Yanayojiri Mahakama ya Kisutu Kesi ya Tundu Lissu Vs Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 8/2/2017

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,237
Asubuhi ya Leo Tundu Lissu anatarajiwa Kupandishwa Kizimbani kama mjuavyo Jana alinyimwa dhamana Baada ya kudaiwa Kutumia maneno ya kuudhi dhidi ya Rais aliyechaguliwa kwa Kura nyingi za Wananchi.

Je gwiji huyu wa sheria atafanikiwa kutoka leo ?

Fuatilia hapa kila hatua
.

UPDATES
barafu Said


Kamanda wa kanda maalumu ya Dsm,Kamanda Sirro,amewaambia waandishi wa habari kuwa bado wanaendelea kumshikilia Tundu Lissu ktk kituo kikuu cha Polisi kwa siku ya tatu bila dhamana na hawajamfikisha mahakamani.


Lengo la kuendelea kumshikilia ni kuendelea kufanya upelelezi wa matamshi yake na kujihakikishia pasi na shaka kuwa Tundu Lissu ana kesi ya kujibu.

Hadi pale upelelezi huo utakapokamilika,basi Tundu Lissu atafikishwa mahakamani.
 
Ha haaa, nilishawahi kuleta uzi hapa kuwa bila drama, mahakama ya Kisutu inapooza, so they will do anything to make evnts happen. Just imagine, kwani kule Dodoma hakuna Polisi au Mahakama? Kwanini hii movie ichezwe 'Hollywoods' peke ake? Hili walilolifanya ni kudharau utendaji wa polisi wa Dodoma pamoja na Mahakama zilizoko Dodoma... Shame on these people...
 
Ha haaa, nilishawahi kuleta uzi hapa kuwa bila drama, mahakama ya Kisutu inapooza, so they will do anything to make evnts happen. Just imagine, kwani kule Dodoma hakuna Polisi au Mahakama? Kwanini hii movie ichezwe 'Hollywoods' peke ake? Hili walilolifanya ni kudharau utendaji wa polisi wa Dodoma pamoja na Mahakama zilizoko Dodoma... Shame on these people...
Halafu tukiwa kwenye maandalizi motomoto ya kuhamia dodoma
 
Nikifikiria hili sakata la Tundu Lissu kukamatwa kila uchwao,bado suala la Lema...
Basi tu,najitahidi kuendelea kujiita Mtanzania.

Kila la kheri Mh. Tindu Lissu,hii mbinu itumikayo kukufunga mdomo tafadhali usikate tamaa,endelea kutusemea wengi ambao tuna mengi ya kusema ila hatuna pa kusemea.
Mungu akubariki.
 
trump nusu ya wamerekani ambao hawakumpigia kura naona angeshawachinja zamani sana achana na wengine anaopambana nao kwenye twiter account yake
 
Ha haaa, nilishawahi kuleta uzi hapa kuwa bila drama, mahakama ya Kisutu inapooza, so they will do anything to make evnts happen. Just imagine, kwani kule Dodoma hakuna Polisi au Mahakama? Kwanini hii movie ichezwe 'Hollywoods' peke ake? Hili walilolifanya ni kudharau utendaji wa polisi wa Dodoma pamoja na Mahakama zilizoko Dodoma... Shame on these people...
UNAJUA UZURI WA HOLLYWOODS , HATA KAMA STAR ANAKUFA MOVIE LINAPOANZA , ANAWEZA KUFUFUKA AKAJA KI ZOMBIE ZOMBIE, ALAFU PIA COVERAGE NI KUBWA , HUONI HAMORAPA ANAVYO SHINE
 
Nasikia neno la uchochezi safari hii ni "Ajabu" . ......wa ajabu.....anyway kuna ule wimbo unaosema kweli Mungu wa ajabu anatupatia chakula. Lkn pia mtunga zaburi kwa kiinglish ananukuliwa akisema, "I am fearfully and wonderfully made" . Kwa hiyo hata mm ni wa ajabu. Nimeumbwa kwa namna ya ajabu. Kumbuka pia kuna maajabu saba ya dunia ambayo kwayo mataifa husika hujiingizia kipato kutoka kwa watalii. Kwa hyo kuwa wa ajabu sio kitu kibaya.
 
Nasikia neno la uchochezi safari hii ni "Ajabu" . ......wa ajabu.....anyway kuna ule wimbo unaosema kweli Mungu wa ajabu anatupatia chakula. Lkn pia mtunga zaburi kwa kiinglish ananukuliwa akisema, "I am fearfully and wonderfully made" . Kwa hiyo hata mm ni wa ajabu. Nimeumbwa kwa namna ya ajabu. Kumbuka pia kuna maajabu saba ya dunia ambayo kwayo mataifa husika hujiingizia kipato kutoka kwa watalii. Kwa hyo kuwa wa ajabu sio kitu kibaya.

Kwa hiyo na sisi ni Nchi ya maajabu saba ya dunia
 
Back
Top Bottom