kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,610
- 23,067
baada ya kutuonjesha ile bure tunataka tupewe tena nafasi ya kuja kuwashangilia kwa wingi,au mna uhakika wa kupigwa tena ili tusije kwa wingi,sema kwa tizi na magazeti yalivyoimaliza hiyo mechi itashangaza kama mtapoteza,
labda tuwatie moyo kazeni mpate point tatu mpate pa kuanzia!
labda tuwatie moyo kazeni mpate point tatu mpate pa kuanzia!