J joel amani Senior Member Nov 22, 2011 100 8 Oct 8, 2012 #1 timu haifurahishi sasa tunashindwa hata pa kukimbilia kujificha,cjui kwanini ilibana kwa simba
L Liame Senior Member Feb 5, 2011 125 34 Oct 8, 2012 #4 katika soka pana kushinda,kufungwa na dro....hence congraturation young.....hapo ndo soka inapaswa hiwe si kila siku wao
katika soka pana kushinda,kufungwa na dro....hence congraturation young.....hapo ndo soka inapaswa hiwe si kila siku wao
T Think Tank JF-Expert Member Nov 16, 2010 233 25 Oct 8, 2012 #5 Haya sasa mashabiki waandishi wa yanga fanyeni kama mechi ya mtibwa!Wanafugwa liverpoor na waandishi wafata maadili wanaandika sembese yanga......!
Haya sasa mashabiki waandishi wa yanga fanyeni kama mechi ya mtibwa!Wanafugwa liverpoor na waandishi wafata maadili wanaandika sembese yanga......!
K Kifarutz JF-Expert Member Aug 7, 2012 1,736 359 Oct 8, 2012 #6 Yanga siyo kimeo tuheshimiane bwana mdogo
B Big GM Member Sep 25, 2012 23 5 Oct 8, 2012 #7 Jamani kwani umefungwa kamba uishabikie yanga?ndg yangu hama kama hutaki kufa kwa presha,
mathematics JF-Expert Member Feb 21, 2012 3,323 1,105 Oct 9, 2012 #8 match ijayo pia mnafungwa, jiandaeni kumtimueni kocha,
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Oct 9, 2012 #9 sasa hivi ni zamu ya mwenyekiti kutimuliwa,kwani twite hakupata mipira ya kurusha.
J joel amani Senior Member Nov 22, 2011 100 8 Oct 9, 2012 Thread starter #10 itatugarimu sana mwishoni mwa ligi kwani mwanzoni tunapoteza mechi nyingi