juma mpemba
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,227
- 7,552
KIBAMIA ERROR NO 333...NOT COMPATIBLE WITH THE DEVICEYou are not compatible.
KIBAMIA ERROR NO 333...NOT COMPATIBLE WITH THE DEVICEYou are not compatible.
HahahahaaaaaaaHahahahahaaaa wewe jamaa noma. Halafu popoma umechukua nafasi ya Joseverest
wapi gugudumeJamani ehe mpaka sasa sijui nifanyeje nina mpenzi wangu nampenda sana naye ananipenda lakini suala lipo kwenye mapenzi namuanda vizuri mpaka namwingia, nikisema namwingia nadhani nitakua naelewaka yaani kumgegeda nikipiga la kwanza si unajua wazee la kwanza linavyokuwa na nguvu yake tayari hata kama sialaki sana naweza chukua hata dakika 10 si unajua kama ukishindwa kuendelea lazima uvute pumzi hata dakika 10 or 5.
Sasa yeye hilo huwa anataka yaani nikianza nisichomoe mpaka zifike mbili au tatu nikishindwa nikipiga 1 alafu nikipumzika anazira na kuondoka anadai namtesa tu bora asifikege kuliko kumfanyia hivyo.
Sasa cha hatari zaidi haniachii hata siku nyingi za kupumzika yaani nikisex nae leo basi kesho kutwa anataka tena inafika wakati naingia vishawishi vya kutumia dawa za nguvu za kiume yote ili nifanye atakavyo arizike wakuu nadhani nimeeleweka kama nimekosea katika maneno fulani katika uandishi wangu basi mnisamee....
Wakuu nisaidieni nifanyeje kumuacha siwezi nifanyeje
Hii nilishaapply babu nilikuwa nakaa kifuani hadi mwanamke analalamika sikojoi tu. Saingine anaweza sitisha game kabla hujamwagaDooooh pole sanaa mkuu, dawa ya kumdhibiti mwanamke wa hivyo ni uanze mazoezi rasmi ili uanze kuzalisha glucose nyingi mwilini na kuikaza vyema misuli ya uume na vile vile kupunguza mihemko ambayo inakufanya unamwaga mapema na kushindwa kuendelea kwa muda, na mazoezi hayo sio mengine ila anza kukimbia walau kilomita 10 kwa siku yaani tano kwenda tano kurudi... binafsi mazoezi yamenisaidia sanaa na hua nashangaa sanaa hawa watu wanaonunua unga wa wakongo au wanaolialia hovyo hawana nguvu za kula wanawake, uchawi mazoezi tu, utakula wanawake mpaka wao ndio wanakutoa kifuani.
Nenda uvinza kwa muda wa nusu saa asipotosheka tia na mikono hadi ugokoni kama unazalishaJamani ehe mpaka sasa sijui nifanyeje nina mpenzi wangu nampenda sana naye ananipenda lakini suala lipo kwenye mapenzi namuanda vizuri mpaka namwingia, nikisema namwingia nadhani nitakua naelewaka yaani kumgegeda nikipiga la kwanza si unajua wazee la kwanza linavyokuwa na nguvu yake tayari hata kama sialaki sana naweza chukua hata dakika 10 si unajua kama ukishindwa kuendelea lazima uvute pumzi hata dakika 10 or 5.
Sasa yeye hilo huwa anataka yaani nikianza nisichomoe mpaka zifike mbili au tatu nikishindwa nikipiga 1 alafu nikipumzika anazira na kuondoka anadai namtesa tu bora asifikege kuliko kumfanyia hivyo.
Sasa cha hatari zaidi haniachii hata siku nyingi za kupumzika yaani nikisex nae leo basi kesho kutwa anataka tena inafika wakati naingia vishawishi vya kutumia dawa za nguvu za kiume yote ili nifanye atakavyo arizike wakuu nadhani nimeeleweka kama nimekosea katika maneno fulani katika uandishi wangu basi mnisamee....
Wakuu nisaidieni nifanyeje kumuacha siwezi nifanyeje