MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,719
- 4,992
Baada ya mawiki ya kutupiana maneno na maandalizi ya pande zote 3 hatimaye Leo mtanange umeanza rasmi.....
1. Tumeona mapema Iran ameanza kujibu na alisema ikiwa atashambuliwa basi asset zote za USA mashariki ya kati zitageuzwa target
2. Rais Donald Trump ameapa atausambalatisha utawala wa ayatollah
3. Tumeona awamu hii yanatumika mashambilizi ya makombora kuliko ndege kama mara ya Kwanzaa je USA anaogopa mifumo bora ya ulinzi au anatest Kwanza mitambo
Karibu......
1. Tumeona mapema Iran ameanza kujibu na alisema ikiwa atashambuliwa basi asset zote za USA mashariki ya kati zitageuzwa target
2. Rais Donald Trump ameapa atausambalatisha utawala wa ayatollah
3. Tumeona awamu hii yanatumika mashambilizi ya makombora kuliko ndege kama mara ya Kwanzaa je USA anaogopa mifumo bora ya ulinzi au anatest Kwanza mitambo
Karibu......