Yanayojiri katika operation ya kuondoa mifugo katika hifadhi ya Misitu ya Kagera

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,033
723
Wanabodi salaam.
Nipo katika kikosi cha operation hii hivyo nitawajuza yanayojiri kwa maelezo,picha na video kadri operation inavyokwenda...

Serikali ya Mkoa wa Kagera kupitia vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama imeanza operation kabambe ya kuondoa mifugo yote na shughuli nyingine zinazofanywa na baadhi ya wananchi katika misitu na mapori ya Hifadhi ya Taifa yaliyoko katika wilaya kadhaa za mkoa huo.

Wafugaji wanaondolewa baada ya kupewa notisi ya kuondoa mifugo yao kwa hiari ambapo baadhi wametekeleza agizo hilo na wengine kukaidi.

Kwa siku ya kwanza leo ng'ombe zaidi ya 1200 zimekamatwa ...

Updates.

k1.png
k2.png
k3.png
k4.png
k5.png


UPDATES APRIL 2,2017
Updates april 3,2017:

Bodi ya mamlaka ya wanayamapori Tanzania (TAWA) imetoa ndege 2 zisotumia rubani (drone) ili zitumike katika kusaka ng'ombe porini hasa maeneo yasiyofikaka kwa urahisi.Pia TAWA imetoa simu za upepo 20 kwa ajili hiyo.Wataalam 3 wa kuedesha ndee hizo tayari wametua biharamulo. vifaa hivyo vina thamani ya dolla elfu 40.


Picha zitawekwa hapa baadaye



Updates april 3,2017

Wafugaji na wachungaji wa Ng'ombe wapatao 19 wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya biharamulo hivi punde kwa tuhuma za kulishia mifugo katika misitu na ifadhi za taifa.


Mengine yatakayojiri kuhusu kesi hii na picha baadaye
 
Wanabodi salaam.
Nipo katika kikosi cha operation hii hivyo nitawajuza yanayojiri kwa maelezo,picha na video kadri operation inavyokwenda...

Serikali ya Mkoa wa Kagera kupitia vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama imeanza operation kabambe ya kuondoa mifugo yote na shughuli nyingine zinazofanywa na baadhi ya wananchi katika misitu na mapori ya Hifadhi ya Taifa yaliyoko katika wilaya kadhaa za mkoa huo.

Wafugaji wanaondolewa baada ya kupewa notisi ya kuondoa mifugo yao kwa hiari ambapo baadhi wametekeleza agizo hilo na wengine kukaidi.

Kwa siku ya kwanza leo ng'ombe zaidi ya 1200 zimekamatwa ...

Updates.
Msalimie mamdogo wangu uko nae uko
 
Wanabodi salaam.
Nipo katika kikosi cha operation hii hivyo nitawajuza yanayojiri kwa maelezo,picha na video kadri operation inavyokwenda...

Serikali ya Mkoa wa Kagera kupitia vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama imeanza operation kabambe ya kuondoa mifugo yote na shughuli nyingine zinazofanywa na baadhi ya wananchi katika misitu na mapori ya Hifadhi ya Taifa yaliyoko katika wilaya kadhaa za mkoa huo.

Wafugaji wanaondolewa baada ya kupewa notisi ya kuondoa mifugo yao kwa hiari ambapo baadhi wametekeleza agizo hilo na wengine kukaidi.

Kwa siku ya kwanza leo ng'ombe zaidi ya 1200 zimekamatwa ...

Updates.

View attachment 489781 View attachment 489782 View attachment 489783 View attachment 489784 View attachment 489785 View attachment 489781 View attachment 489782 View attachment 489783 View attachment 489784 View attachment 489785
Aseee mkuu, wewe ni forester??
 
Hili sio jukwaa la kujuana bali ni jukwaa la kuchambua hoja za kisiasa.

Sina muda wa kutaka kumjua bali nina muda wa kutaka kujua hoja zake.

Sorry!
Unachambuaje hoja kwa kuconclude ni uongo bila kuonesha huo uongo? au critical thinking ulifundishwa na bashite?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Naomba uwa tag kabisa, me siwezagi
Nimeisha wa-tag.

Ukitaka kum-tag member yoyote weka kwanza alama hii @ na andika jina lake.

Kumbuka, usiweke space kati ya alama @ na jina lake.

Kwa mfano nikitaka kukutagi wewe ninaandika kwanza @ halafu jina lako Hoshea
 
Back
Top Bottom