DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Jamani wanaJF wakati mwingine tukubaliane mtu kuwa mwanaccm ni haki yake,kuna kushindwa na kushindwa,na JF ndio jukwaa lenyewe la siasa ambalo linaweza kushape hata wanasiasa wengine kujiona wataishi vipi nje ya madaraka ya kisiasa na serkali pindi ikitokea wakatupwa nje ya chaguzi zao.
Nimependa approch ya Pasco he is open and frendly,ameadimit kuwa yu mwanaccm,hiyo msimnyanganye ni haki yake ya msingi kama walivyo wengine humu ni haki yao ya msingi kuwa wanCDM na sie wengine ni haki yetu ya msingi kutokushabikia chama chochote kwa nia ya kiitikadi bali kwa mazuri watakayoyatenda kwa Taifa.
Kumpa majina kadha wa kadha kama mkosaji tuhesabu ni gharama ya kumchallange,kwa kuwa aliinvest kwenye kile alichoamini na walio upende wa pili kwa maana ya wanCDM nao wana sababu zote za kufurahi kwa kile walichomuhitaji Pasco ajiunge nao na kuja kushirikina nae kukitafuta nae Pasco akaamini kuwa angeweza kukipata hicho anachotiwa na upande wa CDM akiwa upande wa pili wa shillingi yani upande wa CCM kwa tiketi ya EL.
Nimatumaini yangu kuwa yeye binafsi asikate tamaa,kwa kuwa leo tunaita jukwaa kama jukwaa kwa kuwa upande wa pili alikuwapo PASCO,FAIZA FOXY na REJAO,ebu pateni picha watu hao watoweke kabisa ndani ya jukwaa hakika tutaboreka na story za kuisifu CDM au kumsifu kiongozi yoyote ambe ni kipenzi cha wana CDM au wanaCCM ndani ya Jamvi.
Na ndio maana uwa nawaomba sana wanaCDM katika sara zao na maombi yao,iwe ni kuomba CCM iweko ili nayo ije kushuhudia kuwa kwa ukiziwi wao kumbe wako watanzania wengine pia wanaweza kuijenga nchi kupitia vyma vingine vya upinzani kama CDM,na kweli wakipewa na wamepewa wameweza kufanya maajabu.
Kwa wakristu wanajua tunaaambiwa kuwa tumwombee adui yetu maishana malefu ili adui apate kuona Mungu anavyokubaliki.Hivyo CCM wanasababu yote ya kuwapo kwenye sarakasi zote za kisiasa kwa nguvu ile ile yaliyotokea ndio maana ya kushindana kuwa mmoja ni lazima ashinde na mwingine ni lazima ashindwe, na ambae amekubalika kwa umma ndie anaepaswa kushinda uchaguzi husika.Ombi langu kwa Pasco asimvunje moyo EL kwa kuwa bado matumaini ni mengi,ajaribu njia ziko nyingi akimvunjika nguvu saizi,itamfanya apoteze ndoto yake,na hivyo kuwapotosha CDM na kubweteka kuwa hawana mpinzani na hivyo kuiona 2015 kama magogoni ni yao.Isije kuwa wamemwamsha jaynt aliyelala wasije wakalala wao CDM.
Hakika kwa CCM nimatumaini yangu watajipanga na watu aina ya Pasco mnatakiwa kukaa kama kamati na kuja na mbinu mpya ndio kumekucha askari atundiki kombati na silaha ukutani,askari vitani anabeba bunduki na na kusonga mbele.Tunataka changamoto daima manake pasipo hizo changamoto CDM itageuka CCM na CCM ikifa hatutakuwa na CDM nyingine wakati CDM itakapokuwa imekalia kiti cha CCM na hivyo kuludi kule kule.
Waaambieeee wazee wakiludi Lumumba watafute Task force yenye sura ya vijana wenye damu iliyochemka na inayochemka hasa wanaoweza kushindana na Tindu Lissu,Zitto Kabwe,Ben na Kina Mnyika kwenye ulimwengu mpya wa mtandao ambao hakika wanae mtu mmoja tu Nape na Wewe.Ili kuwakabili wakina CDM ni hakika unaitaji vijana wapya kama ishirini graduate,wasio na majina kuwa baba yake fulani alikuwa waziri na mbunge hivyo amefariki mwanae apewe pole ya ubunge hapana hicho si kizazi cha kushinda na vijana wa CDM ambao wanasura ya vijana wa Tanzania wa sasa ambao wanadalili zote za kuchoka mambo ya wazee wetu walio wengi ambao wanaamini kuwa wanastahiki kuwapangia vijana wa kizai kipya aina ya maisha ya kushi..
Wakati CDM wanafurahi ushindi ,nyie CCM mnapaswa kuwa mmekaa mnaunda kikosi kazi [task force] za wasomi,wenye uwezo wa kushindana kwa hoja,sio mbinu za ovyo ovyo za kihuni na mikakati ya mababu zetu,wakati hiki ni kizazi kipaya [new generation dotcom].Ebu angalia CDM walivyokusanya takwimu zao very fast na kwa uhakika [Accurately].Humu ndani sikuona mwanaCCM yoyote yule akileta taarifa za maendeleo ya uchanguzi ndani ya CCM ukiondoa wewe kama mpiganaji wa EL.Na mara moja mbili Nape anapopita hapa,lakini dhahili hakuwa na mood ya Project ya EL na mkwewe SIOHI huko Arumeru kitu ambacho hata kama ni mimi,wazee wanajua kuwa mimi na Mzee mwenzao hazipandi wanakuchonganisha kufanya nae kazi lazima nifanye kazi kama mgonjwa wa kifua wakati wote nakimbia baridi.
Aksante sana kwa kuwa mmoja wa wanaccm waliokipongeza CCM nao pia CDM wasianze nao vijembe visivyo na msingi,wajali kuwa wameongeza jembe la kulimia shambani na hivyo tunategemea mavuno ya maana shambani [Bungeni] na wanaarumeru wafurahi kuwa hawakuwa na sababu ya kushindwa kumchagua Nasari hata kama hana Mke na kuwa mke na siasa ni vitu viwili tofauti.
Naomba Pasco pumzika vuta pumzi,tafakarini na mzee,kisha muone ni njia gani mpya mnaweza kuja nayo stil we have millions of dollars,issue ni new team with new vision not always the same means the same people,wakati mwingine nikuongea mfano issue ya MAFISADI ni HOT TOPIC pandeni na hiyo majukwaani jengeni hoja kwenye hiyo mbona mtapeta tu,wabongo wamechoka na wanamind sana issue ya MAFISADI usawa huu awana kitu.
Nimependa approch ya Pasco he is open and frendly,ameadimit kuwa yu mwanaccm,hiyo msimnyanganye ni haki yake ya msingi kama walivyo wengine humu ni haki yao ya msingi kuwa wanCDM na sie wengine ni haki yetu ya msingi kutokushabikia chama chochote kwa nia ya kiitikadi bali kwa mazuri watakayoyatenda kwa Taifa.
Kumpa majina kadha wa kadha kama mkosaji tuhesabu ni gharama ya kumchallange,kwa kuwa aliinvest kwenye kile alichoamini na walio upende wa pili kwa maana ya wanCDM nao wana sababu zote za kufurahi kwa kile walichomuhitaji Pasco ajiunge nao na kuja kushirikina nae kukitafuta nae Pasco akaamini kuwa angeweza kukipata hicho anachotiwa na upande wa CDM akiwa upande wa pili wa shillingi yani upande wa CCM kwa tiketi ya EL.
Nimatumaini yangu kuwa yeye binafsi asikate tamaa,kwa kuwa leo tunaita jukwaa kama jukwaa kwa kuwa upande wa pili alikuwapo PASCO,FAIZA FOXY na REJAO,ebu pateni picha watu hao watoweke kabisa ndani ya jukwaa hakika tutaboreka na story za kuisifu CDM au kumsifu kiongozi yoyote ambe ni kipenzi cha wana CDM au wanaCCM ndani ya Jamvi.
Na ndio maana uwa nawaomba sana wanaCDM katika sara zao na maombi yao,iwe ni kuomba CCM iweko ili nayo ije kushuhudia kuwa kwa ukiziwi wao kumbe wako watanzania wengine pia wanaweza kuijenga nchi kupitia vyma vingine vya upinzani kama CDM,na kweli wakipewa na wamepewa wameweza kufanya maajabu.
Kwa wakristu wanajua tunaaambiwa kuwa tumwombee adui yetu maishana malefu ili adui apate kuona Mungu anavyokubaliki.Hivyo CCM wanasababu yote ya kuwapo kwenye sarakasi zote za kisiasa kwa nguvu ile ile yaliyotokea ndio maana ya kushindana kuwa mmoja ni lazima ashinde na mwingine ni lazima ashindwe, na ambae amekubalika kwa umma ndie anaepaswa kushinda uchaguzi husika.Ombi langu kwa Pasco asimvunje moyo EL kwa kuwa bado matumaini ni mengi,ajaribu njia ziko nyingi akimvunjika nguvu saizi,itamfanya apoteze ndoto yake,na hivyo kuwapotosha CDM na kubweteka kuwa hawana mpinzani na hivyo kuiona 2015 kama magogoni ni yao.Isije kuwa wamemwamsha jaynt aliyelala wasije wakalala wao CDM.
Hakika kwa CCM nimatumaini yangu watajipanga na watu aina ya Pasco mnatakiwa kukaa kama kamati na kuja na mbinu mpya ndio kumekucha askari atundiki kombati na silaha ukutani,askari vitani anabeba bunduki na na kusonga mbele.Tunataka changamoto daima manake pasipo hizo changamoto CDM itageuka CCM na CCM ikifa hatutakuwa na CDM nyingine wakati CDM itakapokuwa imekalia kiti cha CCM na hivyo kuludi kule kule.
Waaambieeee wazee wakiludi Lumumba watafute Task force yenye sura ya vijana wenye damu iliyochemka na inayochemka hasa wanaoweza kushindana na Tindu Lissu,Zitto Kabwe,Ben na Kina Mnyika kwenye ulimwengu mpya wa mtandao ambao hakika wanae mtu mmoja tu Nape na Wewe.Ili kuwakabili wakina CDM ni hakika unaitaji vijana wapya kama ishirini graduate,wasio na majina kuwa baba yake fulani alikuwa waziri na mbunge hivyo amefariki mwanae apewe pole ya ubunge hapana hicho si kizazi cha kushinda na vijana wa CDM ambao wanasura ya vijana wa Tanzania wa sasa ambao wanadalili zote za kuchoka mambo ya wazee wetu walio wengi ambao wanaamini kuwa wanastahiki kuwapangia vijana wa kizai kipya aina ya maisha ya kushi..
Wakati CDM wanafurahi ushindi ,nyie CCM mnapaswa kuwa mmekaa mnaunda kikosi kazi [task force] za wasomi,wenye uwezo wa kushindana kwa hoja,sio mbinu za ovyo ovyo za kihuni na mikakati ya mababu zetu,wakati hiki ni kizazi kipaya [new generation dotcom].Ebu angalia CDM walivyokusanya takwimu zao very fast na kwa uhakika [Accurately].Humu ndani sikuona mwanaCCM yoyote yule akileta taarifa za maendeleo ya uchanguzi ndani ya CCM ukiondoa wewe kama mpiganaji wa EL.Na mara moja mbili Nape anapopita hapa,lakini dhahili hakuwa na mood ya Project ya EL na mkwewe SIOHI huko Arumeru kitu ambacho hata kama ni mimi,wazee wanajua kuwa mimi na Mzee mwenzao hazipandi wanakuchonganisha kufanya nae kazi lazima nifanye kazi kama mgonjwa wa kifua wakati wote nakimbia baridi.
Aksante sana kwa kuwa mmoja wa wanaccm waliokipongeza CCM nao pia CDM wasianze nao vijembe visivyo na msingi,wajali kuwa wameongeza jembe la kulimia shambani na hivyo tunategemea mavuno ya maana shambani [Bungeni] na wanaarumeru wafurahi kuwa hawakuwa na sababu ya kushindwa kumchagua Nasari hata kama hana Mke na kuwa mke na siasa ni vitu viwili tofauti.
Naomba Pasco pumzika vuta pumzi,tafakarini na mzee,kisha muone ni njia gani mpya mnaweza kuja nayo stil we have millions of dollars,issue ni new team with new vision not always the same means the same people,wakati mwingine nikuongea mfano issue ya MAFISADI ni HOT TOPIC pandeni na hiyo majukwaani jengeni hoja kwenye hiyo mbona mtapeta tu,wabongo wamechoka na wanamind sana issue ya MAFISADI usawa huu awana kitu.