Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Tunahofia wang'oa viti. Wamejiandaa kufanya yao. Hakuna namna nyingine lazima wapigwe tu
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Ubebe kabisa na vaselini, usisahau.
 
Bado nina.imani na Barcelona ila jiangalieni Napoli sio watu wazur msije shangaa BARCA anapita Madrid anakwenda nje


Real Madrid always Hasta El Final!!! Barcelona kwenye [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] ishakuwa marehemu subirini next season tu.
 
Mtani kesho tunawaua 3 bila!
kuna mpuuzi flani wa fisiemu alisemaga kuwa zitto kabwe akilud bungeni angetembea uchi tok kibaha hadi posta lakini hadi leo hajakamilisha ahadi yake!!!!!
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Labda kama mtakuwa mmeshakula yale mambo yenu
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
mkuu, hii haijakaa sawa. watu wanataka kupata uhakika wa kuona vyombo vyako live (me/ke).

sasa wewe mjanja..hapa umetutega. Yanga yako ikifungwa siku hiyo, umejipa kijanja option ya kuvaa rambo, visafeti, jute bags, makaratasi.... utadai siyo "nguo".

sema utatembea UCHI watu tujiandae na popcorn zetu tukisubiri kuangalia erotica movie ya dezo bana!!
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Mungu anakuona mkuu.
 
Hivi simba na azam mfadhili mmoja?maana simba wanakaa hotel ya bakhresa ....hakuna mgongano wa kimaslai
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Lakini umejazia ? Siyo tuone fito zinakatiza barabarani .
 
Back
Top Bottom