Yametimia kama yalivyo nenwa na manabii

Ilikuwa siku ya furaha, mchozi mdogo mdogo ukimshuka na tabasamu lililoshuhudiwa na umati wa watu, pale alipobatizwa na kubadili jina akaitwa Gaudensia maana yake Guidence [ ataniongoza siku zote za maisha yangu], Jina la Hadija likasahaulika.

:A S-key::A S-key: Funguo hizi zikasogezwa na kufunga lile pingu ambalo linatetemesha na kushitua mioyo ya hawa wawili na kutoa kiapo mbele ya hekalu la mungu.




Furaha hii ni mwanzo wa mengi yampendezayo yeye akiyetupa uzima huu wa milele.












karibu tufurahi pamoja na tuombeane heri ya fanaka na maisha marefu
na wee kwa misifa hujambo hata kutualika wanachuo wenzako ile ya kiuwongo uwongo ukaona tutakuja kumaliza pilau;anyway hongera mwaya bora umeoa utatulia sasa!! usifungue tena zipu kwa mabinti wasiokuhusu:)
 
nawatakieni kila jema
Mungu awalinde daima
Ni chama kigumu lkn mtaweza
Cha muhimu Mr beno usitake kumtawala mkeo
au kutaka awe kama unavotaka kwani A hawezi kuwa B na B hawezi kua A
mkivumuliana mtadumu.
 
na wee kwa misifa hujambo hata kutualika wanachuo wenzako ile ya kiuwongo uwongo ukaona tutakuja kumaliza pilau;anyway hongera mwaya bora umeoa utatulia sasa!! usifungue tena zipu kwa mabinti wasiokuhusu:)

Hii ndo nilikuwa naita "KUJILIPUA"
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hongera mara milioni
hilo ni jukumu linalohitaji uamuzi wakijasiri na umeubeba, kilichobaki chunga tabia kama abiria na mzigo wake. God bless you.
 
na wee kwa misifa hujambo hata kutualika wanachuo wenzako ile ya kiuwongo uwongo ukaona tutakuja kumaliza pilau;anyway hongera mwaya bora umeoa utatulia sasa!! usifungue tena zipu kwa mabinti wasiokuhusu:)

nimetoa mwaliko kila kona mpaka JF FACEBUK NA NEWS PAper. Click thread zangu hapa JF UTAONA. Kuoa ni mwisho wa kuchagua mbivu na mbichi
 
Wadau nawapenda sana. Ila sijajilipua na mpangilio wa kitu kizuri maandalizi yalifanyika siku 15 tuu. Kupunguza long stressful waiting.
 
nawatakieni kila jema
Mungu awalinde daima
Ni chama kigumu lkn mtaweza
Cha muhimu Mr beno usitake kumtawala mkeo
au kutaka awe kama unavotaka kwani A hawezi kuwa B na B hawezi kua A
mkivumuliana mtadumu.
tumeupenda ujumbe huu
 
Uzuri na ubaya wa maisha yenu ni nini wenyewe, fungueni macho muone mbali, mkaribisheni mwenyezi Mungu awatie nguvu, mkapate kuishi mpaka siku ile atayokuja kutuchukua.

Hongereni sana, mmependeza, UPENDO, AMANI, UVUMILIVU ndiyo nguzo ya ndoa yenu.

HONGERENI SANA
 
Na kwa nini usiwe proud ujifiche fiche Benno. Tangaza baba tangaza walokuwa wanakumendea wajua you are full booked.

nimetoa mwaliko kila kona mpaka JF FACEBUK NA NEWS PAper. Click thread zangu hapa JF UTAONA. Kuoa ni mwisho wa kuchagua mbivu na mbichi
 
Na kwa nini usiwe proud ujifiche fiche Benno. Tangaza baba tangaza walokuwa wanakumendea wajua you are full booked.



Mkubwa ninakila sababu ya kutangaza tukio hili ulimwengu mzima wajue, maana si unaona anavyotabasamu.

Mimi sijajificha nilijua ukiitisha vikao udhoefu unaonyesha watu huenda kila siku kwenye vikao na hawapunguzi hata Tshs kumi mpaka siku za mwisho wanakamati huanza kufuatilia kadi na kupigia waliotoa ahadi.

Utakuta vikao vinafanyika miezi mitatu mpaka minne kabla na bado kunakuwa na deficit.

Mimi nilikuwa mwenyekiti na Mke wangu alikuwa mweka hazina,
Tuliamua kwa pamoja kutafuta pesa za kutosha kufanikisha zoezi hili. Tukaalika kila mtu mwenye nafasi alikuja na kujumuika nasi, NA SHEREHE TULIFANYIA NYUMBANI KWANGU, kwani najua hata nikipata shida yoyote watu watakuja nyumbani na sio ukumbini.

Nina uwanja wa kutosha na watu walijaa zaidi ya 300 wakiwemo majirani na familia zao ambao nisingeweza wapeleka ukumbini wote.



Si unajua siku ukifa watu hawatakusanyika ukumbini? wote watajaa hapo uwanjani na kufariji wanafamilia.







SIJAJILIPUA NI MAANDALIZI YA KUTIMIZA NDOTO ZANGU KWA MUDA MUAFAKA
 

Attachments

  • Mr & Mrs Benno & Padre.JPG
    Mr & Mrs Benno & Padre.JPG
    266.7 KB · Views: 20
Mkubwa ninakila sababu ya kutangaza tukio hili ulimwengu mzima wajue, maana si unaona anavyotabasamu. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Sifa zingine hazifai......kha?????<br />
Mimi sijajificha nilijua ukiitisha vikao udhoefu unaonyesha watu huenda kila siku kwenye vikao na hawapunguzi hata Tshs kumi mpaka siku za mwisho wanakamati huanza kufuatilia kadi na kupigia waliotoa ahadi.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Utakuta vikao vinafanyika miezi mitatu mpaka minne kabla na bado kunakuwa na deficit.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mimi nilikuwa mwenyekiti na Mke wangu alikuwa mweka hazina,&lt;br /&gt;<br />
Tuliamua kwa pamoja kutafuta pesa za kutosha kufanikisha zoezi hili. Tukaalika kila mtu mwenye nafasi alikuja na kujumuika nasi, NA SHEREHE TULIFANYIA NYUMBANI KWANGU, kwani najua hata nikipata shida yoyote watu watakuja nyumbani na sio ukumbini.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Nina uwanja wa kutosha na watu walijaa zaidi ya 300 wakiwemo majirani na familia zao ambao nisingeweza wapeleka ukumbini wote.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Si unajua siku ukifa watu hawatakusanyika ukumbini? wote watajaa hapo uwanjani na kufariji wanafamilia.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
SIJAJILIPUA NI MAANDALIZI YA KUTIMIZA NDOTO ZANGU KWA MUDA MUAFAKA
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;

Hizi sifa hazifai unatueleza michango sijui maandalizi umefanya mwenyewe ili tufanyeje???

SIFA ZA KIJINGA HIZI

Nisamehe kwa kusema ukweli
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom