Yanga leo mmeuza mechi, kwanini mjifunge goli?

kibaravumba

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
6,635
7,005
Huwa mnapenda kutoa visingizio kila mkicheza. Sasa leo mtuambie kwanini mmefunga magoli yote mawili na mkahesabiwa mna goli moja?

Mmehongwa nyie leo. Haiwezekani kila siku wahongwe marefa tu.

Yanga mmekwama wapi hadi kuuza mechi wakati kama huu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom