Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa - Igunga

Mkuu zitakuwepo za kutosha maandalizi yamekamilika ifikapo SAA 7 mambo yataanza.

Nina wasiwasi wewe hupo eneo la mkutano. Hata kama utakuwa Igunga pengine ni mipakani unasubiri tu picha za watakaorusha wenzio na wewe udakie hapo. Kama kweli upo uwanja utakapofanyika mkutano umeshindwa hata kutuonyesha jukwaa lilivyo? Fanya hivyo kabla hujaumbuka zaidi.
 

Mkuu asante sana kwa kutujulisha hilo
 
Daah! Hizi zote ni ghazabu au nini, kidogo nidondoke...... Aiseh! Na hapo kura bado hazijapigwa!!!!

Akili yako fupi lipia star TV au channel ten mikutano yenu ionekane live acha kulalamaaaa.
 
Nilifurahi sana jinsi mashabiki wa timu ya taifa jana walivyo wakilisha rais lowassa kwa kushangilia kimabadiliko hongerini sana pamoja tuna weza .Adi mda huu ccm ipo hoi !

Taabani
 

Attachments

  • 1441534497719.jpg
    39.1 KB · Views: 820
sasa hivi wanahaha kupanga mbinu chafu zaidi ya zile za masaburi na dr.mihogo haaahaa maccm wana hali mbaya......hapa ni lowasa tu
hata magufuli atamoa kura lowasa
 
Wafuasi wa mafisiem bwana mna hasiira, sisi (UKAWA) hatuna papalapapala, hatukurupuki. Acha kujifanya una machungu saaaana, nenda huko kwa Mikufulu wenu!!


 
Lowasa hatariiiiiii
Kamsababisha Mihogo akimbie Azam TV

Kukimbia yaisaidii kitu kwani jamaa wataitisha mkutano na media,slaa lazima akimbie nchi
 
Ndugu elewa kuwa hapa nilipo natumia simu hivyo ku upload picha inakiwa ngumu, basi ili uwe na uhakika kuwa nipo eneo la tukio ebu ona angalau hiyo wakati maandalizi yakifanyika asubuhi ya leo

View attachment 284202
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…