Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 638
- 1,902
Ni muda muafaka wa kumuonyesha Wallace karia kuwa Ligi ya Tanzania ni Simba na Yanga tu, Wengine wote ni mbwembwe tu
Karia anahujumiwa na watu wake wa chini kama akina Clifford
Ukiwa Bosi usipotumia akili watu wako wa chini wanakuingiza mkenge, Nafasi ya karia kuna watu wanaitaka kwa udi na uvumba
Hata mambo ya kijinga wao wanasema maadili, mpira ni Furaha na utani, Mpira sio sehemu ya ibada
Tusipokuwa makini kuna siku TFF wataanza kutuvalisha suti uwanjani badala ya jezi kisa jezi zinaacha matumbo wazi kwa akina Dada kama ile jezi ya simba
Huu ni wakati wa Yanga kumchana Wallace Karia live na kujitoa ushiriki wa mpira mwaka huu
Mapato ya TFF yatakaposhuka na wadhamini baadhi kuwakimbia akili itwakaa sawa TFF
TFF wataamua kumkumbatia karia au kumuomba ajiuzulu atuachie Timu zetu za ushindani toka enzi
Simba na Yanga ndio Ligi yenyewe,
Washamba wote wa bara wanashabikia timu za Dar es Salaam yaani Simba na Yanga badala ya timu za mikoa yao
Karia anahujumiwa na watu wake wa chini kama akina Clifford
Ukiwa Bosi usipotumia akili watu wako wa chini wanakuingiza mkenge, Nafasi ya karia kuna watu wanaitaka kwa udi na uvumba
Hata mambo ya kijinga wao wanasema maadili, mpira ni Furaha na utani, Mpira sio sehemu ya ibada
Tusipokuwa makini kuna siku TFF wataanza kutuvalisha suti uwanjani badala ya jezi kisa jezi zinaacha matumbo wazi kwa akina Dada kama ile jezi ya simba
Huu ni wakati wa Yanga kumchana Wallace Karia live na kujitoa ushiriki wa mpira mwaka huu
Mapato ya TFF yatakaposhuka na wadhamini baadhi kuwakimbia akili itwakaa sawa TFF
TFF wataamua kumkumbatia karia au kumuomba ajiuzulu atuachie Timu zetu za ushindani toka enzi
Simba na Yanga ndio Ligi yenyewe,
Washamba wote wa bara wanashabikia timu za Dar es Salaam yaani Simba na Yanga badala ya timu za mikoa yao