Yanga mpeni timu Minziro bana!

Yanga mpeni timu Minziro bana!

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,410
Kwani kuwa na kocha mzungu imekuwa fasheni? Mpeni timu Felix minziro analijua soka la bongo na mazingira yetu na anauchungu na timu yetu kuliko hao wahindi
 
Kaka unatutafuta,
Pamoja na kuwa amecheza Yanga na kufundisha katika vipindi tofautitofauti kujumlisha na uchungu alio nao kwa Club, lkn bado uwezo wake katika harakati za kuivusha Yanga kuelekea level nyingine ni mdogo sana,tuwaache kina Mwesigwe wafanye kazi yao kwani kuna maombi yaliyoambatanishwa na C.V kama 20 hivi za makocha wa maana,wa humu barani africa excluding Tanzania na wengine kutoka Ulaya na America ya kusini huko ma'brazil nini na ma'nchi mengine yaliyo katika ramani za juu ki'soka,mtatutaka...
 
Kaka unatutafuta,
Pamoja na kuwa amecheza Yanga na kufundisha katika vipindi tofautitofauti kujumlisha na uchungu alio nao kwa Club, lkn bado uwezo wake katika harakati za kuivusha Yanga kuelekea level nyingine ni mdogo sana,tuwaache kina Mwesigwe wafanye kazi yao kwani kuna maombi yaliyoambatanishwa na C.V kama 20 hivi za makocha wa maana,wa humu barani africa excluding Tanzania na wengine kutoka Ulaya na America ya kusini huko ma'brazil nini na ma'nchi mengine yaliyo katika ramani za juu ki'soka,mtatutaka...



unajidanganya sana kuhusu watu weupe,subiri waje wazee wa 10% kama kina kina Papic. Mwape alikuwa anakosa magori kama taahira lakini alikuwa anamngangania just bcoz of ushkaji na 10 kutoka kwake
 
Kwani kuwa na kocha mzungu imekuwa fasheni? Mpeni timu Felix minziro analijua soka la bongo na mazingira yetu na anauchungu na timu yetu kuliko hao wahindi

Wazee wana 750m, wajaribu kumshawishi Pep...
 
unajidanganya sana kuhusu watu weupe,subiri waje wazee wa 10% kama kina kina Papic. Mwape alikuwa anakosa magori kama taahira lakini alikuwa anamngangania just bcoz of ushkaji na 10 kutoka kwake

Sasa kama Tanzania hakuna wazawa-walimu wazuri wa soka ulitakaje?,makocha wote wa kigeni ndo wamekamatia nafasi 4 za juu katika Ligi iliyomalizika Milovan,Stewart,Papic na Olaba,kati yao hawa wa'3 ni wazungu,unafikiri Yanga ni ya majaribio kama ilivyokuwa Kilimanjaro Stars kwenye Challenge iliyoisha,wazungu watatufundisha sana tutake tusitake.
 
Sasa kama Tanzania hakuna wazawa-walimu wazuri wa soka ulitakaje?,makocha wote wa kigeni ndo wamekamatia nafasi 4 za juu katika Ligi iliyomalizika Milovan,Stewart,Papic na Olaba,kati yao hawa wa'3 ni wazungu,unafikiri Yanga ni ya majaribio kama ilivyokuwa Kilimanjaro Stars kwenye Challenge iliyoisha,wazungu watatufundisha sana tutake tusitake.



unakumbuka kuna wakati Simba walikuwa na kocha JULIO,lakini yanga ilikuwa inabadilisha makocha wazungu na bado yanga ilikuwa inafungwa na simba au kukosa ubingwa?!
 
Vipi tena watani, nasikia mnataka kubomoa timu yetu, mmuchukue Nyoso, Jabu na Uhuru Seleman.
 
unakumbuka kuna wakati Simba walikuwa na kocha JULIO,lakini yanga ilikuwa inabadilisha makocha wazungu na bado yanga ilikuwa inafungwa na simba au kukosa ubingwa?!

Kufungwa na Simba wakati huo iko na Julio mara ngapi?,una proper records au unamsikiliza yule msema ovyo? alipokuwa anaiandaa Coastal kucheza na Yanga aliposema tokea kipindi anacheza mpaka anafundisha hajawahi kufungwa na Yanga?
 
Vipi tena watani, nasikia mnataka kubomoa timu yetu, mmuchukue Nyoso, Jabu na Uhuru Seleman.

Ni mipango tu Masuke usiogope,hadi sasa hivi habari ninazoweza kukuthibitishia kuwa tumeshamweka kwenye himaya yetu Nizar Khalfan,ame'sign mwaka mmoja,tunawapigia hesabu Kinda mmoja wa kulia wa Mtibwa pamoja na Nyoso(I personally dont recommend this),Jabu,Uhuru Selemani pamoja na Mrwanda kuna habari zinasema yupo hapa Town kimyakimya Viongozi wetu wanajaribu kumalizana naye silently,lkn tukifanikiwa kuwapata hasa Uhuru na Jabu wakijumuika na wengine watakaoingia kwenye radar zetu itakuwa bomba sana.
 
Hapo kwenye uhuru selemani NI NOTHING ,hapo kwa nyoso safi,coz akishirikiana na canavaro mambo msuano.Lakini tukimpata husen javu wa mtibwa itapendeza, pia na wcheka na wavu wa ukweli .Simfurahii nizar coz tuna viungo wengi mafundi.
 
Ni mipango tu Masuke usiogope,hadi sasa hivi habari ninazoweza kukuthibitishia kuwa tumeshamweka kwenye himaya yetu Nizar Khalfan,ame'sign mwaka mmoja,tunawapigia hesabu Kinda mmoja wa kulia wa Mtibwa pamoja na Nyoso(I personally dont recommend this),Jabu,Uhuru Selemani pamoja na Mrwanda kuna habari zinasema yupo hapa Town kimyakimya Viongozi wetu wanajaribu kumalizana naye silently,lkn tukifanikiwa kuwapata hasa Uhuru na Jabu wakijumuika na wengine watakaoingia kwenye radar zetu itakuwa bomba sana.
Nyoso ni mzuri lakini washabiki wengi wa Simba hawampendi kwa sababu ya kadi zake za kujitakia, Jabu alitusaidia sana round ya kwanza kipindi hicho Amir ni majeruhi, Uhuru alikuwa majeruhi muda mrefu lakini nilimwangalia kama mechi tatu za mwisho alijitahidi, kama mtawapata tunawatakia kila la heri, mchango wao hasa Nyoso na Jabu ni mkubwa maana wamekaa na Simba muda mrefu wakitokea Ashanti United.
 
I expect yanga itakuwa na tatizo la goalkeeping kama hawatasajir kipa mwingine wa kuaminika ,coz berko anatatizo la majeruh very frequently,huku kado sio wa kiviile
 
Uhuru is good ni suala la muda tu kwani muda si mrefu ametoka kwenye majeruhi,Nyoso bangi zake zainazomfanyaga acheze kitemi unnecesarry zinaweza zisitusaidie sana pale kati,goalkeeping kwakweli ni issue sijui labda walitafutie utatuzi wa kudumu lile bega la Berko otherwise itatugharimu kama ilivyotugharimu msimu huu kwani Kado na Said Mohamed bado sana
 
Back
Top Bottom