Ingekuwa condom ya kiume tungesema ukiona manyoya kaliwa huyo!Lakini kwa kuwa ni ya kike inawezekana kabisa kwa asilimia kama 90 anayosema ni ukweli kwa sababu asilimia kubwa ya wanaume huwa hatubebi condom za kike tunabeba za kiume,anayebisha aje hapa aseme na yeye atakuwa miongoni mwa hizo asilimia chache zilizobaki!
Mpende mumeo,mtimizimie kila kitu kumpunguzia tamaa za kutoka nje!