Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,501
- 9,280
Habari wakuu,
Vikao vya bunge vinaendelea mjini Dodoma na jana yaligusiwa mambo kadhaa kwenye kipindi cha maswali na majibu ikiwemo suala la mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu, utekelezaji wa ahadi ya milioni 50 kila kijiji na mchakato wa watumishi hewa ikiwemo hasara iliyoondoka kwa kuondoa watumishi hewa kwenye mfumo.
Tufatilie leo nini kitajiri kutoka mjini Dodoma.
Vikao vya bunge vinaendelea mjini Dodoma na jana yaligusiwa mambo kadhaa kwenye kipindi cha maswali na majibu ikiwemo suala la mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu, utekelezaji wa ahadi ya milioni 50 kila kijiji na mchakato wa watumishi hewa ikiwemo hasara iliyoondoka kwa kuondoa watumishi hewa kwenye mfumo.
Tufatilie leo nini kitajiri kutoka mjini Dodoma.