Yanayoendelea Mei Mosi Naona aibu kujiita mwalimu

Jimmy George

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
1,733
1,645
Habari ndugu zangu !!

Leo ni Mei mosi hapa Moshi ki ukweli walimu hapa wananishangaza sana. Pamoja na madai yote ambayo hayajalipwa, kutoboreshwa kwa mazingira ya kazi na mambo mengine mengi wamejitokeza kwa wingi wanashangilia tena kwa nguvu zote kana kwamba hakuna matatizo yoyote.

Kwa yanayofanywa hapa sidhani kama kuna mtu anaweza kuwasikiliza walimu kwa malalamiko wanayotoa na watu wataendelea kuamini WALIMU SISI NI CHEAP LABOUR. WALIMU TUTADHARAULIKA MPAKA KESHO ngoja Mei Mosi ipite tutaona tu

Samahani kama kuna watu nitakuwa nimewakwaza
 
Habari ndugu zangu !!
Leo ni mei mosi hapa moshi ki ukweli walimu hapa wananishangaza sana. Pamoja na madai yote ambayo hayajalipwa, kutoboreshwa kwa mazingira ya kazi na mambo mengine mengi wamejitokeza kwa wingi wanashangilia tena kwa nguvu zote kana kwamba hakuna matatizo yoyote. Kwa yanayofanywa hapa sidhani kama kuna mtu anaweza kuwasikiliza walimu kwa malalamiko wanayotoa na watu wataendelea kuamini WALIMU SISI NI CHEAP LABOUR. WALIMU TUTADHARAULIKA MPAKA KESHO ngoja mei mosi ipite tutaona tu

Samahani kama kuna watu nitakuwa nimewakwaza
Bila samahani nafikiri watakuwa wamekusamehe mkuu
 
Watauwa wamepigwa mkwara na maafisa elimu na wakurugenzi wao mkuu.Halafu baadhi yetu ni waoga kama nini. Usikute wameambiwa mahudhurio yao yanachukuliwa sherehe zinapoanza na zinapomalizika. Daftari la mahudhurio litakuwa sehemu.
Wamejitoa ufahamu kujisahaulisha shida zao na familia zao.
Ujinga kama huo sijawahi na sitakaa nifanye.
Hata wangefanyia DAR nisingeenda ng'o
 
Uko sahihi..ni modern slavery...slave master ni mkuu wa shule..kila ufanyacho mpaka usimamiwe na uamuliwe...wengi akili zimefunga hawafikirii nje ya box..hata wakitukanwa wao poa tu.. As long as wanna sehemu za kukopea
 
Habari ndugu zangu !!
Leo ni mei mosi hapa moshi ki ukweli walimu hapa wananishangaza sana. Pamoja na madai yote ambayo hayajalipwa, kutoboreshwa kwa mazingira ya kazi na mambo mengine mengi wamejitokeza kwa wingi wanashangilia tena kwa nguvu zote kana kwamba hakuna matatizo yoyote. Kwa yanayofanywa hapa sidhani kama kuna mtu anaweza kuwasikiliza walimu kwa malalamiko wanayotoa na watu wataendelea kuamini WALIMU SISI NI CHEAP LABOUR. WALIMU TUTADHARAULIKA MPAKA KESHO ngoja mei mosi ipite tutaona tu

Samahani kama kuna watu nitakuwa nimewakwaza
Basi kama ukiwa na matatizo ndio unune?
Watu wangekuwa hawasalimiani.
 
Habari ndugu zangu !!
Leo ni mei mosi hapa moshi ki ukweli walimu hapa wananishangaza sana. Pamoja na madai yote ambayo hayajalipwa, kutoboreshwa kwa mazingira ya kazi na mambo mengine mengi wamejitokeza kwa wingi wanashangilia tena kwa nguvu zote kana kwamba hakuna matatizo yoyote. Kwa yanayofanywa hapa sidhani kama kuna mtu anaweza kuwasikiliza walimu kwa malalamiko wanayotoa na watu wataendelea kuamini WALIMU SISI NI CHEAP LABOUR. WALIMU TUTADHARAULIKA MPAKA KESHO ngoja mei mosi ipite tutaona tu

Samahani kama kuna watu nitakuwa nimewakwaza
Umejuaje kwamba hao wanaoshangilia ni walimu tu? Je walijatambulishakwa vitambulisho vyao vya kazi? Kwani ni kosa kumshangilia kiongozi wako hata kama hajakamilisha madai yako?kwani hayo madai kiongozi huyu ndio aliyasababisha na amesema ameshindwa kuyalipia hadi hao waalimu wamchukie?
kama wewe ni mwalimu basi utakuwa na shida binafsi sasa unatakuifanya kuwa shida ya kitaifa,
 
Watauwa wamepigwa mkwara na maafisa elimu na wakurugenzi wao mkuu.Halafu baadhi yetu ni waoga kama nini. Usikute wameambiwa mahudhurio yao yanachukuliwa sherehe zinapoanza na zinapomalizika. Daftari la mahudhurio litakuwa sehemu.
Wamejitoa ufahamu kujisahaulisha shida zao na familia zao.
Ujinga kama huo sijawahi na sitakaa nifanye.
Hata wangefanyia DAR nisingeenda ng'o
Kweli kabisa mkuu
 
Umejuaje kwamba hao wanaoshangilia ni walimu tu? Je walijatambulishakwa vitambulisho vyao vya kazi? Kwani ni kosa kumshangilia kiongozi wako hata kama hajakamilisha madai yako?kwani hayo madai kiongozi huyu ndio aliyasababisha na amesema ameshindwa kuyalipia hadi hao waalimu wamchukie?
kama wewe ni mwalimu basi utakuwa na shida binafsi sasa unatakuifanya kuwa shida ya kitaifa,
Chama cha CWT ni cha akina nani ?
Nadhani nawe ungekuwa unadai madai kama yao na ungesikia wanavyozungushwa ungeelewa namaanisha nn.
Siwezi kuleta shida bali kizazi cha watoto watakaokuwa wanatumia vyema fikra zao kuamua mambo
 
Back
Top Bottom