Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
Siyo maneno yangu, kuna timu zina makocha MEMKWA.
Tuliza mshono tusiuchane bure sikiliza wasafi fm Simba wamejibu kwamba Da Rosa atakwepo bench ingawa kwa sasa hana vigezo ila Simba walishajipanga hawakukurupuka.
Lakini hoja ya msingi ni hana vigezo, wewe mwenyewe umekiri kwenye maandishi yako na hata CAF wamethibitisha hivyo.Tuliza mshono tusiuchane bure sikiliza wasafi fm Simba wamejibu kwamba Da Rosa atakwepo bench ingawa kwa sasa hana vigezo ila Simba walishajipanga hawakukurupuka.
Ni kwamba Da Rosa alikuwa anaendelea na mafunzo yake online na anahitimu soon kabla ya mechi za simba za kimataifa
kwa hiyo MENKWATuliza mshono tusiuchane bure sikiliza wasafi fm Simba wamejibu kwamba Da Rosa atakwepo bench ingawa kwa sasa hana vigezo ila Simba walishajipanga hawakukurupuka.
Ni kwamba Da Rosa alikuwa anaendelea na mafunzo yake online na anahitimu soon kabla ya mechi za simba za kimataifa
Ndo furaha pekee mlio nayo
Kocha wenu ana PhD wa simba ana diploma
Mo hela zake za urithi, GSM katafuta mwenyewe
Jezi za yanga kali kuliko za simba
Aliyewapa makombe(manara)tumemchukua
Sie ndo tunaujaza uwanja kuliko nyie
Jinga kabisa,, yamesahau hata kuhoji hukumu ya Morrison na ahadi ya ubingwa waliyoahidiwa na bosi wao muuza poda kwa kivuli cha magodoro
Timu ya mbumbumbu kuendeshwa na memkwa ni jambo ka kawaida
Umeona memkwa hapokwa hiyo MENKWA
Nyie ambao mnashupalia vitu as if game za club bingwa hata onekana ndio mnatakiwa mtulieLakini hoja ya msingi ni hana vigezo, wewe mwenyewe umekiri kwenye maandishi yako na hata CAF wamethibitisha hivyo.
Kwahiyo anaetakiwa kutuliza mshono ni wewe ambae hauna habari reliable,mpaka pale ambalo CAF watatangaza vinginevyo. Hatuwezi kutuliza a kwa habari za Wasafi Fm.
Ni fitina za MEMKWA......UPESisi kama wananchi hatuta kubali hujuma za CAF dhidi yetu, haiwezekani CAF watumike na simba ili kutu hujumu sisi na kututoa mchezoni kwa mind games za ajabu ajabu .. kuna yeyote anaye weza kunielezea kwa nini jina la KAPUMBU limeonekana kwenye line up ya Rivers united ?? ..
Akikujibu nitagBaada ya kuachana na hao wa diploma! , je mafanikio yao yakoje?
mwaka huu wanacheza champions league wakiwa na kocha wao kwenye benchi hayo ni mafanikio, wa simba ataanzia jukwaani na pengine Januari Necta wakitoa matokeo yake ya kurisiti atarudi kwenye benchiBaada ya kuachana na hao wa diploma! , je mafanikio yao yakoje?