makamanda wote kujua kuwa ijapokuwa Rangi zetu binafsi zinanikera sana na kupelekea Matukio kama ya jana.
Nipende kuwajulisha kuwa zaid ya 80% ya Mashabiki wa Vijana wa Jangwani sio wafuasi wa Magamba.
Ni Hayo tu
Nipende kuonesha masikitiko Makubwa sana kwa kilichowapata Wachezaji wetu jana Mbeya Baada ya Gari lao kushambuliwa na Mawe na anaodhaniwa kuwa ni Mashabiki wa Mbeya City FC.
Gari limevunjwa vioo na Dereva kujerehiwa Vibaya sana.
Ombi.
Niwaombe wa Tanzania na Makamanda wote kujua kuwa ijapokuwa Rangi zetu binafsi zinanikera sana na kupelekea Matukio kama ya jana.
Nipende kuwajulisha kuwa zaid ya 80% ya Mashabiki wa Vijana wa Jangwani sio wafuasi wa Magamba.
Ni Hayo tu