..CCM mbona ilishakufa zamani??
..hivi kwa akili zako inawezekana CCM, chama cha kijamaa, kikaongozwa na mwenyekiti anayemiliki mgodi wa makaa ya mawe[kiwira]??
..hivi kweli CCM, chama cha ukombozi wa Afrika, kinaweza kuongozwa na mwenyekiti[baada ya mmiliki wa kiwira kustaafu] anayehongwa suti na mfanyabiashara Mwarabu?
..tena mwenyekiti mwenyewe ni waziri katika serikali, na kwa nafasi yake hiyo serikali ilikuwa ikimnunulia suti kwa miaka 10.