kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Huwa mnapenda kutoa visingizio kila mkicheza. Sasa leo mtuambie kwanini mmefunga magoli yote mawili na mkahesabiwa mna goli moja?
Mmehongwa nyie leo. Haiwezekani kila siku wahongwe marefa tu.
Yanga mmekwama wapi hadi kuuza mechi wakati kama huu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmehongwa nyie leo. Haiwezekani kila siku wahongwe marefa tu.
Yanga mmekwama wapi hadi kuuza mechi wakati kama huu?
Sent using Jamii Forums mobile app