Yanayotokea Dodoma; Tafsiri Yangu

Majid,
pamoja na makala yako ya kutaka kujisafisha.
Wewe bado ni lethal weapon, bado unasambaza sumu zako dhidi ya chama makini japo kwa kujifichaficha!! Ningekuelewa zaidi kama ungetoa ufafanuzi hapo nilipo-bold kuhusu CDM.
Kwa upande wa pili, sipendi kuingialia undani wa Visiwani, ila nadhani umechanganya Zanzibar na Unguja, otherwise kwenye makala yako ulimaanisha Pemba na siyo Unguja kama ulivyoandika.
wewe ndio walewale!!! kwani kilichofichwa ni nini? CC ya chadema iko upande wa mbowe, wanachama wengi wako upande wa Zitto!!!! kwni tatizo ni nini, au hutaki kipi hapo??

amezungumza sawa kabisa na chadema kilivyo!!! ebo kunya anye kuku akinya bata kaharisha!!1 udhaifu wa chadema utazungumzwa, lakini udhaifu na kukosoa huku ndio kinaikuza chadema, mbona ama za ndiyo mzee ziliiisha? umechelewa kuzaliwa weye!
 
Maggid akitulia na kuacha kulamba lamba miguu ya akina Ridhiwani anaweza kuandika kitu chenye substance ndani yake! Asante mtani wangu
 
Webs acha kupotosha hadhira hapa!

CC ya chadema iko upande wa mbowe, wanachama wengi wako upande wa Zitto!!!!

Wanachama wengi hatumwamini Zitto ni mropokaji na bado ana utoto! Unakumbuka alivyochonga kuwa Kikwete alikuwa ampe uwaziri? Unakumbuka alivyokuwa akisupport mradi ule wa kifisadi wa DOWANS? Zitto si yule kabla hajawa mjumbe wa kamati ya madini, pamoja na urafiki wako na Mh Zitto ukweli utabaki pale pale Zitto bado sana kupewa majukumu makubwa

Mch Masa K
 
Freeman Mbowe alipoulizwa kuhusu nafasi ya kuwa kiongozi wa upinzani bungeni akatamka ; Itaamuliwa kwenye Chama. Freeman Mbowe ni mzoefu katika siasa. Ametoa jibu hilo kwa umakini mkubwa. Lakini kuna Zitto Kabwe pia, naye anawania kuwa kiongozi wa upinzani bungeni.Tafsiri yake, dalili za uwepo wa makundi ndani ya CHADEMA.



Kama Freeman na Zitto watapambanishwa mbele ya wabunge, nahofia, kuwa Freeman anaweza kushindwa vibaya. Lakini, kama ' Hilo litaamuliwa na CC ya CHADEMA' , basi, Freeman anaweza akatoka salama , kugombea na kushinda kwa kishindo kura za wabunge wa kambi ya upinzani.

CUF nao namna gani?

Kule Unguja bado kuna pilau la ushindi linaliwa , maana, Unguja wameshinda wote ati! Maalim Seif na Dr. Shein wote marais, mmoja wa kwanza mwengine wa pili, kisha wanabadilishana. Mmoja akenda bara, aliyebaki kisiwani ndiye Rais, akirudi aliye kisiwani akenda zake bara, huko bara yeye Rais na aliyebaki kisiwani rais! Ndo mambo ya Unguja hayo.


wewe ndio walewale!!! kwani kilichofichwa ni nini? CC ya chadema iko upande wa mbowe, wanachama wengi wako upande wa Zitto!!!! kwni tatizo ni nini, au hutaki kipi hapo??

amezungumza sawa kabisa na chadema kilivyo!!! ebo kunya anye kuku akinya bata kaharisha!!1 udhaifu wa chadema utazungumzwa, lakini udhaifu na kukosoa huku ndio kinaikuza chadema, mbona ama za ndiyo mzee ziliiisha? umechelewa kuzaliwa weye!

Waberoya,
alivyoandika Maggid, amegusia CC vs Wabunge wa CDM.
But, wewe umeandika CC vs Wananchi. Logically, hapa kuna tofauti..
Siku zote naelewa msimamo wako mkuu, lakini usijaribu kutuchanganya hapa.
Labda nisikukwaze, nimekuwa Mfwatiaji kwa muda mrefu tuu hapa JF, sikurupuki!! kama alivyoweka wazi Raisi wangu Dr. Slaa kwa Watanzania kwamba hakurupuki!!
 
Hoja ni ya msingi sana,si kushabikia vyama tu cha msingi ni kuweka utaifa mbele.CCM wako madarakani, wengi hatupendezwi lakini ndio ishakuwa hivyo,hivyo ni vizuri kuongelea uhalisia zaidi wa mambo na tukaelewa zaidi kuliko ushabiki.Tuangalie ni nini kizuri wanaweza kutuletea na tusiombee dua la wao kushindwa,manake haitakuwa wao tu ni taifa zima litaingia kwenye janga kama wataendelea na maamuzi mabovu.Itakuwa vizuri kwa sasa dua na mawazo yetu vielekezwe kumpata spika ambaye kama hatakuwa yule aliyemaliza mda wake basi tupate bora zaidi ili bunge liweze kuwa huru zaidi na mwelekeo wa maslahi ya taifa.Sio spika aliyewekwa na mafisadi kwa maslahi ya mafisadi bali spika mwenye kulinda maslahi ya taifa hili.
 
Ndugu zangu,

Yanayotokea Dodoma, tafsiri yangu. Nimetoka kuangalia TBC1 punde tu. Mzee Makamba katangaza majina matatu yaliyopendekezwa na CC; Anne Makinda, Anne Abdalah na Kate Kamba. Kwa ninavyoupima upepo wa kisiasa, atakayepita kesho ni Anne makinda. Hao wawili wa mwisho watamsindikiza mwenzao. "Kamati Kuu ya CCM imeona, kuwa wakati sasa umefika kwa mhimili huu muhimu kuongozwa na mwanamke. Tangu uhuru mihimili hii ya dola imekuwa ikiongozwa na wanaume. CCM imeamua kumpendekeza mwanamke, sijui hao wenzetu watafanyaje"- Anasema Makamba kwenye TBC1.

TBC1 imewaonyesha Chenge na Sitta wakishikana mikono na kupiga picha ya pamoja ndani ya ukumbi wa mkutano. Je, wameamua mchana kuchimba mashimo na kufukia pinde na mishale yao, kisha warudi usiku kufukua na 'kuendeleza libeneke' ? Au kuna aliyeamua kutembeza ' libeneke'; kwa kuvunjavunja pinde na mishale yao?

Mzee Kingunge naye amefanyiwa mahojiano maalum na TBC1. Naye kwa namna yake anaonyesha kwa nini CCM imefanya hivyo. Ameanisha sifa za Spika; " Asiwe anayeegemea upande mmoja, wala kupachika ajenda yake. Aruhusu mijadala, awe kama mzani". Anasema Kingunge. Kuna ujumbe ameuwasilisha, maana jana kwenye TBC1 Bernard Membe alisema Spika anatakiwa awe na sifa kama za Spika aliyepita.

Inavyoelekea, CCM imemwandaa Anne Makinda kushika nafasi ya Uspika, ana uzoefu, amekuwa Naibu Spika katika Bunge lililopita. Hakuonyesha kuegemea upande. Anne Makinda ana haiba ( Personality). Jamii haijapata kusikia kashfa za Anne Makinda. Anaweza kuweka focus kwenye masuala ya wananchi na kero zao bila kuwa na matazamio ya kushika madaraka ya juu zaidi hapo baadae. Anatazamiwa kuwa royal kwa Rais na chama chake huku akijitahidi kuwatendea haki wapinzani. Na kama ilivyo kwa wanawake wengi duniani, mwananmke kwa kawaida hapendi jambo limharibikie.

Anne Makinda hatarajiwi kujiingiza katika makundi ya CCM yanayowania Urais wa 2015. Na kwa sura ya Kimataifa, Serikali ya JK itajiongezea alama zaidi ( points) kwa kuwa na Spika wa kwanza mwanamke tangu uhuru. Si nchi nyingi duniani, achilia mbali Afrika zenye maspika wanawake.

Na kauli ya " Kamati Kuu imeaona umefika wakati wa kuwa na Spika mwanamke" inaweza kurudiwa tena 2015 ikisikika tofauti kidogo.... kwamba.. "Kamati Kuu imeona umefika wakati wa kuwa na Rais mwanamke!". Yachunge maneno yangu hayo. JK anaonyesha kuwa mtu anayependa kuweka rekodi.

Vinginevyo, naweza kabisa kuandika; kuwa katika safari ya kuelekea 2015, Jakaya Kikwete ameanza na mguu mzuri.
 
Big up kaka Maggid, hapa jamvini kugumu especially ukikiponda chma flani...
 
TUNAWEZA kabisa kuandika, kuwa safari ngumu ya kisiasa kuelekea 2015 inaanza rasmi leo kule Dodoma. Na hatma ya safari, kama ni njema au mbaya hutegemea na mguu wa kuanzia safari hiyo.

Ukianza na mguu mbaya, basi, ndio imetoka hiyo. Mitaani wanasema; “ Imekula kwako!”. Bunge ni mhimili muhimu sana katika mihimili mitatu ya dola; Sheria ( Bunge), Utekelezaji ( Rais) na Hukumu ( Mahakama).

Na nchi huongozwa na siasa. Na bungeni ndiko unakochezwa ‘ mchezo wa siasa’. Bila shaka ye yote, Spika Wa Bunge, ni mtu muhimu sana. Na ndio sababu ya ‘ mnyukano’ huu tunaoushuhudia sasa katika kumpata Spika wa Bunge.

Na mwaka huu, kurunzi zinamulikia chama tawala, CCM, na Chama Kikubwa cha Upinzani bungeni, CHADEMA. Ni mtihani mgumu kwa Rais Jakaya Kikwete na Dr Willibrod Slaa kwa nafasi zao tofauti. Maana, Kikwete ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi. Harakati za kumpata mgombea Uspika kutoka CCM, kwa kiasi kikubwa zitategemea namna Kikwete atakavyotanguliza hekima, busara na hata kuwa na ujasiri wa kufanya maamuzi magumu itakapobidi.

Dr Slaa naye ameibuka kuwa mtu aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na kuongoza kwa umahiri mkubwa, kampeni za Urais kwa tiketi ya CHADEMA. Kwa nafasi yake ya Ukatibu Mkuu wa CHADEMA, Dr Slaa, hata kama kwa kukaa kiti cha nyuma, kwa kutanguliza hekima na busara, anatazamiwa kuongoza harakati za kumpata mgombea nafasi ya kuwa kiongozi wa upinzani bungeni kutoka chama chake.

CCM ina mtihani mgumu:

Chama hicho kimeshinda na kufanikiwa kupata nafasi ya kuunda tena Serikali huku kikiwa na majeraha mengi. Masikini, tumesikia, kuwa kuna waliokuwa wakiishi na majeraha. Wanataka kwenda kuponya majeraha. Kwa kutumia dawa gani? Tutajua mbele ya safari. Na wasipopewa nafasi ya kwenda kutibu majeraha? Ndio hivyo tena, wataendelea kuishi na majeraha. Huu ni mtihani mgumu kwa CCM na Jakaya Kikwete.

Naam. Miaka mitano iliyopita haikuwa mepesi kwa CCM na hususan ndani ya Bunge. Kashfa za ufisadi na kuibuka kwa makundi miongoni mwa wabunge wake kumepelekea kwa kiasi kikubwa kuporomoka kwa umaarufu wa chama hicho na hata Rais aliyekuwa madarakani. Tukiwa na majibu mkononi, leo tunaweza kabisa kusema. Weredi na uzoefu wa kisiasa wa Jakaya Kikwete umemsaidia yeye ( Kikwete) na chama chake kubaki madarakani. Kama Dr Slaa angeingia kwenye mbio za Urais tangu mwezi January mwaka huu, basi, huenda leo simulizi zingekuwa ni nyingine kabisa.

Naam. Kuna makosa makubwa yamefanyika ndani ya chama hicho, CCM . Na CCM wenyewe wanakiri ukweli huo.

Wanachama wa CCM na wapenzi wa chama hicho wanasubiri kwa hamu sana kuona ni mguu gani Kikwete ataanza nao hii leo.; Mguu mzuri au mguu mbaya? Kwa maneno mengine, sehemu ya hukumu kwa CCM kutoka kwa umma kuelekea 2015, inaweza kuanza kutolewa Dodoma kuanzia leo.

Chama Cha Mapinduzi bado kinajivunia ‘ K’ tatu; Ni chama Kikongwe, Kikubwa na Kinachotawala. Hivyo basi, bado kina hazina ya uzoefu. Kama CCM itajibu maswali ya mtihani wa kumpata mgombea Uspika haraka haraka, hivyo basi, kukosea. Basi, hata kusahihisha kosa hilo baadae nalo litakuwa ni kuongeza makosa. Kwa umma, kwa sasa, ni heri CCM iliyo madarakani na yenye kupambana na ufisadi na maovu mengine kuliko CCM iliyo madarakani na yenye kupambana na wabunge wapambanaji wa ufisadi kutoka upande wa pili; kwa maa ya kambi ya upinzani. Hilo la mwisho likitokea, basi, kuporomoka kwa umaarufu wa CCM kutakuwa ni sawa na wa nyumba ya karata.

Nini kitatokea kwenye chumba cha mtihani hii leo?

Kuna Scenario zifuatazo;

1. Nimesoma gazetini kuwa nafasi ya Unaibu Spika inagombaniwa na Jenister Mhagama. Hana mpinzani kutoka CCM. Tafsiri yake; kama CC ya CCM itapitisha jina hilo tu, basi, kwa kuzingatia gender balance, Spika hawezi kuwa mwanamke. Hivyo basi, majina kama Anne makinda, Anne Abdalah na Kate Kamba yatawekwa pembeni.

2. CC ya CCM inapeleka majina mawili ya wagombea Unaibu Uspika, moja la Jenister na lingiine la mwanamme, nani? Hatujui kwa sasa. Hapo itatoa mwelekeo wa vita ya Uspika, kwamba Spika anaweza kuwa mwanammke au mwanamme.

3. Kuna mgombea ‘atakayechinjwa’ ndani ya CC kabla majina kupekekwa kwenye 'caucus' ya chama. Hapa yaweza kutoa tafsiri kuwa kundi zima la mgombea huyo litakuwa limechinjwa. Hapa kuna simulizi yenye mafundisho. Kabila la Wazaramo ni mkusanyiko wa koo tofauti. Miongoni mwa koo za Wazaramo ni koo ya Wabena. Koo hii imepata jina hilo kutokana na desturi ya koo hiyo ilipokwenda vitani.

Waliposhinda na kuwateka adui, basi, hawakuwaacha adui waendelee kushika pinde zao na mishale. Waliivunja vunja. Kuvunja kuna maana ya “ Kubena’ kwa Kizaramo. Ndio asili ya jina la koo hiyo. Na ndio chimbuko la neno “ Libeneke” kwa maana lillovunjika. Ndugu yangu Michuzi amechangia kuukuza msamiati huo.

Ndio, Afrika wanasiasa ni wagumu sana kumaliza tofauti zao. Mchana watasema; “ Sasa basi, yaishe, tunachimba shimo na kufukia pinde na mishale yetu”. Usiku wanarudi na kufukua mashimo walimofukia pinde na mishale yao. Wataendeleza Libeneke! Koo ya Wabena Uzaramoni ilikuwa na watu wenye busara sana, waliijua dawa; kubena ( kuvunja) pinde na mishale ya adui, halafu ndio mazungumzo ya amani yanapoanza.

4. Jina la mgombea Uspika laweza kutoka nje kabisa ya wagombea wanaofikiriwa na wengi kwa sasa.
5.Jakaya Kikwete anaweza kufanya maamuzi magumu ambayo hakuna aliyeyatarajia, hivyo basi, kwa kasi kurudisha imani na umaarufu wake ambao kwa sasa umepungua. Na zaidi, kama mwanadamu, Jakaya Kikwete anafahamu, balaa kubwa linaloweza kumtokea maishani, ni kwa CCM kumfia mikononi mwake. Atafanya kila anachopaswa kufanya kuepusha dhahma hiyo isije ikamfika.

5. Majina mawili au matatu ya wagombe Uspika yatatoka leo na kesho kufikishwa kwenye ‘ caucus’ ya CCM. Wabunge watapelekewa majina hayo. Laweza pia kuwa ni jina moja tu. Saa kumi jioni hiyo kesho, majina au jina hilo litafikishwa ofisi za Bunge ili kesho kutwa likapigiwe kura.

6. Na itafika siku kwa JK kupendekeza jina la Waziri Mkuu. Tayari kuna Mawaziri Wakuu Wastaafu wengi na wenye kuliongezea taifa gharama. Mizengo Pinda anaonekana kuwa na nafasi ya kubaki alipo.

CHADEMA:
Nao wana mtihani. Baada ya uchaguzi mkuu kumalizika, sasa CHADEMA kina lazima ya kuishi ‘ maisha ya kawaida ya kisiasa’. Na CHADEMA sasa ni taasisi kubwa. Kama ilivyo CCM, kwamba ndani ya CCM kuna Wana-CCM na wa upinzani, vivyo hivyo, CHADEMA ya leo ina Wana- CHADEMA na Wana- CCM ndani yake. Ni mtihani kwa Dr Slaa na wenzake.

CHADEMA wamempeleka Marando kuwania Uspika. Kama CCM wataboronga katika mchakato wao, basi, Mabere Marando anaweza akakalia kiti cha Uspika. Hiyo itakuwa ‘ Bingo’ ya kisiasa kwa CHADEMA. Na kwenye karatasi hilo lawezekana.

Freeman Mbowe alipoulizwa kuhusu nafasi ya kuwa kiongozi wa upinzani bungeni akatamka ; Itaamuliwa kwenye Chama. Freeman Mbowe ni mzoefu katika siasa. Ametoa jibu hilo kwa umakini mkubwa. Lakini kuna Zitto Kabwe pia, naye anawania kuwa kiongozi wa upinzani bungeni.Tafsiri yake, dalili za uwepo wa makundi ndani ya CHADEMA.

Kama Freeman na Zitto watapambanishwa mbele ya wabunge, nahofia, kuwa Freeman anaweza kushindwa vibaya. Lakini, kama ‘ Hilo litaamuliwa na CC ya CHADEMA’ , basi, Freeman anaweza akatoka salama , kugombea na kushinda kwa kishindo kura za wabunge wa kambi ya upinzani.


CUF nao namna gani?

Kule Unguja bado kuna pilau la ushindi linaliwa , maana, Unguja wameshinda wote ati! Maalim Seif na Dr. Shein wote marais, mmoja wa kwanza mwengine wa pili, kisha wanabadilishana. Mmoja akenda bara, aliyebaki kisiwani ndiye Rais, akirudi aliye kisiwani akenda zake bara, huko bara yeye Rais na aliyebaki kisiwani rais! Ndo mambo ya Unguja hayo.

Naam. CUF nao wanakuja, kwa staili mpya; ‘ Ki-ZenjiBara’!

Maggid
Iringa,
Jumatano, Novemba 10, 2010

Hivi huyu Maggid ndio yule yule tunayekutana kwenye "kimilanzoka" pale msichoke club barabara mbili? Daa! unajitahidi!
 
Ndugu zangu,


Inavyoelekea, CCM imemwandaa Anne Makinda kushika nafasi ya Uspika, ana uzoefu, amekuwa Naibu Spika katika Bunge lililopita. Hakuonyesha kuegemea upande. Anne Makinda ana haiba ( Personality). Jamii haijapata kusikia kashfa za Anne Makinda. Anaweza kuweka focus kwenye masuala ya wananchi na kero zao bila kuwa na matazamio ya kushika madaraka ya juu zaidi hapo baadae. Anatazamiwa kuwa royal kwa Rais na chama chake huku akijitahidi kuwatendea haki wapinzani. Na kama ilivyo kwa wanawake wengi duniani, mwananmke kwa kawaida hapendi jambo limharibikie.

Anne Makinda hatarajiwi kujiingiza katika makundi ya CCM yanayowania Urais wa 2015. Na kwa sura ya Kimataifa, Serikali ya JK itajiongezea alama zaidi ( points) kwa kuwa na Spika wa kwanza mwanamke tangu uhuru. Si nchi nyingi duniani, achilia mbali Afrika zenye maspika wanawake.

Na kauli ya " Kamati Kuu imeaona umefika wakati wa kuwa na Spika mwanamke" inaweza kurudiwa tena 2015 ikisikika tofauti kidogo.... kwamba.. "Kamati Kuu imeona umefika wakati wa kuwa na Rais mwanamke!". Yachunge maneno yangu hayo. JK anaonyesha kuwa mtu anayependa kuweka rekodi.

Vinginevyo, naweza kabisa kuandika; kuwa katika safari ya kuelekea 2015, Jakaya Kikwete ameanza na mguu mzuri.

Maggid,

Naomba ile thanks yangu niliyokupa katika article yako ya mwanzo naomba niirudishe. Huyu Mama hafai kabisa kuwa Spika wa Bunge letu kutokana na upendeleo wa dhahiri aliokuwa akionyesha kipindi alipokuwa naibu spika. Mtu yeyote anayefuatilia Bunge letu kwa makini hatakubaliana na mimi ya kuwa huyu mama alikuwa hawapi nafasi kabisa wapinzani wapumue.

Na pia point ya kusema kuwa wakati umefika kwa mwanamke kuwa spika ni point ya kitoto na kuogopwa. Ni muhimu kujua ya kuwa hatuchagui Spika based on jinsia yake na wakati huo huo hatuwezi kutumia jinsia ya mtu kumnyima uspika. Rais Lincoln wa marekani alishawahi kusema kuwa, " You cannot strengthen the weak by weakening the strong." Mimi nadhani ni matusi makubwa kwa wanawake watanzania kusema wa kuwa na spika wa kike umefika. The issue shouldn't be about one's gender but rather one's credential.
 
Ndugu zangu,

Yanayotokea Dodoma, tafsiri yangu. Nimetoka kuangalia TBC1 punde tu. Mzee Makamba katangaza majina matatu yaliyopendekezwa na CC; Anne Makinda, Anne Abdalah na Kate Kamba. Kwa ninavyoupima upepo wa kisiasa, atakayepita kesho ni Anne makinda. Hao wawili wa mwisho watamsindikiza mwenzao. "Kamati Kuu ya CCM imeona, kuwa wakati sasa umefika kwa mhimili huu muhimu kuongozwa na mwanamke. Tangu uhuru mihimili hii ya dola imekuwa ikiongozwa na wanaume. CCM imeamua kumpendekeza mwanamke, sijui hao wenzetu watafanyaje"- Anasema Makamba kwenye TBC1.

TBC1 imewaonyesha Chenge na Sitta wakishikana mikono na kupiga picha ya pamoja ndani ya ukumbi wa mkutano. Je, wameamua mchana kuchimba mashimo na kufukia pinde na mishale yao, kisha warudi usiku kufukua na 'kuendeleza libeneke' ? Au kuna aliyeamua kutembeza ' libeneke'; kwa kuvunjavunja pinde na mishale yao?

Mzee Kingunge naye amefanyiwa mahojiano maalum na TBC1. Naye kwa namna yake anaonyesha kwa nini CCM imefanya hivyo. Ameanisha sifa za Spika; " Asiwe anayeegemea upande mmoja, wala kupachika ajenda yake. Aruhusu mijadala, awe kama mzani". Anasema Kingunge. Kuna ujumbe ameuwasilisha, maana jana kwenye TBC1 Bernard Membe alisema Spika anatakiwa awe na sifa kama za Spika aliyepita.

Inavyoelekea, CCM imemwandaa Anne Makinda kushika nafasi ya Uspika, ana uzoefu, amekuwa Naibu Spika katika Bunge lililopita. Hakuonyesha kuegemea upande. Anne Makinda ana haiba ( Personality). Jamii haijapata kusikia kashfa za Anne Makinda. Anaweza kuweka focus kwenye masuala ya wananchi na kero zao bila kuwa na matazamio ya kushika madaraka ya juu zaidi hapo baadae. Anatazamiwa kuwa loyal kwa Rais na chama chake huku akijitahidi kuwatendea haki wapinzani. Na kama ilivyo kwa wanawake wengi duniani, mwananmke kwa kawaida hapendi jambo limharibikie.

Anne Makinda hatarajiwi kujiingiza katika makundi ya CCM yanayowania Urais wa 2015. Na kwa sura ya Kimataifa, Serikali ya JK itajiongezea alama zaidi ( points) kwa kuwa na Spika wa kwanza mwanamke tangu uhuru. Si nchi nyingi duniani, achilia mbali Afrika zenye maspika wanawake.

Na kauli ya " Kamati Kuu imeaona umefika wakati wa kuwa na Spika mwanamke" inaweza kurudiwa tena 2015 ikisikika tofauti kidogo.... kwamba.. "Kamati Kuu imeona umefika wakati wa kuwa na Rais mwanamke!". Yachunge maneno yangu hayo. JK anaonyesha kuwa mtu anayependa kuweka rekodi.

Vinginevyo, naweza kabisa kuandika; kuwa katika safari ya kuelekea 2015, Jakaya Kikwete ameanza na mguu mzuri.

Nimehariri neno hapo juu , nilichapia, kwa bahati mbaya.
 
Maggid,

Naomba ile thanks yangu niliyokupa katika article yako ya mwanzo niirudishe. Huyu Mama hafai kabisa kuwa Spika wa Bunge letu kutokana na upendeleo wa dhahiri aliokuwa akionyesha kipindi alipokuwa naibu spika. Mtu yeyote anayefuatilia Bunge letu kwa makini hatakubaliana na mimi ya kuwa huyu mama alikuwa hawapi nafasi kabisa wapinzani wapumue.

Na pia point ya kusema kuwa wakati umefika kwa mwanamke kuwa spika ni point ya kitoto na kuogopwa. Ni muhimu kujua ya kuwa hatuchagui Spika based on jinsia yake na wakati huo huo hatuwezi kutumia jinsia ya mtu kumnyima uspika. Rais Lincoln wa marekani alishawahi kusema kuwa, " You cannot strengthen the weak by weakening the strong." Mimi nadhani ni matusi makubwa kwa wanawake watanzania kusema wa kuwa na spika wa kike umefika. The issue shouldn't be about one's gender but rather one's credential.

Rufiji ndugu yangu,

Nimekurudishia ' thanks' mbili, maana ile ya kwanza imezaa nyingine.
 
Ndugu zangu,

Yanayotokea Dodoma, tafsiri yangu. Nimetoka kuangalia TBC1 punde tu. Mzee Makamba katangaza majina matatu yaliyopendekezwa na CC; Anne Makinda, Anne Abdalah na Kate Kamba. Kwa ninavyoupima upepo wa kisiasa, atakayepita kesho ni Anne makinda. Hao wawili wa mwisho watamsindikiza mwenzao. "Kamati Kuu ya CCM imeona, kuwa wakati sasa umefika kwa mhimili huu muhimu kuongozwa na mwanamke. Tangu uhuru mihimili hii ya dola imekuwa ikiongozwa na wanaume. CCM imeamua kumpendekeza mwanamke, sijui hao wenzetu watafanyaje"- Anasema Makamba kwenye TBC1.

TBC1 imewaonyesha Chenge na Sitta wakishikana mikono na kupiga picha ya pamoja ndani ya ukumbi wa mkutano. Je, wameamua mchana kuchimba mashimo na kufukia pinde na mishale yao, kisha warudi usiku kufukua na 'kuendeleza libeneke' ? Au kuna aliyeamua kutembeza ' libeneke'; kwa kuvunjavunja pinde na mishale yao?

Mzee Kingunge naye amefanyiwa mahojiano maalum na TBC1. Naye kwa namna yake anaonyesha kwa nini CCM imefanya hivyo. Ameanisha sifa za Spika; " Asiwe anayeegemea upande mmoja, wala kupachika ajenda yake. Aruhusu mijadala, awe kama mzani". Anasema Kingunge. Kuna ujumbe ameuwasilisha, maana jana kwenye TBC1 Bernard Membe alisema Spika anatakiwa awe na sifa kama za Spika aliyepita.

Inavyoelekea, CCM imemwandaa Anne Makinda kushika nafasi ya Uspika, ana uzoefu, amekuwa Naibu Spika katika Bunge lililopita. Hakuonyesha kuegemea upande. Anne Makinda ana haiba ( Personality). Jamii haijapata kusikia kashfa za Anne Makinda. Anaweza kuweka focus kwenye masuala ya wananchi na kero zao bila kuwa na matazamio ya kushika madaraka ya juu zaidi hapo baadae. Anatazamiwa kuwa royal kwa Rais na chama chake huku akijitahidi kuwatendea haki wapinzani. Na kama ilivyo kwa wanawake wengi duniani, mwananmke kwa kawaida hapendi jambo limharibikie.

Anne Makinda hatarajiwi kujiingiza katika makundi ya CCM yanayowania Urais wa 2015. Na kwa sura ya Kimataifa, Serikali ya JK itajiongezea alama zaidi ( points) kwa kuwa na Spika wa kwanza mwanamke tangu uhuru. Si nchi nyingi duniani, achilia mbali Afrika zenye maspika wanawake.

Na kauli ya " Kamati Kuu imeaona umefika wakati wa kuwa na Spika mwanamke" inaweza kurudiwa tena 2015 ikisikika tofauti kidogo.... kwamba.. "Kamati Kuu imeona umefika wakati wa kuwa na Rais mwanamke!". Yachunge maneno yangu hayo. JK anaonyesha kuwa mtu anayependa kuweka rekodi.

Vinginevyo, naweza kabisa kuandika; kuwa katika safari ya kuelekea 2015, Jakaya Kikwete ameanza na mguu mzuri.

Makala nzuri lakini umeharibu na nyongeza kwenye blog yako ingizo la mwisho

Jamii haijapata kusikia kashfa za Anne Makinda. Anaweza kuweka focus kwenye masuala ya wananchi na kero zao bila kuwa na matazamio ya kushika madaraka ya juu zaidi hapo baadae. Anatazamiwa kuwa loyal kwa Rais na chama chake huku akijitahidi kuwatendea haki wapinzani. Na kama ilivyo kwa wanawake wengi duniani, mwananmke kwa kawaida hapendi jambo limharibikie.

Anne Makinda hatarajiwi kujiingiza katika makundi ya CCM yanayowania Urais wa 2015. Na kwa sura ya Kimataifa, Serikali ya JK itajiongezea alama zaidi ( points) kwa kuwa na Spika wa kwanza mwanamke tangu uhuru. Si nchi nyingi duniani, achilia mbali Afrika zenye maspika wanawake.

Na kauli ya " Kamati Kuu imeaona umefika wakati wa kuwa na Spika mwanamke" inaweza kurudiwa tena 2015 ikisikika tofauti kidogo.... kwamba.. "Kamati Kuu imeona umefika wakati wa kuwa na Rais mwanamke!". Yachunge maneno yangu hayo. JK anaonyesha kuwa mtu anayependa kuweka rekodi.

Vinginevyo, naweza kabisa kuandika; kuwa katika safari ya kuelekea 2015, Jakaya Kikwete ameanza na mguu mzuri.

Katika bold hayo maneno, kama unafatilia vizuri siasa za Tz na CCM basi utagundua kuwa huyu naye ni mwanamtandao na dikteta wa kike aliyekuwa akiendesha Bunge bila kuzingatia usawa na kujali maslahi ya kundi lake tu
 
Wonderful analysis.

Kwa wanachedema - umakini zaidi unahitajika kuongoza chama wakati huu mgumu na tete. Mgongano wa mawazo kati ya Zitto, Mbowe na hata kundi la wanachama wapya waliojiunga chama hivi karibuni ni lazima litazamwe kwa makini. Ni demokrasia kugonganisha mawazo lakini ni vizuri tukatumia vizuri kuepusha mianya ya sumu kupenyezwa. Chadema ni tumaini la wengi na Survival yake inategemea jinsi itakavyoweza kupambana na kumeneji tofauti kati ya makundi na chaguzi za ndani. Ikipita kwenye changuzi za ndani salama na kuwa na safu safi kama mwaka huu mipango ya wapinzani wenu itakuwa mashakani.

Mungu aiepushe na migawanjiko inayoweza kuwagonganisha. Chaguzi za ndani ya chadema ni sehemu muhimu kwa watu wenye nia mbaya kuwasambaratisha.

Mungu ibariki Tanzania!
 
TUNAWEZA kabisa kuandika, kuwa safari ngumu ya kisiasa kuelekea 2015 inaanza rasmi leo kule Dodoma. Na hatma ya safari, kama ni njema au mbaya hutegemea na mguu wa kuanzia safari hiyo.

Ukianza na mguu mbaya, basi, ndio imetoka hiyo. Mitaani wanasema; " Imekula kwako!". Bunge ni mhimili muhimu sana katika mihimili mitatu ya dola; Sheria ( Bunge), Utekelezaji ( Rais) na Hukumu ( Mahakama).

Na nchi huongozwa na siasa. Na bungeni ndiko unakochezwa ' mchezo wa siasa'. Bila shaka ye yote, Spika Wa Bunge, ni mtu muhimu sana. Na ndio sababu ya ' mnyukano' huu tunaoushuhudia sasa katika kumpata Spika wa Bunge.

Na mwaka huu, kurunzi zinamulikia chama tawala, CCM, na Chama Kikubwa cha Upinzani bungeni, CHADEMA. Ni mtihani mgumu kwa Rais Jakaya Kikwete na Dr Willibrod Slaa kwa nafasi zao tofauti. Maana, Kikwete ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi. Harakati za kumpata mgombea Uspika kutoka CCM, kwa kiasi kikubwa zitategemea namna Kikwete atakavyotanguliza hekima, busara na hata kuwa na ujasiri wa kufanya maamuzi magumu itakapobidi.

Dr Slaa naye ameibuka kuwa mtu aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na kuongoza kwa umahiri mkubwa, kampeni za Urais kwa tiketi ya CHADEMA. Kwa nafasi yake ya Ukatibu Mkuu wa CHADEMA, Dr Slaa, hata kama kwa kukaa kiti cha nyuma, kwa kutanguliza hekima na busara, anatazamiwa kuongoza harakati za kumpata mgombea nafasi ya kuwa kiongozi wa upinzani bungeni kutoka chama chake.

CCM ina mtihani mgumu:

Chama hicho kimeshinda na kufanikiwa kupata nafasi ya kuunda tena Serikali huku kikiwa na majeraha mengi. Masikini, tumesikia, kuwa kuna waliokuwa wakiishi na majeraha. Wanataka kwenda kuponya majeraha. Kwa kutumia dawa gani? Tutajua mbele ya safari. Na wasipopewa nafasi ya kwenda kutibu majeraha? Ndio hivyo tena, wataendelea kuishi na majeraha. Huu ni mtihani mgumu kwa CCM na Jakaya Kikwete.

Naam. Miaka mitano iliyopita haikuwa mepesi kwa CCM na hususan ndani ya Bunge. Kashfa za ufisadi na kuibuka kwa makundi miongoni mwa wabunge wake kumepelekea kwa kiasi kikubwa kuporomoka kwa umaarufu wa chama hicho na hata Rais aliyekuwa madarakani. Tukiwa na majibu mkononi, leo tunaweza kabisa kusema. Weredi na uzoefu wa kisiasa wa Jakaya Kikwete umemsaidia yeye ( Kikwete) na chama chake kubaki madarakani. Kama Dr Slaa angeingia kwenye mbio za Urais tangu mwezi January mwaka huu, basi, huenda leo simulizi zingekuwa ni nyingine kabisa.

Naam. Kuna makosa makubwa yamefanyika ndani ya chama hicho, CCM . Na CCM wenyewe wanakiri ukweli huo.

Wanachama wa CCM na wapenzi wa chama hicho wanasubiri kwa hamu sana kuona ni mguu gani Kikwete ataanza nao hii leo.; Mguu mzuri au mguu mbaya? Kwa maneno mengine, sehemu ya hukumu kwa CCM kutoka kwa umma kuelekea 2015, inaweza kuanza kutolewa Dodoma kuanzia leo.

Chama Cha Mapinduzi bado kinajivunia ' K' tatu; Ni chama Kikongwe, Kikubwa na Kinachotawala. Hivyo basi, bado kina hazina ya uzoefu. Kama CCM itajibu maswali ya mtihani wa kumpata mgombea Uspika haraka haraka, hivyo basi, kukosea. Basi, hata kusahihisha kosa hilo baadae nalo litakuwa ni kuongeza makosa. Kwa umma, kwa sasa, ni heri CCM iliyo madarakani na yenye kupambana na ufisadi na maovu mengine kuliko CCM iliyo madarakani na yenye kupambana na wabunge wapambanaji wa ufisadi kutoka upande wa pili; kwa maa ya kambi ya upinzani. Hilo la mwisho likitokea, basi, kuporomoka kwa umaarufu wa CCM kutakuwa ni sawa na wa nyumba ya karata.

Nini kitatokea kwenye chumba cha mtihani hii leo?

Kuna Scenario zifuatazo;

1. Nimesoma gazetini kuwa nafasi ya Unaibu Spika inagombaniwa na Jenister Mhagama. Hana mpinzani kutoka CCM. Tafsiri yake; kama CC ya CCM itapitisha jina hilo tu, basi, kwa kuzingatia gender balance, Spika hawezi kuwa mwanamke. Hivyo basi, majina kama Anne makinda, Anne Abdalah na Kate Kamba yatawekwa pembeni.

2. CC ya CCM inapeleka majina mawili ya wagombea Unaibu Uspika, moja la Jenister na lingiine la mwanamme, nani? Hatujui kwa sasa. Hapo itatoa mwelekeo wa vita ya Uspika, kwamba Spika anaweza kuwa mwanammke au mwanamme.

3. Kuna mgombea ‘atakayechinjwa' ndani ya CC kabla majina kupekekwa kwenye 'caucus' ya chama. Hapa yaweza kutoa tafsiri kuwa kundi zima la mgombea huyo litakuwa limechinjwa. Hapa kuna simulizi yenye mafundisho. Kabila la Wazaramo ni mkusanyiko wa koo tofauti. Miongoni mwa koo za Wazaramo ni koo ya Wabena. Koo hii imepata jina hilo kutokana na desturi ya koo hiyo ilipokwenda vitani.

Waliposhinda na kuwateka adui, basi, hawakuwaacha adui waendelee kushika pinde zao na mishale. Waliivunja vunja. Kuvunja kuna maana ya " Kubena' kwa Kizaramo. Ndio asili ya jina la koo hiyo. Na ndio chimbuko la neno " Libeneke" kwa maana lillovunjika. Ndugu yangu Michuzi amechangia kuukuza msamiati huo.

Ndio, Afrika wanasiasa ni wagumu sana kumaliza tofauti zao. Mchana watasema; " Sasa basi, yaishe, tunachimba shimo na kufukia pinde na mishale yetu". Usiku wanarudi na kufukua mashimo walimofukia pinde na mishale yao. Wataendeleza Libeneke! Koo ya Wabena Uzaramoni ilikuwa na watu wenye busara sana, waliijua dawa; kubena ( kuvunja) pinde na mishale ya adui, halafu ndio mazungumzo ya amani yanapoanza.

4. Jina la mgombea Uspika laweza kutoka nje kabisa ya wagombea wanaofikiriwa na wengi kwa sasa.
5.Jakaya Kikwete anaweza kufanya maamuzi magumu ambayo hakuna aliyeyatarajia, hivyo basi, kwa kasi kurudisha imani na umaarufu wake ambao kwa sasa umepungua. Na zaidi, kama mwanadamu, Jakaya Kikwete anafahamu, balaa kubwa linaloweza kumtokea maishani, ni kwa CCM kumfia mikononi mwake. Atafanya kila anachopaswa kufanya kuepusha dhahma hiyo isije ikamfika.

5. Majina mawili au matatu ya wagombe Uspika yatatoka leo na kesho kufikishwa kwenye ' caucus' ya CCM. Wabunge watapelekewa majina hayo. Laweza pia kuwa ni jina moja tu. Saa kumi jioni hiyo kesho, majina au jina hilo litafikishwa ofisi za Bunge ili kesho kutwa likapigiwe kura.

6. Na itafika siku kwa JK kupendekeza jina la Waziri Mkuu. Tayari kuna Mawaziri Wakuu Wastaafu wengi na wenye kuliongezea taifa gharama. Mizengo Pinda anaonekana kuwa na nafasi ya kubaki alipo.

CHADEMA:
Nao wana mtihani. Baada ya uchaguzi mkuu kumalizika, sasa CHADEMA kina lazima ya kuishi ' maisha ya kawaida ya kisiasa'. Na CHADEMA sasa ni taasisi kubwa. Kama ilivyo CCM, kwamba ndani ya CCM kuna Wana-CCM na wa upinzani, vivyo hivyo, CHADEMA ya leo ina Wana- CHADEMA na Wana- CCM ndani yake. Ni mtihani kwa Dr Slaa na wenzake.

CHADEMA wamempeleka Marando kuwania Uspika. Kama CCM wataboronga katika mchakato wao, basi, Mabere Marando anaweza akakalia kiti cha Uspika. Hiyo itakuwa ' Bingo' ya kisiasa kwa CHADEMA. Na kwenye karatasi hilo lawezekana.

Freeman Mbowe alipoulizwa kuhusu nafasi ya kuwa kiongozi wa upinzani bungeni akatamka ; Itaamuliwa kwenye Chama. Freeman Mbowe ni mzoefu katika siasa. Ametoa jibu hilo kwa umakini mkubwa. Lakini kuna Zitto Kabwe pia, naye anawania kuwa kiongozi wa upinzani bungeni.Tafsiri yake, dalili za uwepo wa makundi ndani ya CHADEMA.

Kama Freeman na Zitto watapambanishwa mbele ya wabunge, nahofia, kuwa Freeman anaweza kushindwa vibaya. Lakini, kama ' Hilo litaamuliwa na CC ya CHADEMA' , basi, Freeman anaweza akatoka salama , kugombea na kushinda kwa kishindo kura za wabunge wa kambi ya upinzani.


CUF nao namna gani?

Kule Unguja bado kuna pilau la ushindi linaliwa , maana, Unguja wameshinda wote ati! Maalim Seif na Dr. Shein wote marais, mmoja wa kwanza mwengine wa pili, kisha wanabadilishana. Mmoja akenda bara, aliyebaki kisiwani ndiye Rais, akirudi aliye kisiwani akenda zake bara, huko bara yeye Rais na aliyebaki kisiwani rais! Ndo mambo ya Unguja hayo.

Naam. CUF nao wanakuja, kwa staili mpya; ' Ki-ZenjiBara'!

Maggid
Iringa,
Jumatano, Novemba 10, 2010
Maggid labda tusaidie kwanini unaona Mbowe akigombea na Zitto pamoja then Mbowe atashindwa vibaya? Maana Mchangiaji mmoja kasema Makala hii pamoja na thanks..ndani yake kuna "Vimondo" Uchochezi...Tusaidie wasomaji
 
TUNAWEZA kabisa kuandika, kuwa safari ngumu ya kisiasa kuelekea 2015 inaanza rasmi leo kule Dodoma. Na hatma ya safari, kama ni njema au mbaya hutegemea na mguu wa kuanzia safari hiyo.

Ukianza na mguu mbaya, basi, ndio imetoka hiyo. Mitaani wanasema; “ Imekula kwako!”. Bunge ni mhimili muhimu sana katika mihimili mitatu ya dola; Sheria ( Bunge), Utekelezaji ( Rais) na Hukumu ( Mahakama).

Na nchi huongozwa na siasa. Na bungeni ndiko unakochezwa ‘ mchezo wa siasa’. Bila shaka ye yote, Spika Wa Bunge, ni mtu muhimu sana. Na ndio sababu ya ‘ mnyukano’ huu tunaoushuhudia sasa katika kumpata Spika wa Bunge.

Na mwaka huu, kurunzi zinamulikia chama tawala, CCM, na Chama Kikubwa cha Upinzani bungeni, CHADEMA. Ni mtihani mgumu kwa Rais Jakaya Kikwete na Dr Willibrod Slaa kwa nafasi zao tofauti. Maana, Kikwete ndiye Mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi. Harakati za kumpata mgombea Uspika kutoka CCM, kwa kiasi kikubwa zitategemea namna Kikwete atakavyotanguliza hekima, busara na hata kuwa na ujasiri wa kufanya maamuzi magumu itakapobidi.

Dr Slaa naye ameibuka kuwa mtu aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na kuongoza kwa umahiri mkubwa, kampeni za Urais kwa tiketi ya CHADEMA. Kwa nafasi yake ya Ukatibu Mkuu wa CHADEMA, Dr Slaa, hata kama kwa kukaa kiti cha nyuma, kwa kutanguliza hekima na busara, anatazamiwa kuongoza harakati za kumpata mgombea nafasi ya kuwa kiongozi wa upinzani bungeni kutoka chama chake.

CCM ina mtihani mgumu:

Chama hicho kimeshinda na kufanikiwa kupata nafasi ya kuunda tena Serikali huku kikiwa na majeraha mengi. Masikini, tumesikia, kuwa kuna waliokuwa wakiishi na majeraha. Wanataka kwenda kuponya majeraha. Kwa kutumia dawa gani? Tutajua mbele ya safari. Na wasipopewa nafasi ya kwenda kutibu majeraha? Ndio hivyo tena, wataendelea kuishi na majeraha. Huu ni mtihani mgumu kwa CCM na Jakaya Kikwete.

Naam. Miaka mitano iliyopita haikuwa mepesi kwa CCM na hususan ndani ya Bunge. Kashfa za ufisadi na kuibuka kwa makundi miongoni mwa wabunge wake kumepelekea kwa kiasi kikubwa kuporomoka kwa umaarufu wa chama hicho na hata Rais aliyekuwa madarakani. Tukiwa na majibu mkononi, leo tunaweza kabisa kusema. Weredi na uzoefu wa kisiasa wa Jakaya Kikwete umemsaidia yeye ( Kikwete) na chama chake kubaki madarakani. Kama Dr Slaa angeingia kwenye mbio za Urais tangu mwezi January mwaka huu, basi, huenda leo simulizi zingekuwa ni nyingine kabisa.

Naam. Kuna makosa makubwa yamefanyika ndani ya chama hicho, CCM . Na CCM wenyewe wanakiri ukweli huo.

Wanachama wa CCM na wapenzi wa chama hicho wanasubiri kwa hamu sana kuona ni mguu gani Kikwete ataanza nao hii leo.; Mguu mzuri au mguu mbaya? Kwa maneno mengine, sehemu ya hukumu kwa CCM kutoka kwa umma kuelekea 2015, inaweza kuanza kutolewa Dodoma kuanzia leo.

Chama Cha Mapinduzi bado kinajivunia ‘ K’ tatu; Ni chama Kikongwe, Kikubwa na Kinachotawala. Hivyo basi, bado kina hazina ya uzoefu. Kama CCM itajibu maswali ya mtihani wa kumpata mgombea Uspika haraka haraka, hivyo basi, kukosea. Basi, hata kusahihisha kosa hilo baadae nalo litakuwa ni kuongeza makosa. Kwa umma, kwa sasa, ni heri CCM iliyo madarakani na yenye kupambana na ufisadi na maovu mengine kuliko CCM iliyo madarakani na yenye kupambana na wabunge wapambanaji wa ufisadi kutoka upande wa pili; kwa maa ya kambi ya upinzani. Hilo la mwisho likitokea, basi, kuporomoka kwa umaarufu wa CCM kutakuwa ni sawa na wa nyumba ya karata.

Nini kitatokea kwenye chumba cha mtihani hii leo?

Kuna Scenario zifuatazo;

1. Nimesoma gazetini kuwa nafasi ya Unaibu Spika inagombaniwa na Jenister Mhagama. Hana mpinzani kutoka CCM. Tafsiri yake; kama CC ya CCM itapitisha jina hilo tu, basi, kwa kuzingatia gender balance, Spika hawezi kuwa mwanamke. Hivyo basi, majina kama Anne makinda, Anne Abdalah na Kate Kamba yatawekwa pembeni.

2. CC ya CCM inapeleka majina mawili ya wagombea Unaibu Uspika, moja la Jenister na lingiine la mwanamme, nani? Hatujui kwa sasa. Hapo itatoa mwelekeo wa vita ya Uspika, kwamba Spika anaweza kuwa mwanammke au mwanamme.

3. Kuna mgombea ‘atakayechinjwa’ ndani ya CC kabla majina kupekekwa kwenye 'caucus' ya chama. Hapa yaweza kutoa tafsiri kuwa kundi zima la mgombea huyo litakuwa limechinjwa. Hapa kuna simulizi yenye mafundisho. Kabila la Wazaramo ni mkusanyiko wa koo tofauti. Miongoni mwa koo za Wazaramo ni koo ya Wabena. Koo hii imepata jina hilo kutokana na desturi ya koo hiyo ilipokwenda vitani.

Waliposhinda na kuwateka adui, basi, hawakuwaacha adui waendelee kushika pinde zao na mishale. Waliivunja vunja. Kuvunja kuna maana ya “ Kubena’ kwa Kizaramo. Ndio asili ya jina la koo hiyo. Na ndio chimbuko la neno “ Libeneke” kwa maana lillovunjika. Ndugu yangu Michuzi amechangia kuukuza msamiati huo.

Ndio, Afrika wanasiasa ni wagumu sana kumaliza tofauti zao. Mchana watasema; “ Sasa basi, yaishe, tunachimba shimo na kufukia pinde na mishale yetu”. Usiku wanarudi na kufukua mashimo walimofukia pinde na mishale yao. Wataendeleza Libeneke! Koo ya Wabena Uzaramoni ilikuwa na watu wenye busara sana, waliijua dawa; kubena ( kuvunja) pinde na mishale ya adui, halafu ndio mazungumzo ya amani yanapoanza.

4. Jina la mgombea Uspika laweza kutoka nje kabisa ya wagombea wanaofikiriwa na wengi kwa sasa.
5.Jakaya Kikwete anaweza kufanya maamuzi magumu ambayo hakuna aliyeyatarajia, hivyo basi, kwa kasi kurudisha imani na umaarufu wake ambao kwa sasa umepungua. Na zaidi, kama mwanadamu, Jakaya Kikwete anafahamu, balaa kubwa linaloweza kumtokea maishani, ni kwa CCM kumfia mikononi mwake. Atafanya kila anachopaswa kufanya kuepusha dhahma hiyo isije ikamfika.

5. Majina mawili au matatu ya wagombe Uspika yatatoka leo na kesho kufikishwa kwenye ‘ caucus’ ya CCM. Wabunge watapelekewa majina hayo. Laweza pia kuwa ni jina moja tu. Saa kumi jioni hiyo kesho, majina au jina hilo litafikishwa ofisi za Bunge ili kesho kutwa likapigiwe kura.

6. Na itafika siku kwa JK kupendekeza jina la Waziri Mkuu. Tayari kuna Mawaziri Wakuu Wastaafu wengi na wenye kuliongezea taifa gharama. Mizengo Pinda anaonekana kuwa na nafasi ya kubaki alipo.

CHADEMA:
Nao wana mtihani. Baada ya uchaguzi mkuu kumalizika, sasa CHADEMA kina lazima ya kuishi ‘ maisha ya kawaida ya kisiasa’. Na CHADEMA sasa ni taasisi kubwa. Kama ilivyo CCM, kwamba ndani ya CCM kuna Wana-CCM na wa upinzani, vivyo hivyo, CHADEMA ya leo ina Wana- CHADEMA na Wana- CCM ndani yake. Ni mtihani kwa Dr Slaa na wenzake.

CHADEMA wamempeleka Marando kuwania Uspika. Kama CCM wataboronga katika mchakato wao, basi, Mabere Marando anaweza akakalia kiti cha Uspika. Hiyo itakuwa ‘ Bingo’ ya kisiasa kwa CHADEMA. Na kwenye karatasi hilo lawezekana.

Freeman Mbowe alipoulizwa kuhusu nafasi ya kuwa kiongozi wa upinzani bungeni akatamka ; Itaamuliwa kwenye Chama. Freeman Mbowe ni mzoefu katika siasa. Ametoa jibu hilo kwa umakini mkubwa. Lakini kuna Zitto Kabwe pia, naye anawania kuwa kiongozi wa upinzani bungeni.Tafsiri yake, dalili za uwepo wa makundi ndani ya CHADEMA.

Kama Freeman na Zitto watapambanishwa mbele ya wabunge, nahofia, kuwa Freeman anaweza kushindwa vibaya. Lakini, kama ‘ Hilo litaamuliwa na CC ya CHADEMA’ , basi, Freeman anaweza akatoka salama , kugombea na kushinda kwa kishindo kura za wabunge wa kambi ya upinzani.


CUF nao namna gani?

Kule Unguja bado kuna pilau la ushindi linaliwa , maana, Unguja wameshinda wote ati! Maalim Seif na Dr. Shein wote marais, mmoja wa kwanza mwengine wa pili, kisha wanabadilishana. Mmoja akenda bara, aliyebaki kisiwani ndiye Rais, akirudi aliye kisiwani akenda zake bara, huko bara yeye Rais na aliyebaki kisiwani rais! Ndo mambo ya Unguja hayo.

Naam. CUF nao wanakuja, kwa staili mpya; ‘ Ki-ZenjiBara’!

Maggid
Iringa,
Jumatano, Novemba 10, 2010
Uemona Pumba zako wewe!kaa chini fikiria kabla hujaandika!
 
Political analyst anapopiga ramli kama ganga ongo, mchezo ukaja kutokea tofautiiiiiiiiii.
 
Maggid labda tusaidie kwanini unaona Mbowe akigombea na Zitto pamoja then Mbowe atashindwa vibaya? Maana Mchangiaji mmoja kasema Makala hii pamoja na thanks..ndani yake kuna "Vimondo" Uchochezi...Tusaidie wasomaji

Chuma,

Hayo ya uchochezi yanatoka wapi? Tuje kwenye swali lako. Kwa mtazamo wangu, kama CC ya CDM itaamua hatma ya nani awe kiongozi wa upinzani bungeni kati ya Mbowe na Zitto iamuliwe na wabunge wa upinzani, basi, Zitto ana nafasi njema zaidi ya kutoka kwenye tanuri. Maana, Zitto amekuwa bungeni miaka mitano iliyopita, ana uzoefu, na network ya ndani ya bunge ni nyongeza ya faida. Kumbuka, Ismael Jussa Ladhu wa CUF na Zitto waa mahusiano mema ya kirafiki. Na Ladhu ana influence kubwa CUF. Hivyo, Zitto akipata kura za ndani ya CHADEMA na akichanganya na za wabunge wa CUF , basi, ana nafasi kubwa. Kauli ya Mbowe kuwa " Chama kitaamua" si ya kuibeza. Na ndio msingi wa hoja yangu. I Might Be Wrong, And I Stand To Be Corrected.
 
Ndugu zangu,

Siku mbili zilizopita niliyaandika haya;

"Inavyoelekea, CCM imemwandaa Anne Makinda kushika nafasi ya Uspika, ana uzoefu, amekuwa Naibu Spika katika Bunge lililopita. Hakuonyesha kuegemea upande. Anne Makinda ana haiba ( Personality). Jamii haijapata kusikia kashfa za Anne Makinda. Anaweza kuweka focus kwenye masuala ya wananchi na kero zao bila kuwa na matazamio ya kushika madaraka ya juu zaidi hapo baadae. Anatazamiwa kuwa loyal kwa Rais na chama chake huku akijitahidi kuwatendea haki wapinzani. Na kama ilivyo kwa wanawake wengi duniani, mwananmke kwa kawaida hapendi jambo limharibikie.

Anne Makinda hatarajiwi kujiingiza katika makundi ya CCM yanayowania Urais wa 2015. Na kwa sura ya Kimataifa, Serikali ya JK itajiongezea alama zaidi ( points) kwa kuwa na Spika wa kwanza mwanamke tangu uhuru. Si nchi nyingi duniani, achilia mbali Afrika zenye maspika wanawake.

Na kauli ya " Kamati Kuu imeaona umefika wakati wa kuwa na Spika mwanamke" inaweza kurudiwa tena 2015 ikisikika tofauti kidogo.... kwamba.. "Kamati Kuu imeona umefika wakati wa kuwa na Rais mwanamke!". Yachunge maneno yangu hayo. JK anaonyesha kuwa mtu anayependa kuweka rekodi. "

Nilibainisha pia, kuwa Anna Abdalah na Kate Kamba walikuwa wakimsindikiza mwenzao. Ndivyo ilivyotokea. Anne Makinda ndiye mgombea Uspika kutoka CCM. Mchana huu anatarajiwa kuingia dimbani kupambana na Mabere Marando. Ajabu ya pambano leo ni kuwa, hata kama Mabere Marando ana sifa za ushujaa katika upambanaji, Mpiganaji huyo ataingia ulingoni huku akijua kuwa anakwenda kushindwa na labda kugalagazwa na Spika wa kwanza mwanamke, maana, Anne Makinda tayari ana mtaji wa kura 211 kutoka ndani ya CCM.

Anne ana uwezo pia wa kukusanya zile nyingine 29 za wana CCM waliowapigia akina Anna Abdalah na kate Kamba. Na Anne Makinda huyo huyo ataweza pia kuwanyoshea mkono wabunge wa CUF, NCCR, UDP na TLP kwaomba kura, kama si pia kuwanyoshea mkono wa kuomba kura baadhi ya wabunge wa CHADEMA. Na ndio maana ni rahisi sana kubashiri mshindi katika pambano la leo la kuwania kiti cha Uspika.

Kauli mbiu ya Spika aliyepita ilikuwa " Kasi Na Viwango"- Speed And Standard.

Ni nini basi itakuwa kauli mbiu ya Spika Anna Makinda? Na wala asithubutu kutamka kauli ya " Bunge la kutibu majeraha". Maana, hapo atakuwa ametonesha vidonda. Tumeshasikia, kuna waliokuwa wakiishi na majeraha. Hawakupata nafasi ya kwenda kutibu majeraha, bado wanayo. Na kuna wengine, katika mchakato wa mwaka huu na kuelekea 2015, nao wamepata majeraha mapya. Anne Makinda Must Be An Iron Lady!

Na kuna mengine yatatokea kule Dodoma katika saa 72 zijazo;

1. Utafika wakati wa Rais kupendekeza jina la Waziri Mkuu. Hapa panaweza kuwa na habari kubwa.

2. Kutakuwa na hotuba ya Rais ya ufunguzi wa Bunge, napo kunaweza kuwa na habari kubwa.

3. Hotuba ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani ( Freeman Mbowe) Hapa napo panaweza kuwa na habari kubwa.

KAA KARIBU NA REDIO YAKO!

Maggid,

Njombe Kusini ( Jimbo la Anne Makinda)

Novemba 12, 2010
 
Anna Makinda anapigiwa upatu awe Spika ili awezeshe mchakato wa 2015, ni mtu wa karibu sana(tofauti na watu wanavyodhani kwamba ni neutral) wa kundi moja lilojipanga tayari kwa 2015 !
 
Back
Top Bottom