Haya ni matoke ya maumivu ya LIBORO. Mkuu,ya Msondo mpe Ngurumo.
mtajiju Yanga bado mnaweweseka........hallllllllllllllllllllloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Kwa sababu ukoo wenu makahaba unahisi kila mtu ni kahaba kama nyie.huwezi ushabiki kaa kimya.
Inashangaza sana kuona timu kama Yanga inayojianda na mashindano ya kimataifa inaogopa kushiriki mashindan ambayo yatawasaidia kujimaarisha zaidi katika kuelekea michuano ya ligi ya mabingwa! Shame upon you, dat ya mnaitwa VIZIBO FC AU 5 modern taarabu! Hamjui mpira zaid ya mipasho ya taarabu,
Na siku akiondoka huyo mwnyekit wenu hii timu ikikutana na simba lzm ten mpigwe 5 koz Manji ndo anawapa moyo wachezaji kwa vijieleza vyake hivyo!
Inashangaza sana kuona timu kama Yanga inayojianda na mashindano ya kimataifa inaogopa kushiriki mashindan ambayo yatawasaidia kujimaarisha zaidi katika kuelekea michuano ya ligi ya mabingwa! Shame upon you, dat ya mnaitwa VIZIBO FC AU 5 modern taarabu! Hamjui mpira zaid ya mipasho ya taarabu,
Na siku akiondoka huyo mwnyekit wenu hii timu ikikutana na simba lzm ten mpigwe 5 koz Manji ndo anawapa moyo wachezaji kwa vijieleza vyake hivyo!
Watu wengine bana wanajifanya wanaumeee.we uliona wapi mwanaume anajisifu.subiri akina dada waseme maku we. hapa tunazungumza mpira kama huwezi kaa kimya kama unaona jina ni ishu sana andika la ukoo wenu.huna adabu bana.
duh nasikitika nilishapanic sana hata hivyo nisamehe na mimi.sory mkuu..
usijali mkuuduh nasikitika nilishapanic sana hata hivyo nisamehe na mimi.
mtajiju Yanga bado mnaweweseka........hallllllllllllllllllllloooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Yanga wasnii zaidi ni woga na kutojiamini maana wanaona wazi wakiwa kule zenji watafungwa sasa zinafungwa Man U,Chelsea,Bayern M, Baca sebuse hii kandambili
Manchester si ndiyo simba? Subiri mwaka huu simba kama manchester! Patamu hapo
Ha ha ha ha kwi kwi kwi
piga yanga