Yaliyotokea arusha na jeshi letu la polisi

mzambia

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
885
60
Jeshi la Polisi nchini limeundwa kwa mujibu wa sheria ya Jeshi la Polisi Tanzania PFO Cap.322 na majukumu yake yameainishwa wazi katika kifungu nambari 5 cha sheria hiyo. Jukumu kubwa ni kulinda amani na pia maisha na mali za wananchi/ raia. Ili kutekeleza jukumu hilo muhimu, Jeshi la Polisi nchini limetoa tamko la maono, lengo na mikakati ambayo kwa muhtasari linajumuisha mambo muhimu yafuatayo:-
Dira ya Jeshi la Polisi ni kuifanya nchi yetu kuwa yenye utulivu na amani ambapo utawala wa sheria unathaminiwa na kuenziwa ipasavyo.
Jeshi la Polisi linayathamini mambo yafuatayo:-
  • Umuhimu wa kuheshimu haki za binadamu.
  • Umuhimu wa uwazi kwa jamii.
  • Umuhimu wa uaminifu.
  • Umuhimu wa uadilifu.
  • Umuhimu wa kuwaheshimu raia, na
  • Umuhimu wa kuwatumikia wananchi kwa uadilifu.
LENGO KUU LA JESHI LA POLISI (MISSION):
Kwa kuzingatia Dira ya Jeshi la Polisi na mambo muhimu linayoyathamini, Jeshi la Polisi lina lengo kuu la kusimamia sheria na amani kupitia utekelezaji wa sheria na kanuni zilizowekwa kwa ajili ya ulinzi na usalama wa wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ili kufikia lengo hilo kuu, Jeshi la Polisi limejipangia kutekeleza mambo yafuatayo:-
  • Kudumisha sheria na amani nchini.
  • Kutoa huduma thabiti na toshelevu za ulinzi na usalama.
  • Kusimamia kwa uadilifu nyenzo za utendaji na kuwajibika kwa matumizi yake; na
  • Kuimarisha taratibu za kupeana habari, mifumo ya mawasiliano na
WAZO: HIZO SEHEMU NILIZOWEKA RANGI YA BLUE NA YALIYOTOKEA ARUSHA YANAFANANA NISAIDIENI WANA JF
 

Polisi wetu wanasukumwa na kitu kimoja tu -- kuona amri zake zinatiiwa, basi. Ile concept wanayoshikilia siku zote ya "kutotii amri halali ya polisi" "au kutofuata utaratibu na kanuni" ndiyo kisingizio kikubwa cha polisi kuua watu! Hawa polisi wetu hawana akili ya kitu kiitwacho 'common sense' yaani kutoa maamuzi ya busara kutokana na hali inavyojitokeza. Huwa wanajiendea utafikiri misanamu iliyotiwa funguo.

Wakati wa kampeni huko Mwanza, baada ya mkutano wa Dr Slaa, wananchi waliamua kulisukuma gari lake mitaani kuelekea hotelini alikofikia. Watu walikuwa wengi sana na polisi wakataka kuingilia kuzuia kwa kupiga mabomu ya machozi n.k. Dr Slaa akasimamisha msafara na kuwaambia polisi watumie busara -- wawaache wananchi ama sivyo kunaweza kutokea vurugu na watu kuumia bila sababu za msingi.

Polisi walimsikiliza, hawakuingilia msafara kwa mabomu na badala yake waliuwekea na kuushindikiza kwa ulinzi mkali hadi ulipoishia. Kila kiti kiawa salama na shwari.

Sasa hawa polisi huko Arusha wanataka kutuambia nini? Walishindwa ku-read mood ya hali jinsi iliyojitokeza na kua-act accordingly kuepusha janga? Walikwenda kama sanamu eti tu kwa sababu ya "kutotii amri halali?"
 
Asante kwa elimu hiyo,inasikitisha hakuna lililozingatiwa kati ya hayo na kinachonishangaza sijaona kipengele cha kuua raia walichokitekeleza.Pengine kwa kuzingatia thread hii inayohusu polisi ingeenda mbali zaidi na kutuwekea sheria inayohusu maandamano
 
MmmmmH, katika malengo hayo sijaona sehemu ya kwamba: Polisi watakuwa ndio waruhusu mikusanyiko na watao vibali vya maandamano ya vyama au vikundi vyovyote vya kiraia katika kutekeleza misingi ya demokrasia ya watu kutoa maoni yao kwa uhuru!!!!! Sasa wanatoa wapi nguvu hii kila siku mpaka upate kibali cha polisi???? Naona malengo hapo ni kulinda usalama wetu na mali zetu....
 
nimeona niweke hiki kifungu cha Sheria ya Jeshi la Polisi na Wasidizi wa Polisi sura ya 322 ya sheria kama ilivofanyiwa marekebisho mwaka 2002 ili tuweze kuona nani mkosaji Jeshi la Polisi au waandamanaji

43. Assemblies and processions in public places
(1) Any person who is desirous of convening, collecting, forming or organizing any
assembly or procession in any public place shall, not less than forty eight hours before the
time when the assembly or procession is scheduled to take place, submit a written
notification of his impending assembly or procession to the police officer in charge of the
area specifying–
(a) the place and time at which the meeting is to take place;
(b) the purpose in general of the meeting; and
(c) such other particulars as the Minister may from time to time, by notice published in
the Gazette, specify.

(2) Where a person submits a notification in accordance with subsection (1), he may
proceed to convene, collect, form or organise the assembly or procession in question as
scheduled unless and until he receives an order from the Police Officer in charge of the area
directing that the assembly or procession shall not be held as notified.

(3) A Police Officer to whom a notification has been submitted pursuant to subsection (1),
shall not give a stop order under subsection (2) in relation to the notification unless he is
satisfied that the assembly or procession is likely to cause a breach of the peace or to
prejudice the public safety or the maintenance of public order or to be used for any unlawful
purpose.

(4) The officer in charge of Police may stop or prevent the holding or continuance of any
assembly or procession in a public place which has been convened, collected, formed or
organised otherwise than in accordance with the notification under subsection (1) or in
regard to which any particular specified by the Minister under paragraph (c) of subsection (1)
has been or is being contravened and may, for any of the purposes aforesaid, give or issue
such orders as he may consider necessary or expedient, including orders for the dispersal of
any such assembly or procession as aforesaid.

(5) The Minister may by order declare that the provisions of this section shall not apply to
any assembly or procession convened, collected, formed or organised exclusively for one or
more of or a combination of one or more such purposes as may be specified in such order.

(6) Any person who is aggrieved by the terms of a stop order issued under subsection (3)
or, any order given by a police officer under subsection (4), may appeal to the Minister
whose decision on the matter shall be final.
[s. 40]

44. Power to disperse assemblies and processions wherever held
The officer in charge of Police may stop or prevent the holding or continuance of any
assembly or procession in any place whatsoever if, in the opinion of such officer the holding
or continuance, as the case may be, of such assembly or procession breaches the peace or
prejudices the public safety or the maintenance of peace and order and may, for any of the
purposes aforesaid, give or issue such orders as he may consider necessary or expedient,
including orders for the dispersal of any such assembly or procession as aforesaid.
[s. 41]

45. When assembly or procession unlawful

Any assembly or procession in which three or more persons attending or taking part
neglect or refuse to obey any order for dispersal given under the provisions of subsection (4)
of section 43 or section 44, shall be deemed to be an unlawful assembly, within the meaning
of section 74 of the Penal Code *(9).
[s. 42]

46. Penalties

(1) Any person who–

(a) neglects or refuses to obey any order given or issued under the provisions of
subsection (4) of section 43 or section 44; or
(b) contravenes any particular specified by the Minister in accordance with paragraph
(c) of subsection (1) of section 43,
shall be guilty of an offence and may be arrested without a warrant and shall be liable on
conviction to a fine not exceeding fifty thousand shillings or to imprisonment for a term not
exceeding three months or to both such fine and imprisonment.

(2) Subject to the provisions of any order made under subsection (5) of section 43, where
any assembly or procession in a public place has been convened, collected, formed or
organised otherwise than in accordance with subsection (1) of section 43–
(a) every person taking part in convening collecting, forming or organising such
assembly or procession shall be guilty of an offence and may be arrested without a
warrant and shall be liable on conviction to a fine not exceeding two hundred
thousand shillings or to imprisonment for a term not exceeding one year or to both
such fine and imprisonment;
(b) every person attending such assembly or taking part in such procession, who
knows or has reasons to believe that such assembly or procession has been
convened, collected, formed or organised otherwise than in accordance with the
provisions of subsection (1) of section 43, shall be guilty of an offence and may be
arrested without a warrant and shall be liable on conviction to a fine not exceeding
one hundred thousand shillings or to imprisonment for a term not exceeding six
months or to both such fine and imprisonment.
 
Je,matumizi ya nguvu/silaha yalikuwa halali? soma K/F 29 cha Sheria ya jeshi la polisi sura ya 322 ya sheria

29. P olice officers may use arms in certain cases

(1) Any police officer may use arms against–
(a) any person in lawful custody charged with or convicted of an offence when such
person is escaping or attempting to escape where such police officer has
reasonable ground to believe that he cannot otherwise prevent the escape and has
given a warning to such person that he is about to use such arms against him and
such warning is unheeded;
(b) any person who–
( i) by force, rescues or attempts to rescue any other person from lawful custody;
or
(ii) by force, prevents attempts to prevent the lawful arrest of any other person,
where such police officer has reasonable ground to believe that he or any other
person is in danger of grievous bodily harm and that he cannot otherwise effect
such arrest or prevent such rescue.

(2) The powers conferred on a police officer by this section shall be in addition to and not
in derogation of any other power conferred on such police officer by any other law.
 
Pia Jeshi la polisi linaongozwa na amri za kudumu zinazoitwa (Police General Orders) je zenyewe zinasemaje kuhusu matumizi ya silaha dhidi ya raia,soma hiki kifungu

USE OF ARMS BY POLICE – PGO. 274
Each officer issued with arms and ammunition must ensure that such arms are properly handled and used in accordance with the laid procedures. This is because each officer is personally responsible and accountable for any improper use of weapon under his care and control.

a) In no circumstances where firearms are used by a police officer, is not allowed to open fire with the direct intention of causing death
b) In no circumstances a police officer is allowed to use more than the minimum force necessary to carry out his duties.

Police officer is empowered by section 29 of the Police Force and Auxiliary Police Services Act. Cap 322 R.E.2002 and PGO. 274, if other reasonable option fails, to use arms against.

a) (a) Any person in lawfully custody charged with or convicted of a felony when such person is escaping or attempting to escape where such police officer has reasonable ground to believe that he can not otherwise prevent the escape and has given a warning to such person that he is about to use such arm against him and such warning is unheeded (NOTE; In this connection “Lawful custody” include “Lawful arrest” even though the formal charge has not yet been laid).
b) Any person who:-
i. -By force, rescue or attempts to prevent the lawful arrest of any other person
ii. -By force prevent or attempt to prevent the lawful arrest of any other person.


Police Officer is also entitled to use arms in the following circumstances.
a) -When it is essential for effecting an arrest of a person who is armed with a lethal weapon.
b) -When it is essential for defense of another person who may be seriously injured or killed by an assailant armed.
c) -When it is essential for self defense.

In the cases mentioned above, when firearms are used, they should not be used with the aim of killing or inflicting a serious injury and should be directed, when feasible at the legs only.

NB: soma bolded part kwa makini between lines
 
Thanks so much! It is educative. Inaonesha kuwa polisi walivunja sheria kwa kiwango kikubwa. Kwa kuwa hata kama mtu hakutii agizo au amri halali hakuna mahala kwa mujibu wa sheria walipohalalishwa kuuwa au kutumia silaha kwa ajili ya kuuwa. Wanatakiwa kutumia minimal force; hata kama ni silaha-wapige miguuni tu! Waandamanaji hawakuwa na silaha-wala hawakushambulia, bali walishambuliwa. Hivyo polisi wana kesi ya kujibu ya mauaji. Wafunguliwe nao mashitaka!!!!!!!
 
Kinacho nisumbua je, waweza wafungulia polisi mashitaka sasa? Au baadae baada ya kesi yao ya kubambikiza kuisha?
 
na hii ya matumizi ya silaha za moto ya kimataifa ikoje?
 

Attachments

  • Basic principles on use of force and firearms.pdf
    67.7 KB · Views: 27
he kumbe kabla ya kurusha risasi maafande walitakiwa kufanya hivi,

Non-lethal Forms of Force


There are a wide variety of non-lethal forms of force. These include the following:


  • Impact weapons
  • Chemical weapons
  • High pressure water
  • Electronic weapons
  • Less lethal projectiles (rubber bullets, bean bags, etc.)
  • Vehicle spike system

Most of these are recognized police tools, but each has limitations as well as advantages. High pressure water, especially if used with dye, can be effective in a civil disturbance; however, if used incorrectly it can lead to serious injury.
 
Asante mtoa uzi kwa elimu nzuri ya uraia. Polisi walioua raia wasio na hatia,wanapaswa kufikishwa kwa pilato,kwani walivunja sheria kwa kiwango kikubwa sana.
 
Kumbukeni tu kuwa tupo Afrika tupo Tanzania ,hayo yote muliyoyaandika natumai yapo tu kama kielelezo kwenye intenational level,lakinini hakuna moja linalofuatwa ,polisi wetu hufuta ushahidi na kufuta ushahidi ni kuhakikisha uliemfyatulia risasi na kumpiga humfikishi hospitali au kituoni akiwa hai.
 
Where a person submits a notification in accordance with subsection (1), he may
proceed to convene, collect, form or organise the assembly or procession in question as
scheduled unless and until he receives an order from the Police Officer in charge of the area
directing that the assembly or procession shall not be held as notified.
Kumbe Polisi wana mamlaka ya kuzuia maandamano!!!, mimi nilidhani kwamba ukishawapa taarifa ya maandamano tu, wao kazi yao ni kutoa ulinzi tu basi na wala si mambo ya vibali.
 
Mkuu hizo habari ni nzuri but kwa serikali yetu hii ni kama kumpigia mbuzi gitaa!
 
Mkuu hizo habari ni nzuri but kwa serikali yetu hii ni kama kumpigia mbuzi gitaa!

Mkuu, bado tuna nafasi ya kuzitekeleza kutumia tukio la arusha ambalo litaset presidence. Tuahitaji kubadili fikra zetu kwamba hii ni afrika na kwamba haki na ystaarabu haviwezekani. Pamoja na madhara yaliyotokea, Chadema wasingelazimisha maandamano ungejua kwamba serikali iliyo afrika ingeweza kusalimu amri na raisi wa nchi kukiri kosa?
 
those are written in the papers,and most of the police men if not all are people that failed at school so they joined police force to make their life,how do you expect them to read and understand all of those stuffs?
 
Back
Top Bottom