CCM original
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 373
- 68
Habari za siku tele wanajamvi.
Leo tupo ktk ukumbi wa CCM hapa mjini Dodoma ambapo wajumbe wa kamati kuu wakiwa na kikao adhimu cha kujadili wanachama waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi ya kuongoza taasisi ya urais.
Mimi si mjumbe wa kamati kuu ila nipo hapa "ikulu" ktk harakati za kumpata rais wa awamu ya 5.
Nitakuwa nawaletea kila lililo muhimu hapa, japo ni kikao cha siri ila yale yenye maslahi ya nchi nitayatoa hadharani.
Baadhi ya wajumbe wameshawasili hapa nje ila ajabu nawaona wajumbe watatu ambao wametangaza nia wapo hapa, sidhani kama wamepata taarifa ya kuhudhuria au la!
Nitawajuzaaa!!!
Leo tupo ktk ukumbi wa CCM hapa mjini Dodoma ambapo wajumbe wa kamati kuu wakiwa na kikao adhimu cha kujadili wanachama waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi ya kuongoza taasisi ya urais.
Mimi si mjumbe wa kamati kuu ila nipo hapa "ikulu" ktk harakati za kumpata rais wa awamu ya 5.
Nitakuwa nawaletea kila lililo muhimu hapa, japo ni kikao cha siri ila yale yenye maslahi ya nchi nitayatoa hadharani.
Baadhi ya wajumbe wameshawasili hapa nje ila ajabu nawaona wajumbe watatu ambao wametangaza nia wapo hapa, sidhani kama wamepata taarifa ya kuhudhuria au la!
Nitawajuzaaa!!!