Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
hapo kwenye red ....kwani Hadija haina translation ya Kiingereza au Kingoni!!??
kweli aiseee! Litakuwa na maana labda ngoja watu wakipande hyo watusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo kwenye red ....kwani Hadija haina translation ya Kiingereza au Kingoni!!??
na wee kwa misifa hujambo hata kutualika wanachuo wenzako ile ya kiuwongo uwongo ukaona tutakuja kumaliza pilau;anyway hongera mwaya bora umeoa utatulia sasa!! usifungue tena zipu kwa mabinti wasiokuhusuIlikuwa siku ya furaha, mchozi mdogo mdogo ukimshuka na tabasamu lililoshuhudiwa na umati wa watu, pale alipobatizwa na kubadili jina akaitwa Gaudensia maana yake Guidence [ ataniongoza siku zote za maisha yangu], Jina la Hadija likasahaulika.
:A S-key::A S-key: Funguo hizi zikasogezwa na kufunga lile pingu ambalo linatetemesha na kushitua mioyo ya hawa wawili na kutoa kiapo mbele ya hekalu la mungu.
Furaha hii ni mwanzo wa mengi yampendezayo yeye akiyetupa uzima huu wa milele.
karibu tufurahi pamoja na tuombeane heri ya fanaka na maisha marefu
na wee kwa misifa hujambo hata kutualika wanachuo wenzako ile ya kiuwongo uwongo ukaona tutakuja kumaliza pilau;anyway hongera mwaya bora umeoa utatulia sasa!! usifungue tena zipu kwa mabinti wasiokuhusu
mmh....natamani kweli ningejua nini kinajiri hapa
Hii ndo nilikuwa naita "KUJILIPUA"
na wee kwa misifa hujambo hata kutualika wanachuo wenzako ile ya kiuwongo uwongo ukaona tutakuja kumaliza pilau;anyway hongera mwaya bora umeoa utatulia sasa!! usifungue tena zipu kwa mabinti wasiokuhusu
tumeupenda ujumbe huunawatakieni kila jema
Mungu awalinde daima
Ni chama kigumu lkn mtaweza
Cha muhimu Mr beno usitake kumtawala mkeo
au kutaka awe kama unavotaka kwani A hawezi kuwa B na B hawezi kua A
mkivumuliana mtadumu.
nimetoa mwaliko kila kona mpaka JF FACEBUK NA NEWS PAper. Click thread zangu hapa JF UTAONA. Kuoa ni mwisho wa kuchagua mbivu na mbichi
Na kwa nini usiwe proud ujifiche fiche Benno. Tangaza baba tangaza walokuwa wanakumendea wajua you are full booked.
<br /><br />Mkubwa ninakila sababu ya kutangaza tukio hili ulimwengu mzima wajue, maana si unaona anavyotabasamu. <br /><br />
<br /><br />
<br />
Sifa zingine hazifai......kha?????<br />
Mimi sijajificha nilijua ukiitisha vikao udhoefu unaonyesha watu huenda kila siku kwenye vikao na hawapunguzi hata Tshs kumi mpaka siku za mwisho wanakamati huanza kufuatilia kadi na kupigia waliotoa ahadi.<br /><br />
<br /><br />
Utakuta vikao vinafanyika miezi mitatu mpaka minne kabla na bado kunakuwa na deficit.<br /><br />
<br /><br />
Mimi nilikuwa mwenyekiti na Mke wangu alikuwa mweka hazina,<br /><br />
Tuliamua kwa pamoja kutafuta pesa za kutosha kufanikisha zoezi hili. Tukaalika kila mtu mwenye nafasi alikuja na kujumuika nasi, NA SHEREHE TULIFANYIA NYUMBANI KWANGU, kwani najua hata nikipata shida yoyote watu watakuja nyumbani na sio ukumbini.<br /><br />
<br /><br />
Nina uwanja wa kutosha na watu walijaa zaidi ya 300 wakiwemo majirani na familia zao ambao nisingeweza wapeleka ukumbini wote.<br /><br />
<br /><br />
<br /><br />
<br /><br />
Si unajua siku ukifa watu hawatakusanyika ukumbini? wote watajaa hapo uwanjani na kufariji wanafamilia.<br /><br />
<br /><br />
<br /><br />
<br /><br />
<br /><br />
<br /><br />
<br /><br />
<br /><br />
SIJAJILIPUA NI MAANDALIZI YA KUTIMIZA NDOTO ZANGU KWA MUDA MUAFAKA
Ulimpatia humuhumu JF?