Yamenishinda: Shemeji wa kiume ananitesa

Yamenishinda: Shemeji wa kiume ananitesa

Huyo bureee kabisa, una 26 yrs unakaa kwa dadaako
Enzi za mwalim tulikuwa hatulali kwa dada zetu, tunaenda kuwasalim na kuondoka! Sasa yeye anakaa kbs na hana issue tena ana 26yrs
Aisee, mwache tu aolewe
 
Evelyn;
Ukiwaambia hivyo wanasema; Mswalie Mtume yakhee. Kumbe huo ndo ukweli. Kama kishafika mahali pa kumwambia; dadako katoka, kaniwekee maji ya kuoga.....Wataka lugha gani?? Fumbo, mfumbie mjinga, ila mtoto wa mujini atalifumbua hilo.
Hebu uje kwa pm tuongee ishu moja, achana na huyo anaekaa kwa shemeji mwisho atapewa na boxa afue
 
Duuu yalishawai nikutaaa nikiwa kwa mama yngu mdogo dar enz hiz nikiwa chuonii nikawa mfua nguo tuu mpasaji na shughuli zingine kibao
nilikmbia
Wasukuma ndoo wana tabia hizoo sanaa hata hawaonii aibuu hataaa
 
Back
Top Bottom